Bora waichukue nchi yote halafu waijenge iwe kama Dubenga hahahahahahahahaha full maflyover, maskyscraper kudadek, magari ya kifahari huhuhuhuhu lalalalalala. Ntafurahi sana aisee kubabek raha kama zote. MAMA TUUZE HARAKA WASIJE WAKAGHAIRI BURE.
 
Wanasiasa wamelitengeneza tatizo, kisha Rais atakuja na kauli ya kulitatua ili awe HERO. (Yaani wanajitekenya, halafu wanacheka wenyewe).

Kisha vijana wa CCM watatoa Pongezi zao kwa Mwenyekiti wao. na kusema anawajali Watanzania.

Mwisho, Hii ni wana test mitambo tu, ila nyuma ya pazia watapitisha.

#Blame Society
 
Wana JF popote
Popote ulipo bila kujali vyama, dini wala kabila andika neno hapana kupinga mikataba ya kilaghai ya siri wanayoingia viongozi,
Tambueni nchi sio ya Rais, wenye nchi ni wewe mtanzania hakikisha unademand uwazi kwenye mikataba tuanzie hii ya bandari,
Fanya hivo ili hata wajukuu zetu utawaelezea kua ulipinga kuuzwa kwa rasilimali za nchi yao hata kwa ID fake ya Jamii Forum,
Simama mtanzania, muda ni huu, wapuuzi wachache wasitupeleke kubaya,
Kama Raia wameshindwa kuendesha bandari tunalitaka JWTZ likaiongoze na vitengo vyote wawepo wao ili tujihakikishie usalama wetu na rasilimali zetu,
Sio bahati mbaya Tanzania kupewa bandari na Mwenyezi mungu, lazima tuamke, madini waliuza, gesi wakauza usiku bila aibu, mbuga za wanyama washauza, na bandari wanataka kuuza bila aibu,
 
Acha watujengee madrasa hakuna shida.
 
HII NCHI INGEUZWA TU KILA MTU ALIPWE CHAKE BADO KIDOGO MLIMA KILIMANJARO NAO UTAENDA
Hongera sana CCM
 
Mimi sina tatizo na huo mkataba iwapo una nia kweli ya kuleta tija huko bandarini. Hofu yangu ni iwapo tu maslahi ya Taifa yatapewa kipaumbele, kutokana na aina ya viongozi na wasomi wetu.

Lakini pia kutokuweka ukomo wa huo mkataba, ni tatizo pia. Ikitokea mkazinguana, kesi inaenda kusikilizwa kwenye mahakama za kimataifa!! Yale yake ya mikataba ya Richmond, Escrow, nk!!

Ujinga mtupu.
 
Wauzwe mara ngapi? Naililia Danganyika. Uozefu wangu unaonyesha kuwa marais waswahili ni wa hovyo sana. Kwa vile ni watumwa wa kujitakia wa waarabu kwa kisingizio cha uislam. Muungano unaanza kuleta maangamizi baada ya gabacholi kupewa madaraka. Naanza kuwa na wasi wasi na kifo cha ghafla cha Magufuli. Inawezekana alikolimbwa au kusokoiniwa.
 
Ongeza wapumbavu na watumwa kama yeye
 
adhibitiwe kusafiri safiri, huko ndiko anazidi kutuchomesha mahindi.....anatuingiza mkenge taratibu mwisho tutajikuta tupo baharini na hakuna maboya ya kutusaidia kuokoa maisha yetu
 
Bora waichukue nchi yote halafu waijenge iwe kama Dubenga hahahahahahahahaha full maflyover, maskyscraper kudadek, magari ya kifahari huhuhuhuhu lalalalalala. Ntafurahi sana aisee kubabek raha kama zote. MAMA TUUZE HARAKA WASIJE WAKAGHAIRI BURE.
Dah! Nimecheka sana😂
 
Huo ni uwekezaji ni vzr
 
No Retreat ! Sasa ni muda wako wa kusarender kwani inajidhihirisha unaandika upuuzi bila hata ya kujua undani wake
 
Kwani unafikiri sisi hatuwezi kufanya hayo? Wapo wanaoweza lakini kutokana na si wa kundi fulani la kimaslahi, hawawekwi kwenye nafasi
Shida baadhi ya sisi waafrika tukikabidhiwa kitengo tunakuwa mabosi uchwara, ukiritimba, umangimeza na tambo kibao! Hakuna kazi inayofanyika wala usimamizi, kauli za amri amri na kutishana, kukwamishana na kutambiana wakurugenzi wenyewe kwa wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…