Tanzania hatujawahi kuwa na Marais au Mawaziri ambao kabla ya madaraka waliwahi kuendesha mradi wowote na wakafanikiwa

Tanzania hatujawahi kuwa na Marais au Mawaziri ambao kabla ya madaraka waliwahi kuendesha mradi wowote na wakafanikiwa

Huu mtazamo wa ''kitanganyika'' kuwa ukifanikiwa private sector wewe ni mwizi ni muhimu sana japo mara nyingi siyo hivyo. Na mimi sisemi kuwa kila mfanyabiashara ni mwizi au hawezi kuongoza. Lengo langu ni kumwonyesha mwanzisha thread kuwa siyo lazima ukifanikiwa kwenye biashara basi wewe ni kiongozi mzuri. Vivyo hivyo, utajiri haumaanishi kuwa utakuwa kiongozi mbaya. I mean nataka tujikite kwenye tatizo linasababisha hasa tunashindwa ki-uongozi na tusipotoshe. Turudi kwenye katiba nzuri tuache kupotosha.
hujawahi kuanzisha kitu chochote kikafanikiwa, unawezaje kuongoza nchi kwenye mafanikio? tusidanganyane
 
Mleta kataja uraisi, ubunge na uwaziri.
Wengine Amir Jamal na Alnur Kassim
 
Kumbuka katiba inaendeshwa na watu.Mnaweza kuwa na katiba nzuri sana na sheria nzuri lkn utayari wa wananchi wenyewe kuanzia kiakili - kichwani na kimtazamo kutekeleza hayo maelekezo inaweza kuwa changamoto.
Unakumbuka kesi ya kina Mbowe na suala la PGO??.Utaratibu upo lkn haufuatwi - mambo yanakaa kwenye makabrasha tu..
Pia mtu aliyesimamia biashara akatoboa na kuikuza ikawa kitu kinachosaidia maisha ya watu wengi - usifikiri ni mtu mwepesi hata kidogo.Kuanzia uwezo wa kuhimili taabu, mateso, uwezo wa kujiongoza au kuongoza wengine, uwezo wa kuwa na maomo na kuyasimamia licha ya vishawishi vingi na pressure hasi kutoka ndugu, jamaa na marafiki.
Mtu kama huyo kumuweka serikali tena ambapo tayari kuna miongozo atapush parefu sana - real life experience usicheze nayo.
Naona mama alianza kawatoa watu private huko na kuwaleta serikalini..lengo ndo hilohilo kuleta nidhamu ya kazi, kufanya kazi kwa malengo etc..na sio bora liende tu..
Unajua maana ya uongozi. Kama wananchi wana changamoto ni juu yako kuwaongoza. Unajua ninyi mmelemazwa na huu uongozi wa CCM ambao rais na viongozi wanakuwa pale kwa manufaa yao. Huijui dunia wewe ndiyo maana. Kiongozi mzuri ni yule anayejua udhaifu wa anaowaongoza na kuurekebisha. Ni nini sasa maana ya uongozi kama hujui kinachowasibu watu wako na kurekebisha?
 
Siyo lazima kuanzisha. Urais unahitaji mtendaji mzuri mwenye maono. Tusidanganyane.
Mwenye maono atajulikana vipi? Au ni kumchomeka kwenye uongozi kwanza halafu ndiyo tujue kama ana maono au hana? Na wakati huo tunakuwa hatuna tena uwezo wa kumgusa,tutamjuaje before?
 
Huu mtazamo wa ''kitanganyika'' kuwa ukifanikiwa private sector wewe ni mwizi ni muhimu sana japo mara nyingi siyo hivyo. Na mimi sisemi kuwa kila mfanyabiashara ni mwizi au hawezi kuongoza. Lengo langu ni kumwonyesha mwanzisha thread kuwa siyo lazima ukifanikiwa kwenye biashara basi wewe ni kiongozi mzuri. Vivyo hivyo, utajiri haumaanishi kuwa utakuwa kiongozi mbaya. I mean nataka tujikite kwenye tatizo linasababisha hasa tunashindwa ki-uongozi na tusipotoshe. Turudi kwenye katiba nzuri tuache kupotosha.
Mkuu kwani katiba inaweza kutumika na viongozi waliolelewa na mfumo wa kuteuliwa tu, na haiwezi tumika kwa hao waliofanikiwa private sector?
Marais wazuri wengi huwa ni wale walitokea private sector na hawakuwa na ukiritimba, team za maswahiba wakuwalipa vyeo, njaa njaa na kutozoea luxury, wamezoea delegation of power uko kwenye makampuni yao, wamezoea kufanya mambo kwa malengo na kujipima mafanikio au hasara, sio washamba. Mtu aliyedumu serikalini miaka 30 hawezi kuleta mageuzi akiwa Rais, kayajulia wapi?

