Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam
Lengo ni zuri kwa nini TPA wasijitanue kwa kuwekeza kwenye maeneo ya bandari kavu sababu uwezo huo wanao kuwapa Private sector ni kuongeza wigo mpana wa upigaji na biashara za magendo kwa maslahi ya wachache.
Magendo kivipi?
 
Kwa mujibu wa Waziri wa Ujenzi na Usafirisha, Profesa Makame Mbarawa, Tanzania na Dubai zinatarajiwa inatarajiwa kujadili na kupitisha Mkataba wa Kiserikali (IGA) kuhusu kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam.

Pia soma > Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha mpaka Bandari? Tusikubali hili

Hili litaweka mazingira ya kufanyika kwa taratibu nyingine, ikiwamo mkataba wa makubaliano, kabla ya kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji yenye makao yake makuu Dubai, Falme za Kiarabu.

Kampuni hiyo, ambayo mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya ndani ya kikanda na kimataifa, itapewa gati ya tano hadi saba kushughulikia

Kwa kuibia ubia huo wa mashirikiano, Serikali inatarajia kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia bandari hiyo kwa asilimia 233.7 katika miaka kumi ijayo.

---

Parliament is this month expected to debate and approve the Intergovernmental Agreement (Iga) between Tanzania and Dubai on developing Dar es Salaam Port, The Citizen can reveal.

This will set the stage for other procedures, including the concession agreement, before the commencement of a new chapter for cooperation between the Tanzania Ports Authority (TPA) and DP World, a multinational logistics company based in Dubai, the United Arab Emirates.

The company, whose approach is to remove barriers to trade and create a trade ecosystem to expand the flow of both intra-regional and global trade, will be given berths five to seven to handle, according to Works and Transport minister Makame Mbarawa.

He told The Citizen in an exclusive interview last week that by working with DP World, the government expects to increase revenue collection through the port by 233.7 percent in the next ten years.

Prof Mbarawa said the target was to raise the amount in revenue that is collected from the port from the current Sh7.79 trillion per year to Sh26 trillion in the next decade.

“The potential private sector investment could enhance the competitiveness of Dar es Salaam Port by improving service quality and increasing efficiency,” he said.

It is on those grounds that more business could be drawn to the port, thus boosting revenue and contributing to Tanzania’s overall economic development.

Amidst current inefficiencies impacting end customers and escalating costs, private sector investment in the Port of Dar es Salaam is being recognised as a potential game-changer.

Prof Mbarawa said the government had made up its mind to partner with DP World in developing the port.

On why the government chose DP World, Prof Mbarawa said the company was uniquely positioned to partner with the government as it is a global logistics company that is capable of delivering the required nationwide transformation across the entire logistics value chain.

The company has a proven track record of managing, operating and investing in trade infrastructure in Africa for over 20 years to the highest international standards.

“We have great confidence in DP World and it is on that ground that we are planning to give to it berths five to seven to handle,” Prof Mbarawa said.

“With DP World, we expect to see improvement in the port’s performance. We expect to see the discharge period of vessels being cut to one day from the current four to five.”

This, explained Prof Mbarawa, could mean the removal of barriers to trade, which is key to driving and increasing trade flows.

The potential impact of private sector investment underscores the port’s strategic importance to Tanzania’s economy and its potential to catalyse economic growth and development in the country.

The potential introduction of cutting-edge technologies, advanced equipment and skilled personnel could enable the port to handle more cargo, alleviate congestion, and expedite ship turnaround times, thereby reducing costs for end customers.

Tanzania Shipping Agents Association (Tasaa) chairman Daniel Malongo said he had confidence in DP World, adding that it was among the world’s top four companies in the running of ports.

He commended the way the company has mechanised its handling equipment as well as operating and revenue collection systems.

“Transparency is of high degree since every movement from the time container is coming from the vessel to the port and ICD (Inland Container Depot), is reflected in the system,” said Mr Malongo.

“This will be of paramount importance to our country since it provides no loophole for revenue leakage.”

Tanzania Freight Forwarders Association (Taffa) president Edward Urio was also upbeat, saying DP World will add value to Dar es Salaam Port’s performance.

He said the company will bring in innovation, efficiency and competition to other operators handling berths eight to 11.

“They (DP World) have a good reputation. They handle some of the biggest ports in the world,” said Mr Urio.

Going by the TPA figures, the port handled 17 million metric tonnes of cargo in 2021, up from 14 million tonnes recorded in 2017, thanks to expanded capacity, marketing drive, recovery from Covid-19 and an enabling business environment.

It is believed that the involvement of the private sector brings the prospects for improved connectivity and the potential for expansion and modernisation of facilities at the port.

Stakeholders believe that the involvement of the private sector will pave a way for developing new terminals, refurbishing existing ones, and providing additional services such as warehousing, logistics and ship repair.

This could in turn create new job opportunities, boost revenue, and draw more business to the port.

Moreover, this potential investment could stimulate economic diversification by attracting new sectors and businesses to the port.

DP World investment in Tanzania will modernise the port’s infrastructure by investing in the equipment, processes and systems at the port of Dar es Salaam to bring operations to world class levels of productivity, the company said in its recent statement.

