Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Haki ya kuambiwa ukweli wanayo pia, kama walivyo na haki ya kutuambia kile wanachoona hakipo sawa kutoka kwetu.Ndio uelewe kuhusu levels.
Utapata shida sana popote uwapo usipokubali hili.
25.9% pato la Taifa la Utalii tuGDP ya Taifa inayo toka kwenye utalii unazania inatoka wapi?
Labda Waarabu Ngorongoro ijengwe Hotel yaoHuko kwa Wachina na Wahindi hatuna soko kubwa la utalii
Wewe waliwahi kukupakua hao watalii? Onyesha ushahidiHakuna utalii wala nini zaidi ya kuja kutuletea tabia za watu kupakuliwa!
Ya Waarabu nimeiona Safari Channel Wachina wanatangaza vya kwao zaidi 😑Jiulize kwa nini hatujacheza na Wachina na Wahindi ile Royal tour?
Hizi ni Lugha za wendawazimu kutoka Kwa vibaraka wao.Mungu abariki wazungu make ndio wanafanya familia nyingi sana za Kitanzania watu wanaenda Chooni. Hata hao CCM kila mmoja anaota kufika Marekani au Ulaya.
1. NGO zilizo jaaa Tanzania asilimia 99.9 ziko funded na Wazungu wa Ulaya na Marekani. Hizi NGO Zimeajili makuni kwa maelfu ya raia.
Je kuna NGO kutoka China?
2. Sekita ya utalii asilimia 99.9 ya watalii wa maana wanatoka Ulaya na Marekani. Hao wakikata mrija tutakufa hakika.
3. Vipi vyoo tunavyo jengewa kwa hisani ya watu wa Marekani?
Rais anahadaa wajinga kwamba tunaweza jiamulia mambo yetu. Tanzania sio Urusi na labda tunajilinganisha na Urusu kwamba kwa sababu wametengwa basi na sisi tunaweza ishi bila wao.
Wajinga hawajui kwamba GDP ya jimbo la Calfornia ni kubwa kuliko GDP ya Africa nzima combined?
Wajifunze Zimbabwe hadi leo inajitafuta na haitakaa irudi kuwa stable kiuchumi kwa siku za hivi karibuni.
SMG = Sub Mashine GunSamia must go,! Kauli mbiu 2025
Diaspora wa huko wanakuangaliaje?Hizi ni Lugha za wendawazimu kutoka Kwa vibaraka wao.
Jiwe Magu aliwawashughulikia na kuwakoromea,Je Tanzania ilikufa?
Subirieni nyie vibaraka mje kushika Nchi ndio mta surrender sovereignty Kwa hao bwana zenu ila sisi haiwezi tokea.
Toka enzi ya Mwl tulikataa kupandws kichwani na Mabeberu na Sasa tunakataa.
Hongera Rais Samia,vibaraka lazima watokwe povu Kwa Ajili umewachana makavu bwana zao.
Punguani tuu hao,Wana Msaada gani Kwa maisha yetu? Au nani Huwa anawaomba? Hao ndio vibaraka hawatapewa nafasi.Diaspora wa huko wanakuangaliaje?
Mpaka kipaza Sauti, Speaker na TV nyingi plus media platform zote 😑Hata Simu Na Ndege Ni Wazungu.Katika Afya asilimia Kubwa Ni Wazungu,,Madawa ya ukimwi Ni Wazungu,,Kujenga vyoo mashuleni,,.Hawa Watu kiukweli wanatuongoza Bila kujua..Wazungu wanatuongoza...
Kila Siku tunakimbilia Huko
Kwa hio njia pekee ni kuwanyea tu na kuwapaka nya?Punguani tuu hao,Wana Msaada gani Kwa maisha yetu? Au nani Huwa anawaomba? Hao ndio vibaraka hawatapewa nafasi.
Sovereignty inalindwa Kwa gharama zozote.
Mkuu ikulu hakujawahi kuwa na njaa, njaa itaangamiza kote lakini si ikulu.Watalii waao kuja wanatoke Ulaya na Marekani, wakipiga Break unazania kuna watalii kutoka Burundi au Nigeria watakao waletea pesa? Heshimuni sana Wazungu.
Waendelee kuosha nepi za mabwana zaoKwa hio njia pekee ni kuwanyea tu na kuwapaka nya?
Labda wana mpango wa kuwaajiri nyinyi vijana wasioweza kuwaajiriTuwaache mabeberu tunawategemea Sana sisi vijana ambao serikali haiwezi kutuajiri na kutupa Mishahara na marupu rupu.
Mabwana zao wepi?Waendelee
Waendelee kuosha nepi za mabwana zao
Mabeberu ni mabwana wa WapinzaniMabwana zao wepi?
Hata mshahara wako wewe Kipara na unanunua bando kuongea hapa upo subsidized na wazungu!!!!!!!!!!!!Uoga na fikra za kipunda ndio mtaji mzuri kwa wazungu kumtawala mwafrika upuuzi tu!