Ukiangalia kwa haraka haraka tu, utaona uongozini kulikuwa na magroup/matabaka kati yao. Hii inafanya utunzaji siri uwe mgumu.Kutokana kifo cha JPM, Leo nilipata muda wa kutafakari mambo kadhaa. Tafakuri yangu imenipa jibu kwamba Tanzania tumevamiwa na maadui kila kona...
Mkuu unakuwa mjinga kidogo.
Watu wasiporidhika ni vigumu sana kuwanyamazisha.
YOU CANT SILENCE THE WORLD.
Kwamba vyombo vingi vimenyamazishwa siyo kwamba watendaji wote wanaipenda hali hiyo.
Kila binadamu anayo nafsi inayomtuma kutenda sawa hata kama kuna watu hawapendi ukweli ujulikane.
[emoji23][emoji23][emoji23]eti na miwani kama wachomolea magetiHii kubwa kuliko:
"TISS wa siku hizi kazi yao kuvaa suti nyeusi na miwani kama wachomelea mageti lakini wengi wao wanakiuka viapo vyao. Zamani mtu wa TISS kumtambua ilikuwa ngumu, ila siku hizi hadi wanajitambulisha wenyewe mitaaani hii ni hatari."
Ni kweli na yeye akajifanya kutabiriH
Hata issue ya huyo Mchungaji wa kanisa moja kudai kuwa, aliona kifo mapema week tatu. Nafikiri hao TISS walimpa taarifa kuwa mkulu anaumwa
Inaweza kuwa hakutumia smart phone maana quality yake hyo video, it's like katumia maybe camera za saa au mawani na anaweza kuwa mmoja hata ya hao walinzi raia wakawaida ni ngumu kurecordHii ni kweli hiyo video nimeiona nikajiuliza huyu mtu aliwezaje ku record video ya rais akiwa kwenye jeneza? Nikawaza au aliweka simu kwenye mfuko wa shatiakageuza camera ikarecord?
Nikakumbuka movie moja ya kokorea video inarecodiwa kupitia miwani miwani dah.
Ngoja watu waiwekee caption matata ianze kuzurula Google.Ndo jua sasa wale jamaa na misuti yao myeusi na miwani na microphone kumbe hamna kitu .TISS inatakiwa kuundwa upya na sio kuokota okota tuu.
Wewe Sijajua unaishi kwenye Dunia Ipi. Unaishi kwenye Dunia ya analojia au ya Digital.Wasaidizi wa Rais wana vifaa maalumu vya kunusa hatari,Wanaweza kudetect devices.Kitendo cha mtu kupita pale na Camera wakati walikataza jua hawa jamaa hawako makini.Any time hata Rais angeweza kuvamiwa
Ukitaka maendeleo kubali na mamboleoTISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.
zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.
na huu ni mwanzo.tu.
ingekuwa rahis hivyo tyr wangesha shut down haya mamboUsijali..tuna deploy kutoka zenji...nadhani unawaelewa hawa jamaa.
Hizi mambo zote za kuvuja kwa taarifa hutaziona tena,labda ziamriwe ili kuchangamsha jamii.
Magu si ana mtoto mmoja wa kiumeKwani Magufuli alikuwa Mungu .Magufuli ana watoto na walikuwa .Magufuli mtu wa kinondoni Mtoto wake Donald drug addict Mlevi .picha kibao za baba ake kwenye simu .Magufuli ni baba ake sio rais kwa yeye
TISS hawa select watu hovyo. wana hand pick wao anae ona ana wafaa. sio ww kujiona unafaaMi huwa nashangaa kwanini TISS hawanioni,nina eagerness ya kufanya nao kazi ila mpaka leo hawanioni? Imagine hata 35 tu sijafika na Taifa linaonesha nia ya dhati kunihitaji[emoji22]
Tuna uchungu na nchi hii tuambie wako wapi waliomuua Akwilina? Au Akwilina alikuwa mkimbizi siyo mtanzania? Kuna orodha ndefuMwamba ameongelea ethics za TIS za sasa zimebadilika sana??, Yaani mtu yupo ubelgiji ndo anatoa taarifa za mjomba?? Ni ukweli usiopingika kuwa kuna kundi la watu hapo TIS ndo wamempa taarifa huyo jamaa wa ubelgijj. Na hii yote ni kuwa TIS na huku ni mwana CCM.
Awe ccm kwa kazi maalumu tuu. Lkn cyo kuwa kindakindaki. Tunaitaji kuwa na Strong institution na cyo strongmen. Pumuzika kwa amani mwamba Jpm! UlichokifanyaTz!
kwa kila m tz wa kweli na mwenye machungu na nchi yake ni lazima akulilie kwa uchungu. Kazi umeifanya JPM! Umeiyachia Tz heshima hapa duniani na kwa familia yako kwa ujumla.