Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam
Miaka 100 kwa billion 500 ambazo hata bahresa angefanya kazi hiyo !!mzee mwinyi aliuza loliondo kwa mwarabu huyohuyo Leo wamasai wanakufa na kuzikwa kwa risasi za mwarabu ,TICS nayo tuliambiwa bandari itafanya vizuri lakini wewe ulishuhudia utopolo wa hao wahuni au umesahau
 
Miaka 100 kwa billion 500 ambazo hata bahresa angefanya kazi hiyo !!mzee mwinyi aliuza loliondo kwa mwarabu huyohuyo Leo wamasai wanakufa na kuzikwa kwa risasi za mwarabu ,TICS nayo tuliambiwa bandari itafanya vizuri lakini wewe ulishuhudia utopolo wa hao wahuni au umesahau
Tatizo ni ufuatailaji wa vipengele na makubaliano ya mkataba. Viongozi wetu watahongwa wanasahu kila kitu

Pili miaka 100 ni mingi sana , watu wanikite kwenye muda, hila kutangaza bandari nzima inakodishwa sio sahihi, tunapoyisha kwa maslahi ya nani?
 
KAZI NA IENDELEE,
PAMBIO NA NYIMBO ZA KUSIFU ZIENDELEE
MAMAKE ANAUPIGA MWINGI


CC:CHAWA WA MAMA
 
Miaka 100 kwa billion 500 ambazo hata bahresa angefanya kazi hiyo !!mzee mwinyi aliuza loliondo kwa mwarabu huyohuyo Leo wamasai wanakufa na kuzikwa kwa risasi za mwarabu ,TICS nayo tuliambiwa bandari itafanya vizuri lakini wewe ulishuhudia utopolo wa hao wahuni au umesahau
Hapo kwenye miaka 100 ndo wanaweka usiri!! Hawataki tujue
 
Bandari inayoingiza Tsh Trion 8 kwa mwaka ndo tuiuzr kwa Tsh bilioni 500 kwa miaka 100?? Hapo inabidi viongozi watwelezee vizuri
 
Waarabu ni jamii ambayo watu wake wengi wanajua matumizi sahihi ya choo. Matumizi sahihi ya choo sio changamoto na watu wake wazima hawafundishi matumizi ya choo.

Waarabu ni jamii ambayo haina harakati za kuhimiza wanaume watu wazima kutahiriwa.
Hili ni jambo walilovuka kitambo sana katika karne nyingi zilizopita.

Waarabu ni jamii ambayo watu wake wengi wanajua kunawa mikono kwa usahihi kabla ya kula. Huwezi ukakuta katika mgahawa wa uarabuni chombo cha maji machafu ya kunawia mikono kinachanganywa tena katika maji watu wanayopaswa kunawia mikono. Watu wake wanajua kutofautisha.

Katika mazingira machache kama haya bandari wataweza kwa sababu inahitaji utashi na nidhamu tu kuendesha bandari.
 
Nashauri Dubai wasiishie bandarini th bali wakabidhiwe na shirika la ndege ATCL ili tunyooshwe vizuri. Asanteni
 
Yaani ccm ilete ajenda, wakati yenyewe ndio imerukia tukio la mpira? Chama chenye ajenda hakiwezi kutegemea vyombo vya dola kubaki madarakani kwa shuruti miaka yote.
Wananchi ndio wenye mamlaka ya kubadili mamlaka kw sanduku la kura utafiti unaonyesha wananchi wamerizika na utawala wao!
 
Sawa,ni jambo la heri!

Je imeingia mkataba wa muda gani

Ova
 
Maelezo mengi lakini maswali yanabaki;

1. Hii haraka ya mkataba ya nini?

2. Halafu kwa nini miaka mingi hivyo?

3. CCM na mafisadi wanajua udhaifu wa bunge la sasa, Bunge la Magufuli, bunge la CCM ndio maana wanaona wamalize mchezo mapema.

Lakini kila mtu atapokea malipo ya kazi yake aliyofanya. Kila uovu utalipwa na pia lola wema utalipwa
 
Kwenye uwekezaji Tanzania daima tunafeli! Hatuna mfano wowote bora. Ni vizuri tukubali corruption ndio chanzo cha mikataba mibovu.

Idara za ulinzi na usalama zifanye kazi zao, siku hizi huvamiwi kijeshi direct, unafanyiwa ujasusi wa uchumi alafu kazi inaisha kirahisi mkiwa na mabunduki yenu.

Bandari kama lango kuu na kuna jeshi la Navy vipi hili kiulinzi kama hawa watahusika maeneo yote. Tumepata maoni ya jeshi?
 
Hakuna mahala tulipowahi kufanikiwa kwenye haya mambo yaubinafsishaji zaidi ya hasara na vilio kila mahala.

Uwezo wa watu wetu kiakili bado ni mdogo sana, lakini pia tamaa na ubinafsi wa watu wetu nayo ni changamoto pia.
 
Hakuna mahala tulipowahi kufanikiwa kwenye haya mambo yaubinafsishaji zaidi ya hasara na vilio kila mahala.

Uwezo wa watu wetu kiakili bado ni mdogo sana, lakini pia tamaa na ubinafsi wa watu wetu nayo ni changamoto pia.
Na Serikali wataiuza lini ?
 
Huyu mama vp??? Anataka kutupeleka wapi waswahili?
Screenshot_20230607-141500_1.jpg
Screenshot_20230607-141512_1.jpg
Screenshot_20230607-141528_1.jpg
Screenshot_20230607-141542_1.jpg
 
Back
Top Bottom