Nikupe mfano mwingine, jeshi la Marekani mara nyingi halichagui kamanda ambaye alifukuza mke, alitelekeza mtoto, alimpiga mke, alitishia kuua, aliwahi kulewa akaendesha gari. Unajua kwanini?

Kama kulea familia ya watu wanne unaowalisha mwenyewe tu huwezi, vipi tukikupa command ya brigade nzima yenye silaha kali na wanajeshi wakorofi ambao umewakuta?

Kama ulilewa ukaendesha gari na ni kinyume cha sheria, that means unaweza kuwa na abuse of power tukikupa.

Kama ulikuwa unapiga mke, maana yake una temper sasa ukiongoza ndegevita zenye mabomu ya nyuklia itakuwaje?

Ndio maana Marekani ina Rais mmoja tu aliyekuwa bachelor, na ni mojawapo ya Marais wao wa hovyo kuwahi kutokea, na ndiye alisababisha American civil war. Baada ya hapo huwezi kuwa eti unaogopa kuoa (kuongoza mtu mmoja) alafu unataka tukupe nchi ngumu USA uongoze.

Katika mambo madogo mengi na experience ya mtu tunaweza jua tabia yake itatufaa kiasi gani. Bila hivyo tunajikuta na Rais ambaye ni rahisi kumtuhumu alipiga mtu risasi akiwa ikulu.
 
Unajua maana ya uongozi. Kama wananchi wana changamoto ni juu yako kuwaongoza. Unajua ninyi mmelemazwa na huu uongozi wa CCM ambao rais na viongozi wanakuwa pale kwa manufaa yao. Huijui dunia wewe ndiyo maana. Kiongozi mzuri ni yule anayejua udhaifu wa anaowaongoza na kuurekebisha. Ni nini sasa maana ya uongozi kama hujui kinachowasibu watu wako na kurekebisha?
sawa kabisa
 
Mwenye maono atajulikana vipi? Au ni kumchomeka kwenye uongozi kwanza halafu ndiyo tujue kama ana maono au hana? Na wakati huo tunakuwa hatuna tena uwezo wa kumgusa,tutamjuaje before?
ni hatari sana kupima maono ya mtu akiwa madarakani. wakati hajawahi kutuonesha kwa vitendo namna ya kufanikisha jambo.
 
Mkuu kwani katiba inaweza kutumika na viongozi waliolelewa na mfumo wa kuteuliwa tu, na haiwezi tumika kwa hao waliofanikiwa private sector?
Marais wazuri wengi huwa ni wale walitokea private sector na hawakuwa na ukiritimba, team za maswahiba wakuwalipa vyeo, njaa njaa na kutozoea luxury, wamezoea delegation of power uko kwenye makampuni yao, wamezoea kufanya mambo kwa malengo na kujipima mafanikio au hasara, sio washamba. Mtu aliyedumu serikalini miaka 30 hawezi kuleta mageuzi akiwa Rais, kayajulia wapi?

Nikupe mfano mwingine, jeshi la Marekani mara nyingi halichagui kamanda ambaye alifukuza mke, alitelekeza mtoto, alimpiga mke, alitishia kuua, aliwahi kulewa akaendesha gari. Unajua kwanini?

Kama kulea familia ya watu wanne unaowalisha mwenyewe tu huwezi, vipi tukikupa command ya brigade nzima yenye silaha kali na wanajeshi wakorofi ambao umewakuta?

Kama ulilewa ukaendesha gari na ni kinyume cha sheria, that means unaweza kuwa na abuse of power tukikupa.

Kama ulikuwa unapiga mke, maana yake una temper sasa ukiongoza ndegevita zenye mabomu ya nyuklia itakuwaje?

Ndio maana Marekani ina Rais mmoja tu aliyekuwa bachelor, na ni mojawapo ya Marais wao wa hovyo kuwahi kutokea, na ndiye alisababisha American civil war. Baada ya hapo huwezi kuwa eti unaogopa kuoa (kuongoza mtu mmoja) alafu unataka tukupe nchi ngumu USA uongoze.

Katika mambo madogo mengi na experience ya mtu tunaweza jua tabia yake itatufaa kiasi gani. Bila hivyo tunajikuta na Rais ambaye ni rahisi kumtuhumu alipiga mtu risasi akiwa ikulu.
asante mkuu kwa elimu kedekede
 
Mtazamo mbaya wa Kitanganyika kwamba ukifanikiwa kwenye private sector wewe ni mwizi.

