Tanzania has the lowest IQ in East Africa

Hatujawahi kumuamini Beberu hata siku moja, na hatutamwamni, alidhani tuta mpatia nafasi ya uwekezaji, akaona tumepiga kavukavu akatugeuka pia hatukustuka.

sisi tunaamini hivi ''Ukimuona adui yako anashangilia Jiulize umekosea wapi?. nyie kwa kuchanganyikiwa mkadhani tunashangilia .
 
Kati ya kenya na tz ipi nchi inayosifika kwa njaa?

Njaa mliyonayo inatosha kujua kiwango cha IQ mlichonacho
 
Wanajipendekeza kwetu, tunawatukana, ili wakome! nani aliwaambia watufanyie utafiti?. wala hatuna haja ya kuwaonyeshea uchumi wetu, wakae kwao na sisi tukae kwetu kimya tuone nani zaidi, Tatizo mnawaogopa sana nyie, wakiwaita nyani mnashangilia!

Siku wakiondoka mnakufa wote
 
Kenya, ina Mali zaidi ila wao hawaijui, wanatusema sisi kwa sababu mabeberu tunawafukuza MK54 ni mtoto wa Beberu tu
 
Blah blah blah blah, Go tell that to ua low IQ brothers
Blah! blah! is a simple and primitive respond to a tough and sensible arguments. Kenya has nothing good to admire, apart from your Slave master support.
 
Blah blah blah blah, Go tell that to ua low IQ brothers
In this electronic age u'r still embracing notorious Slave Masters in a shameful way, they dare smoke screening you in a broad day light dat, '' your IQ is so high than the rest of fellow Africans en u rejoice it'' for real...

Kenyans you are walking dead comfortably en enjoy it.
 

Maskini jeuri, hivi unafahamu bajeti yenu ya taifa kuna kiasi kikubwa hutegemea kuzungusha kibakuli kwa mabeberu, hehehe tenda wema nenda zako yaani Miafrika unasaidiwa ila unaishia kutukana na kuzaliana, kwanza ndio mumeambiwa myatue watoto kabisa.
 
Nyerere na Moi nani anaongea kiingereza sensible? Moi hata UNGA hakuwahi toa speech inayoeleweka, mpaka one day wakiwa W/house akashindwa kujibu maswali rahisi kabisa Ouko akajibu akamuua!

Mkapa huwezi kumlinganisha na Rais yeyote Kenya kwa kiingereza acheni hizo. Wazungu wana watongoza kijanja kishoga, ili muachie tako hilo... na nyie mlivo majuha mnawashangilia, eti sisi watanzania tunawatukana badala ya kuungana tumng'oe mnatubeza. Subirini tutawapigia vigelegele mkiolewa! wanaanzaga hivhivi, kusifia kibashabasha!

Utasikia wanasema ''Kenya Mashalah! mwapendeza sana''. mtajibu '' Ndiyo bana kuba'' no Guts to argue.
 
Maskini jeuri, hivi unafahamu bajeti yenu ya taifa kuna kiasi kikubwa hutegemea kuzungusha kibakuli kwa mabeberu, hehehe tenda wema nenda zako yaani Miafrika unasaidiwa ila unaishia kutukana na kuzaliana, kwanza ndio mumeambiwa myatue watoto kabisa.
Hujui Hx yetu! sisi siyo Maskini wao wana psychological torturing kutumia neno umaskini, narudia tena Misaada tulikataa kitambo, tuna amini misaada ina hatarisha uhuru wa Mtu. wanatulazimishia misaada, ili tushindwe kujitegemea, tunajua kuwa wanajua wanatuhitaji sisi.

Kuzaliana siyo dhambi, wala kosa, tunaweza kuzalisha! nyie hamwezi, mpaka wake zenu wanawadharau, wanakuja huku. ili taifa liendelee linahitaji vitu 4

Raslimali watu ikiwa ni mojawapo, utawapataje bila kuzaliana? shule ulikariri kariri tu wewe! na ndivyo walivo wadanganya? tuna vitu ambavyo wao hawana wakae kwao mbona wanatufuata? mnashangilia adui halafu mnajiona mna akili?
 

Misaada mliikata ilihali mpaka leo mnaipokea na kuzungusha kibakuli.
 
Man, don't even get mistaken... hakuna cha utafiti wa mabeberu wala nini! Kuna ki-Blog uchwara kimoja kinatoa vi-test vyake; mtu ukifanya, nchi yoyote utayoandika kwamba unatoka, wanaingiza marksi zako huko! And it's unregulated tests.

Hicho ki-blog chenyewe Global Alexa Ranking yake ni 1.02M... hiyo inaonesha hakina hata visitors manake kwa Bongo vi-blog vinavyocheza na ranking ya 1M+ ni kama vile vya akina Le Mutuz!!



Huyo Lofa mleta mada endapo terms and conditions za hicho ki-blog wala asingeleta hiyo habari kwa sababu kv wanajua vi-test vyao sio rasmi, wameji-defend kule kwa kusema "it's just for recreational purposes"!

Na hicho ki-blog chenyewe, hakipo trusted at all manake hata ukikiangalia kwenye Trust Pilot kutokana na reviews ya watu 51, kimepata 1.4/5 = 28%!!

Sasa huyo Zuzu kaokota tu hiyo habari mtandaoni tena bila kujua source ya taarifa yake ni ipi manake alipoleta alidhani source ni blog nyingine inayoitwa worldpopulationreviews.com.

