Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Eeh huyo ni bwana CM 1774858 katika ubora wake. Hata siku akitawazwa na ganda la mpapai atasifia kuwa mama amesaidia yeye kutawazwaKama huyu lumumba?View attachment 2026703
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh huyo ni bwana CM 1774858 katika ubora wake. Hata siku akitawazwa na ganda la mpapai atasifia kuwa mama amesaidia yeye kutawazwaKama huyu lumumba?View attachment 2026703
Ni majitu ya hovyo hovyo sanaEeh huyo ni bwana CM 1774858 katika ubora wake. Hata siku akitawazwa na ganda la mpapai atasifia kuwa mama amesaidia yeye kutawazwa
Acha hizo mfumoko wa bei kwa magu ndio ilikua balaa alikuta sukari buku 2 akapandisha mpka buku 3000...mazao yakashuka bei kwa ukichaa wake,hakuna mwenye afadhali kati yao wote marais wa hobyohovyoSi Bora ya magufuli, tulikuwa na umeme, maji, vifaa vya ujenzi kwa Bei Chee, mfumuko wa Bei ulikuwa hakuna, sasa HUYU SSH dah tunalia sisi wafanyabiashara mzunguko wa pesa hakuna, mauzo hakuna, umeme wa mgao, maji ya mgao, vifaa vya ujenzi Bei juuuuu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Muulize mafuta ya Kula anajua sasa ni bei gani?!!..Nyama imepanda bei!!Acha hizo mfumoko wa bei kwa magu ndio ilikua balaa alikuta sukari buku 2 akapandisha mpka buku 3000...mazao yakashuka bei kwa ukichaa wake,hakuna mwenye afadhali kati yao wote marais wa hobyohovyo
Shida tunapata Watanzania wote,tozo,kupanda bei za bidhaa muhimu,mgao wa umeme,mgao wa maji hauchagui chama. Uchawa tu ndiyo unakusumbua.CHADEMA mtapata shida sana, Hakuna kama Samia,
Tumeanza nini?Mmeanza tena 🤣🤣🤣!!!
Daaah, Hii mada inaubaya gani?Tanzania inavijana wa hovyo sana kama hii ng'ombe iliyoleta mada.
Wewe jamaa huenda ukawa ndio mchawi,Kweli huoni haya?Shida tunapata Watanzania wote,tozo,kupanda bei za bidhaa muhimu,mgao wa umeme,mgao wa maji hauchagui chama. Uchawa tu ndiyo unakusumbua.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Nzuri sanaaaUmesahau,
Uhuru wa mahakama,
Demokrasia,
Uhuru wa kujieleza
Uhusiano kimataifa,
Ujenzi wa LNG
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Ujenzi wa SGR
ujenzi wa SG
Mpumbavu kama wewe huoni haya kutetea wapigaji wa Msoga Gang. Ukute unaishi kwa dadako hujui hata gharama ya maisha ni nini kula kulala mtaji kiuno cha dadako.Wewe jamaa huenda ukawa ndio mchawi,Kweli huoni haya?
Daah unalaana wewe naonaMpumbavu kama wewe huoni haya kutetea wapigaji wa Msoga Gang. Ukute unaishi kwa dadako hujui hata gharama ya maisha ni nini kula kulala mtaji kiuno cha dadako.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe kwa umri wako kuendelea kuishi kwa dadako hiyo ndiyo laana na ndiyo maana hata uwezo wako wa kufikiri uko chini sanaDaah unalaana wewe naona
Kitambo nilishajua huna akili timamu weweWewe kwa umri wako kuendelea kuishi kwa dadako hiyo ndiyo laana na ndiyo maana hata uwezo wako wa kufikiri uko chini sana
No 1.9T hadi 1.72TTrillion 19 kwa Mwezi?
Hizi muhimu sana,Umesahau,
Uhuru wa mahakama,
Demokrasia,
Uhuru wa kujieleza
Uhusiano kimataifa,
Ujenzi wa LNG
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Ujenzi wa SGR
ujenzi wa SG
Hivi na wewe unajihesabu kuwa na "akili timamu"?Kitambo nilishajua huna akili timamu wewe
Praise and worshipTumeanza nini?
Uhuru wa mahakama,
Demokrasia,
Kumbe wanalipwa duuuuh, Ila vipi kuhusu yaliyoandikwa niyakweli?Mmeanza maujinga yenu.mimi sijui mnawaza kwa kutumia nini...Yaani mna uharo nyie watu kila mtu ana unafiki wa njaa wala hamna mapenzi na huyo mama ni Uharo wa njaa unakusumbua tu...Huyu Mama muacheni afanye kazi acheni njaa zenu hizi...