Marekani imewahi ongozwa majenerali wazuri wastaafu, wanasheria wakubwa, wafanyabiashara na hadi sasa Rais mteule ni mfanyabiashara, bondia kama Abraham Lincoln, mwigizaji wa filamu kama Ronald Reagan na hawa wote walifanikiwa kwenye fani zao.

Hufyatuki uko ukagombea Urais na hujawahi fanikiwa kwenye jambo lolote ulilofanya. Wala huji kugombea wakasema wewe ni tajiri hivyo ni mwizi, Rais Ford alikuwa billionaire na alifanya sera nyingi nzuri zinazohusiana na sheria za kazi. Hata sheria ya siku 5 za kazi, saa 8 za kazi, siku mbili za weekend aliianzisha yeye huku wakosoaji wakiipinga vikali.

Ford aliianzisha kwenye kiwanda chake, Ford akiwa mmiliki wafanyakazi wake waliweza jenga nyumba, miliki gari na kulea familia huku mama akiwa wa nyumbani. Wamefuata Marais hao unaoita sio wezi wakaharibu.

Israel viongozi wao hasa Waziri Mkuu aliwahi fanikiwa kwenye jambo lao kuu, ulinzi na usalama.
Sasa sisi mtu alikuwa UVCCM, mjumbe wa sijui nini, kaimu, mkuu wa wilaya, boom Waziri alafu leo Wizara ya Afya, kesho Wizara ya Michezo na kote uko hajui kitu.
Rais Gerald Ford ni watu wawili tofauti na bilionea Henry Ford. Rais Ford hakuwa bilionea wala mfanyabiashara bali career politician.
 
Ku-run nchi na kuendesha mradi ni vitu viwili tofauti. Kwanza wengi ya hawa wenye miradi ni watu wa shortcut na wamepata mafanikio kwa njia haramu. Tanzania tunahitaji katiba nzuri ili tuwe na urahisi wa kuchagua kiongozi mzuri na kumuondoa iwapo atazembea.
Sahihi, tatizo ni katiba zaidi.
 
Na matatizo makubwa ya taifa yanatokana na hilo.

Watu wenye kufanya maamuzi makubwa ya taifa hawana uzoefu wowote katika sekta wanazozitolea maamuz
 
Mkuu kwani katiba inaweza kutumika na viongozi waliolelewa na mfumo wa kuteuliwa tu, na haiwezi tumika kwa hao waliofanikiwa private sector?
Marais wazuri wengi huwa ni wale walitokea private sector na hawakuwa na ukiritimba, team za maswahiba wakuwalipa vyeo, njaa njaa na kutozoea luxury, wamezoea delegation of power uko kwenye makampuni yao, wamezoea kufanya mambo kwa malengo na kujipima mafanikio au hasara, sio washamba. Mtu aliyedumu serikalini miaka 30 hawezi kuleta mageuzi akiwa Rais, kayajulia wapi?

Nikupe mfano mwingine, jeshi la Marekani mara nyingi halichagui kamanda ambaye alifukuza mke, alitelekeza mtoto, alimpiga mke, alitishia kuua, aliwahi kulewa akaendesha gari. Unajua kwanini?

Kama kulea familia ya watu wanne unaowalisha mwenyewe tu huwezi, vipi tukikupa command ya brigade nzima yenye silaha kali na wanajeshi wakorofi ambao umewakuta?

Kama ulilewa ukaendesha gari na ni kinyume cha sheria, that means unaweza kuwa na abuse of power tukikupa.

Kama ulikuwa unapiga mke, maana yake una temper sasa ukiongoza ndegevita zenye mabomu ya nyuklia itakuwaje?

Ndio maana Marekani ina Rais mmoja tu aliyekuwa bachelor, na ni mojawapo ya Marais wao wa hovyo kuwahi kutokea, na ndiye alisababisha American civil war. Baada ya hapo huwezi kuwa eti unaogopa kuoa (kuongoza mtu mmoja) alafu unataka tukupe nchi ngumu USA uongoze.

Katika mambo madogo mengi na experience ya mtu tunaweza jua tabia yake itatufaa kiasi gani. Bila hivyo tunajikuta na Rais ambaye ni rahisi kumtuhumu alipiga mtu risasi akiwa ikulu.
Huu ni mtazamo potofu sana, kuongoza nchi ni tofauti sana na kuendesha kampuni.
Bill Clinton ambaye ni career politician, mojawapo wa marais bora kabisa wa Marekani aliicha US na ziada ya bajeti(surplus), Bush Mfanyabiashara aliyerithi uchumi imara kutoka kwa Clinton aliiacha Marekani na deni kubwa, vita visivyoisha(endless wars) pamoja na matatizo makubwa ya uchumi.
 
Back
Top Bottom