Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

[emoji736]UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

[emoji736]Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

[emoji736]Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

[emoji736]Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

[emoji3504]Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

[emoji3504]Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

[emoji3504]Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

[emoji3504]Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

[emoji3504]DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

[emoji599]Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Kama ccm imeanza kutumia watu duni kama wewe kuitetea , basi bila shaka mwisho wake umefika rasmi .
 
Hii nchi niulize kwanza ina shida gani? Nani ametuloga? Kwahiyo hili Bunge na wabunge kazi zao ni nini?

Inasikitisha na kuumiza hivi kweli yeye anaupiga mwingi? Bandari finally inabinafsishwa kwa 100? Kweli Kagame hakukosea alivyosema tumpe bandari then yeye atatoa nusu ya bajeti hakukosea aisee!

Wabunge huu ujinga na uzandiki mnaofanya haukubaliki.

FB_IMG_1686071532294.jpg
FB_IMG_1686071524754.jpg
FB_IMG_1686071519969.jpg
FB_IMG_1686071516080.jpg
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

[emoji736]UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

[emoji736]Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

[emoji736]Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

[emoji736]Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

[emoji3504]Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

[emoji3504]Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

[emoji3504]Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

[emoji3504]Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

[emoji3504]DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

[emoji599]Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Yaani Wazanzibari watu walikuwa wanaenda shule. Wao wana cheza bao tu.

Yaani Ukodishe kitega Uchumi kikuu cha Taifa kwa Mhuni , tena Mwarabu! Serikali ya Tz imeshindwa nini?
 
Wewe kweli una matatizo makubwa. Umetumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA bila hujaonesha ubora wa huo mkataba hata kidogo. Punguza unafiki na siasa za kijinga.
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

✅UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

✅Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

✅Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

✅Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

▶️Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

▶️Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

▶️Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

▶️Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

▶️DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

🚨Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Bro wewe ni mpuuzi kweli, unaandika nini? Mkataba umesainiwa Dubai huoni kama Shida inaanzia hapo, Nan mwenye akili timamu anaweza kusaini mkataba wa kubinafsisha internal resource nje ya nchi? Huo mkataba umeuona wewe??nani kauona? Dp world ni wajinga kiasi Gani waje kuwekeza kwenye hasara??sisi tunashindwa Nini kubaini changamoto za bandari na kuzifanyia kazi. This personal interest, ni mtu mmoja tu kwa maslahi yake KAAMUA
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

✅UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

✅Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

✅Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

✅Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

▶️Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

▶️Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

▶️Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

▶️Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

▶️DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

🚨Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Wewe kenge weka mkataba hapa
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

[emoji736]UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

[emoji736]Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

[emoji736]Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

[emoji736]Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

[emoji3504]Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

[emoji3504]Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

[emoji3504]Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

[emoji3504]Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

[emoji3504]DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

[emoji599]Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Daaah,,mleta mada sijui shuleni ulienda kufanya nini. Yaani unatumia kiungo cha mwili kilicho wazi kufikiri badala ya ubongo kweli!
Miaka 100 mtu amezaliwa na amekufa lakini watu bado wanaendelea kupata ujuzi khaaa.
 
Bandari ya Dar es salaam ndilo lango la biashara na bidhaa kwa nchi kwa uchumi wa Tanzania na majirani zake.
Kuiweka rehani kwa wageni ni kuhujumu uchumi wa nchi na msjirani zake
Hivyo, nasema silabi tatu tu HAPANA.
Tusirudie makosa tuliyofanya kubinafsisha TANESCO NA ATCL.
 
Roho inaniuma sana, hv kuna nini hasa kimeikamata hii nchi, kila mara kujipeleka kwenye midomo ya chatu?
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

✅UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

✅Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

✅Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

✅Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

▶️Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

▶️Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

▶️Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

▶️Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

▶️DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

🚨Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

✅UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

✅Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

✅Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

✅Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

▶️Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

▶️Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

▶️Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

▶️Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

▶️DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

🚨Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

✅UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

✅Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

✅Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

✅Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

▶️Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

▶️Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

▶️Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

▶️Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

▶️DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

🚨Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

✅UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

✅Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

✅Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

✅Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

▶️Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

▶️Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

▶️Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

▶️Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

▶️DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

🚨Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Wewe jamaa vp
 
HUU MKATABA UNAANZA LINI JAMAANIII!! KAMA NI 2024 YAANI +100YRS, JE WEWE NA MIMI NI KIZAZI CHA NGAPI TOKA KWAKO AU KWANGU KITAPOKEA KIJITI TOKA KWA HAWA MAJIZI!!!
 
Hao wanajulikana ni kikundi fulani cha kudandia matukio na kuyafanya ajenda mbaya baada ya muda ccm huleta mpya!
Yaani ccm ilete ajenda, wakati yenyewe ndio imerukia tukio la mpira? Chama chenye ajenda hakiwezi kutegemea vyombo vya dola kubaki madarakani kwa shuruti miaka yote.
 
Back
Top Bottom