Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Acha hizo mfumoko wa bei kwa magu ndio ilikua balaa alikuta sukari buku 2 akapandisha mpka buku 3000...mazao yakashuka bei kwa ukichaa wake,hakuna mwenye afadhali kati yao wote marais wa hobyohovyo
 
Acha hizo mfumoko wa bei kwa magu ndio ilikua balaa alikuta sukari buku 2 akapandisha mpka buku 3000...mazao yakashuka bei kwa ukichaa wake,hakuna mwenye afadhali kati yao wote marais wa hobyohovyo
Muulize mafuta ya Kula anajua sasa ni bei gani?!!..Nyama imepanda bei!!
 
Mmeanza maujinga yenu.mimi sijui mnawaza kwa kutumia nini...Yaani mna uharo nyie watu kila mtu ana unafiki wa njaa wala hamna mapenzi na huyo mama ni Uharo wa njaa unakusumbua tu...Huyu Mama muacheni afanye kazi acheni njaa zenu hizi...
 
Mmeanza maujinga yenu.mimi sijui mnawaza kwa kutumia nini...Yaani mna uharo nyie watu kila mtu ana unafiki wa njaa wala hamna mapenzi na huyo mama ni Uharo wa njaa unakusumbua tu...Huyu Mama muacheni afanye kazi acheni njaa zenu hizi...
Kumbe wanalipwa duuuuh, Ila vipi kuhusu yaliyoandikwa niyakweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…