Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam
Yaani Dubai waje kuendeleza bandari Tanzania??

Huu ni ulemavu wa aina Gani lakini??

Hawa wasomi wanaomaliza vyuo kila siku wanafanya nini na elimu zao??

Mbona huko ulaya hawatuiti tukaendeleze za kwao??

- Kufanya wenyewe sio Nia na sio Sera ya CCM tangu awamu ya kwanza ilipoisha.

- Kufanyiwa ndio Nia halisi na Sera mama ya CCM. Yanayoendelea ni matokeo ya hili.

Bahati mbaya sana sijaona/kusikia chama cha siasa chenye Nia na Sera ya Kumuinua na kumuamini huyu Mtaganyika, kuwa na yeye ni Bin-Adam, na anaweza kufanya ambavyo Bin-adam wengine wanajifanyia.
 
Tatizo ni usimamizi na mfumo mbovu wa ajira. Ilitakiwa kuwe na usimamizi madhubuti pamoja na wepesi wa kuwatimua wazembe na wasio na tija katika ofisi za serikali bila mlolongo mrefu wa taratibu.
katika hilo tunazembea sana ...Kwa vile ni taasisi za serikali mtu anajua hawezi kufukuzwa kazi kabisa.
 
Acheni ujima nyie,huko ulaya kwenyewe bandari zinaendeshwa na wawekezaji na sio serikali,hao DP world wanaendesha bandari nyingi tu ulaya yan mje kulalamika kwa iko kibandari chenu uchwara,ngojeni waje hao DP muone kama kuna meli itakaa bandarini siku 3 au wiki kule out anchor kusubiri kuingia bandarini,hao meli ndani masaa tu ishadischarge na kuondoka na nyingine inaingia,acheni upuuzi na ujuha
Upuuzi kama huu mnatoa mifano nje... Mkiambiwa huko nje bei ya mafuta, vocha na vyakula mnasema tuacheni na Tanzania yetu
 
Kama kila mahali pakishindwa kuendeshwa wanapewa wageni tutafanyika watumwa katika nchi yetu. Wajerumani na Waingereza wanaendesha bandari zao wenyewe.
Si Kweli Bandari nyingi anaendesha DP world kwenye Hizo Nchi.


England anaendesha London port, Southampton na london park, ireland Galway port Jumla 4 kwa Uingereza.

Ujerumani pia wanazo 3 ikiwemo Stutgart.

Wapo pia US, Canada hadi bandari yako pendwa Odesa ni wao wanasimamia.

Na DP world kazi yao ni kufanya hizo logistics, sehemu kama Dubai imekua kwa Ajili ya Bandari.

Pitia huu Uzi.

Achana na Bandari ya Mombasa na Dar, Angalia hao Djibouti,

Djibout ni nchi mbovu, ilikua na Vita, ni Jangwa, hakulimiki, kifupi ni ka Nchi kalikua ovyo ovyo sana na ka kimasikini. Wame improve Bandari tu na imewatoa kiuchumi, na vitu wanavyotoa bandarini si vyao ni vya nchi jirani kama Ethiopia. Sasa hivi Djibout uchumi wa mtu mmoja mmoja ni zaidi ya Dola elfu 3 aka mara 3 ya Tanzania. Uchumi wa bandari yao ni zaidi ya nusu ya pato la taifa lao.

Kwa Location yetu Tanzania kama Efficiency inaongezeka hapo Bandarini huyo Djibout tunamuacha mbali tu, Congo tu Hapo wana mimali kibao wanaleta na kutuma, Tuna Malawi, Zambia, Burundi, Rwanda, Uganda etc.

Assume kama wanaweza kweli kuongeza Pato toka Trilioni 7 mpaka 23, Huoni ni kiwango kikubwa sana? Trilioni 23+Tra tayari Nchi inajitegemea na haihitaji msaada wa Mtu.
 
Kwa mujibu wa Waziri wa Ujenzi na Usafirisha, Profesa Makame Mbarawa, Tanzania na Dubai zinatarajiwa inatarajiwa kujadili na kupitisha Mkataba wa Kiserikali (IGA) kuhusu kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam.

Pia soma > Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha mpaka Bandari? Tusikubali hili

Hili litaweka mazingira ya kufanyika kwa taratibu nyingine, ikiwamo mkataba wa makubaliano, kabla ya kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji yenye makao yake makuu Dubai, Falme za Kiarabu.