Yaani Wakenya wanaingia hapa wakitamba na kufurahia IQ 80 kumbe wakati hawajui hata source ya taarifa husika, na wala hawajui jinsi ya ku-verify taarifa online!

Anyway, utafiti rasmi ambao uliendeshwa na akina Prof Lynn umeiweka Kenya na IQ ya 72... kwahiyo kama ni utafiti wa mabeberu, ndo huu wa KE kuwa na 72.
 
Hii pumba imetoka kwa raia wa Kenya. Na bado, awamu hii haitaki kabisa dharau za kipuuzi.
 
Wewe omba omba nyamaza. Sio wewe hua nakupita na kibakuli begging from Kenyans.Wacha ujeuri yako nani na tunawasaidia sana.
 
Rasilimali ni zetu, nchi ni yetu, kama hatuna uwezo wa kuzitumia kwasasa, watazitumia watoto na wajukuu zetu, hatuna haraka. Mdogo mdogo mtaelewa tu kwamba sisi ndiyo Super power
Kwani hazitumiki?? Hawa mabeberu si kila siku wanafanya production,mzee!
 
Hata hiyo 72 wametupendelea sidhani kama tunafika hata kwenye 50%
 
Waganda wangekuwa na IQ kubwa kwa mujibu wa kipimo hiki wasingemwacha muheshimiwa atawale kwa kipindi kirefu namna hiyo,

Mtu mwenye akili nyingi hujipambanua namna anavyokabili matatizo yake, kwa hao jirani zetu hapana,

Na nadhani wamekuwa ranked hapo sababu ya proficiency yao nzuri kwenye kiingereza (nadhani ndio wa kwanza East Africa kwa kuongea kizungu kizuri) ,maana hii IQ test inapimwa Kwa lugha hiyo na sisi tunakubali kizungu chetu sio kizuri sana.

Kiuchumi UGANDA ndio wa mwisho kwa East Africa (hii ya nchi Tatu, TZ, KE, UG)
Matatizo mengine ya kiuchumi yanachangiwa pia na historia ya nchi husika ,nchi zetu za East Africa zilikuwa na approach tofauti za Economies kutoka mwanzo, wakati sisi tulianza na ujamaa uliokuja kufeli mwanzoni mwa miaka ya 90
Ninyi Kenya mmeanza na Capitalism iliyoruhusu Open market, na kuwapa uwezo wa kumiliki kadiri Ya juhudi yako,

Ujamaa kinadharia ulikuwa mfumo mzuri ila implementation yake ilikuwa changamoto ,kwa haraka haraka hatuna zaidi ya miaka 25 kwenye huu mfumo wa capitalism ambao umeprove kuwa unakimbiza maendeleo kwa haraka, TUKO SPEED TUNAKUJA, BADO TUNAJIFUNZA FITNA ZA CAPITALISM.

Lakini pia mzee wetu Mwalimu J. K. Nyerere amezihost nchi kibao kusini katika juhudi Za ukombozi (Mozambique, South Africa, Angola, Zimbabwe kuzitaja kwa uchache) Zilitumika resource zetu

UGANDA pia ilikombolewa kutoka mikononi mwa NDULI na sisi hapa

Kwa kifupi tu pamoja na changamoto Zetu Za kiuchumi, kwenye harakati Za ukombozi WA Mtu mweusi nchi yetu ina GLORIOUS HISTORY na hiyo ndiyo dalili ya kujitambua
*MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA *
 
Huwa nafatilia street debate moderated by Edith Kimani, kwenye Youtube channel ya DW, kwa upande wa arguments na discussion Ugandans wako smart followed by Kenyans, Tanzania still very weak sana in comparison.
 
Misaada mliikata ilihali mpaka leo mnaipokea na kuzungusha kibakuli.
Hizo ni chuki zenu binafsi na wivu wa kike! Mabeberu wamewafundisha kuchukia wa Africa wenzenu ili mnyonywe vizuri, na hamtaacha hiyo tabia sababu mnawaabudu ni miungu yenu,

Wapi, na lini, tuliomba Misaada? taja, Mkiomba mnadhani na sisi tunaomba, mnajidanganya, Chakula tunajilisha, Elimu Bure tunatoa, ndege tumenunua Cash faster, Bandari ni hela yetu, Barabara pana nzuri ni hela zetu, na wafanyakazi wa ndani.

Jeshi Imara tunalo linajitegemea kwa kila kitu, Shule, Hospital ya kisasa ya jeshi nzuri ya rufaa, timu ya Dharula ya jeshi, Ujenzi, Ufundi, Farm Estate za jeshi km Ruvu Ranch nk, usiombe sasa haya yoote tukaombe nini, na wapi penye uwezo km huu Duniani? haya tuna fanya kwa hela yetu bila Mzungu.

Wanaona aibu kutoa kwa watu wenye uwezo km sisi, km nyie mnavoona aibu, sasa inakuwa chuki. unaona Bandari ya Bagamoyo tuliwafukuza, Balozi wa USA tulimkataa Kenya hamwezi kufanya hivo?

Tunajitambua hatuyumbishwi! ndivo mlivo, wachoyo, mapoyoyo! Na nyie ni mzigo mkubwa kwa Africa, Kaburu alimuonea mwa frica kule South Africa tulimpa kichapo cha mbwa mwizi, nyie mlikimbia mlivo wa binafsi, bado mnaendeleza ubinafsi.

Usisahau tulikuwa nchi 5 za mstari wa mbele kwa ndugu zetu wanaoonewa , hela nyingi tulitupa huko na kweli leo wako huru! tunaheshimika Duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…