Kampuni hiyo, ambayo mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya ndani ya kikanda na kimataifa, itapewa gati ya tano hadi saba kushughulikia

Kwa kuibia ubia huo wa mashirikiano, Serikali inatarajia kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia bandari hiyo kwa asilimia 233.7 katika miaka kumi ijayo.

---

Parliament is this month expected to debate and approve the Intergovernmental Agreement (Iga) between Tanzania and Dubai on developing Dar es Salaam Port, The Citizen can reveal.

This will set the stage for other procedures, including the concession agreement, before the commencement of a new chapter for cooperation between the Tanzania Ports Authority (TPA) and DP World, a multinational logistics company based in Dubai, the United Arab Emirates.

The company, whose approach is to remove barriers to trade and create a trade ecosystem to expand the flow of both intra-regional and global trade, will be given berths five to seven to handle, according to Works and Transport minister Makame Mbarawa.

He told The Citizen in an exclusive interview last week that by working with DP World, the government expects to increase revenue collection through the port by 233.7 percent in the next ten years.

Prof Mbarawa said the target was to raise the amount in revenue that is collected from the port from the current Sh7.79 trillion per year to Sh26 trillion in the next decade.

“The potential private sector investment could enhance the competitiveness of Dar es Salaam Port by improving service quality and increasing efficiency,” he said.

It is on those grounds that more business could be drawn to the port, thus boosting revenue and contributing to Tanzania’s overall economic development.

Amidst current inefficiencies impacting end customers and escalating costs, private sector investment in the Port of Dar es Salaam is being recognised as a potential game-changer.

Prof Mbarawa said the government had made up its mind to partner with DP World in developing the port.

On why the government chose DP World, Prof Mbarawa said the company was uniquely positioned to partner with the government as it is a global logistics company that is capable of delivering the required nationwide transformation across the entire logistics value chain.

The company has a proven track record of managing, operating and investing in trade infrastructure in Africa for over 20 years to the highest international standards.

“We have great confidence in DP World and it is on that ground that we are planning to give to it berths five to seven to handle,” Prof Mbarawa said.

“With DP World, we expect to see improvement in the port’s performance. We expect to see the discharge period of vessels being cut to one day from the current four to five.”

This, explained Prof Mbarawa, could mean the removal of barriers to trade, which is key to driving and increasing trade flows.

The potential impact of private sector investment underscores the port’s strategic importance to Tanzania’s economy and its potential to catalyse economic growth and development in the country.

The potential introduction of cutting-edge technologies, advanced equipment and skilled personnel could enable the port to handle more cargo, alleviate congestion, and expedite ship turnaround times, thereby reducing costs for end customers.

Tanzania Shipping Agents Association (Tasaa) chairman Daniel Malongo said he had confidence in DP World, adding that it was among the world’s top four companies in the running of ports.

He commended the way the company has mechanised its handling equipment as well as operating and revenue collection systems.

“Transparency is of high degree since every movement from the time container is coming from the vessel to the port and ICD (Inland Container Depot), is reflected in the system,” said Mr Malongo.

“This will be of paramount importance to our country since it provides no loophole for revenue leakage.”

Tanzania Freight Forwarders Association (Taffa) president Edward Urio was also upbeat, saying DP World will add value to Dar es Salaam Port’s performance.

He said the company will bring in innovation, efficiency and competition to other operators handling berths eight to 11.

“They (DP World) have a good reputation. They handle some of the biggest ports in the world,” said Mr Urio.

Going by the TPA figures, the port handled 17 million metric tonnes of cargo in 2021, up from 14 million tonnes recorded in 2017, thanks to expanded capacity, marketing drive, recovery from Covid-19 and an enabling business environment.

It is believed that the involvement of the private sector brings the prospects for improved connectivity and the potential for expansion and modernisation of facilities at the port.

Stakeholders believe that the involvement of the private sector will pave a way for developing new terminals, refurbishing existing ones, and providing additional services such as warehousing, logistics and ship repair.

This could in turn create new job opportunities, boost revenue, and draw more business to the port.

Moreover, this potential investment could stimulate economic diversification by attracting new sectors and businesses to the port.

DP World investment in Tanzania will modernise the port’s infrastructure by investing in the equipment, processes and systems at the port of Dar es Salaam to bring operations to world class levels of productivity, the company said in its recent statement.

The statement said the company will improve ease of doing business by using modern technology to shape the visibility, transparency, and speed up transit of cargo across Tanzania ports, Inland Container Depots and borders.

Source: The Citizen
Samia anauza nchi wajinga wanafurahia,

Samia anarudisha usultan Tanganyika kwa nguvu zote.

Samia ni wakuogopwa kama ukoma.

Tiss fanyeni jambo,damu za watanzia ziko juu yenu.

Vizazi vijavyo vitapiga bakora makaburi yenu kwa kutokuwajibika.
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

✅UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

✅Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

✅Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

✅Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

▶️Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

▶️Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

▶️Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

▶️Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

▶️DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

🚨Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
 

Attachments

  • 20230606_185651.jpg
    20230606_185651.jpg
    100.7 KB · Views: 3
Wacha waje waendeshe wenye hakili timamu

Siyo wake washenzi una nunua gari ya mil 100 af eti ushuru mil 150

Huu SI uchizi huu Bora ibinafsishwe
Ikibinafsiswah kwani ushuru ndo utapimgua hujui kuww kodi ni swala la TRA
 
Acha kupamba,hakuna taifa litafaidika,hapo mbeleni ni makashifa tu,hii nchi kila kitu haiwezi


Hasara za kubinafsisha maeneo nyeti siku mwekezaji akileta nyodo tumekwisha
Kiko wapi kwenye mitandao ya simu,wanatupandishia bando wanavyojisikia na hakuna mtetezi.

Wewe endelea kutumika tu
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

[emoji736]UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

[emoji736]Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

[emoji736]Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

[emoji736]Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

[emoji3504]Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

[emoji3504]Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

[emoji3504]Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

[emoji3504]Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

[emoji3504]DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

[emoji599]Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Hao wanajulikana ni kikundi fulani cha kudandia matukio na kuyafanya ajenda mbaya baada ya muda ccm huleta mpya!
 
Unaweza kuhisi hii nchi imelaaniwa,kumbe tatizo ni kukosekana kwa watu wanaofikiri sawasawa.

Hivi kweli hayo yote uliyoeleza hapo sisi kama taifa pamoja na mamlaka ya bandari tumeshindwa kuyatekeleza? Na unaeleza kabisa kana kwamba ni sifa na unaona ni ufahari.

Kwa sababu ya uzembe na uongozi wa kupeana peana huu wa mpe huyu ni mtoto wa yule, kuna siku hii nchi watakodishwa watu kutoka nje waje watutawale.

Tunajitukana, tumekuwa kama wendawazimu!
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

[emoji736]UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe.

[emoji736]Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?

[emoji736]Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.

[emoji736]Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.

Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?

Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.

DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.

[emoji3504]Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%

[emoji3504]Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.

[emoji3504]Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.

[emoji3504]Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.

[emoji3504]DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.

[emoji599]Angalizo, Kuna uzushi na uwongo mwingi sana unaendelea kutoka kwa watu ambao kimsingi hawana nia njema ya taifa letu na maendeleo yetu. Kikubwa, watanzania tusome tuache kupotoshwa.
6:52 PM · Jun 6, 2023
from Dar es Salaam, Tanzania·
Safari ya kwenda Uingereza na Marekani uliyoipigia debe humu JF kwamba tukimchagua GWAJIMA tutaenda imefikia wapi??maana ulikuwa na mihemko humu lakini mwaka wa Tatu huu kimyaaaa!!!hakika akili zako Bwana JUMA JUMA zipo makalioni
 
Nimesoma lkn sjaona umejibu hoja za hao unaowaita waongo,, mda wa mkataba,, pia tutanufaikaje,, umetaja tu matrilion sasa sisi tunanufaikaje vp kama hayo matrilion yote wanachukua DP World
 
CHADEMA ACHENI UPOTOSHAJI, HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA DP WORLD NA TANZANIA.

✅UFIPA kama kawaida yao, wazee wa kuongea urongo kwa maslahi yao ya kisiasa, kujaza watu hofu na taharuki pasi na msingi, tumewashawazoea na hakuna cha ajabu wanachoweza kufanya tena. Hii ni ishara tosha kwamba hawana hoja walichobakisha ni vioja tu, wapuuzwe...
Yani kwa hiki ulichoandika ndio wapewe kwa 100yrs?
 
Back
Top Bottom