The statement said the company will improve ease of doing business by using modern technology to shape the visibility, transparency, and speed up transit of cargo across Tanzania ports, Inland Container Depots and borders.

Source: The Citizen
Wacha waje waendeshe wenye hakili timamu

Siyo wake washenzi una nunua gari ya mil 100 af eti ushuru mil 150

Huu SI uchizi huu Bora ibinafsishwe
 
Kuna watu wanaviakili vidogo kama tumbili humu, wakati umefika ni lazima tupate waendeshaji wenye influence kubwa na organisation kubwa katika ikiwepo teknologia kubwa kudhibiti wezi hapo bandarini alkadhalika kudeliver mizigo haraka within hours (kuziba uzembe wote hapo bandarini kupitia technology mpya) HONGERA HONGERA HONGERA.
Kama hili limetushinda, kipi tunaweza?
 
Ubia haijawahi kuwa tatizo kama tunauwezo wa kufanya financial and operational analysis ya maana na kuachia maeneo tunayohitaji ku import management and technological skills.

Kiutendaji sisi Watanzania ni kama tumeshindikana, tunahujumu miundombinu ili kupata fursa za wizi, ufanisi mdogo n.k tunaweza kuingia ubia ili kutengeneza kizazi cha ku take over kwa ufanisi mkubwa kuliko sasa.
Hao wanaokuja wanaletwa na watanzania, usitegemee hizo hujuma na wizi kuisha. Tulishabinafsisha mashirika mengi Ila ndio yakafa zaidi
 
Wacha waje waendeshe wenye hakili timamu

Siyo wake washenzi una nunua gari ya mil 100 af eti ushuru mil 150

Huu SI uchizi huu Bora ibinafsishwe
Hakili ×
Akili ✓

Muendeshaji mpya wa bandari anahusiana vipi na bei ya magari? Kodi na Ushuru wa gari ni TRA
 
Kama mmeshindwa endesha bora wanaoweza waje.
Mombasa, London, Germany wote waendeshaji si wazawa
Kama kila mahali pakishindwa kuendeshwa wanapewa wageni tutafanyika watumwa katika nchi yetu. Wajerumani na Waingereza wanaendesha bandari zao wenyewe.
 
Kwa mujibu wa Waziri wa Ujenzi na Usafirisha, Profesa Makame Mbarawa, Tanzania na Dubai zinatarajiwa inatarajiwa kujadili na kupitisha Mkataba wa Kiserikali (IGA) kuhusu kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam.

Pia soma > Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha mpaka Bandari? Tusikubali hili

Hili litaweka mazingira ya kufanyika kwa taratibu nyingine, ikiwamo mkataba wa makubaliano, kabla ya kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji yenye makao yake makuu Dubai, Falme za Kiarabu.

Kampuni hiyo, ambayo mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya ndani ya kikanda na kimataifa, itapewa gati ya tano hadi saba kushughulikia

Kwa kuibia ubia huo wa mashirikiano, Serikali inatarajia kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia bandari hiyo kwa asilimia 233.7 katika miaka kumi ijayo.

---

Parliament is this month expected to debate and approve the Intergovernmental Agreement (Iga) between Tanzania and Dubai on developing Dar es Salaam Port, The Citizen can reveal.

This will set the stage for other procedures, including the concession agreement, before the commencement of a new chapter for cooperation between the Tanzania Ports Authority (TPA) and DP World, a multinational logistics company based in Dubai, the United Arab Emirates.

The company, whose approach is to remove barriers to trade and create a trade ecosystem to expand the flow of both intra-regional and global trade, will be given berths five to seven to handle, according to Works and Transport minister Makame Mbarawa.

He told The Citizen in an exclusive interview last week that by working with DP World, the government expects to increase revenue collection through the port by 233.7 percent in the next ten years.

Prof Mbarawa said the target was to raise the amount in revenue that is collected from the port from the current Sh7.79 trillion per year to Sh26 trillion in the next decade.

“The potential private sector investment could enhance the competitiveness of Dar es Salaam Port by improving service quality and increasing efficiency,” he said.

It is on those grounds that more business could be drawn to the port, thus boosting revenue and contributing to Tanzania’s overall economic development.

Amidst current inefficiencies impacting end customers and escalating costs, private sector investment in the Port of Dar es Salaam is being recognised as a potential game-changer.

Prof Mbarawa said the government had made up its mind to partner with DP World in developing the port.

On why the government chose DP World, Prof Mbarawa said the company was uniquely positioned to partner with the government as it is a global logistics company that is capable of delivering the required nationwide transformation across the entire logistics value chain.

The company has a proven track record of managing, operating and investing in trade infrastructure in Africa for over 20 years to the highest international standards.

“We have great confidence in DP World and it is on that ground that we are planning to give to it berths five to seven to handle,” Prof Mbarawa said.

“With DP World, we expect to see improvement in the port’s performance. We expect to see the discharge period of vessels being cut to one day from the current four to five.”

This, explained Prof Mbarawa, could mean the removal of barriers to trade, which is key to driving and increasing trade flows.

The potential impact of private sector investment underscores the port’s strategic importance to Tanzania’s economy and its potential to catalyse economic growth and development in the country.

The potential introduction of cutting-edge technologies, advanced equipment and skilled personnel could enable the port to handle more cargo, alleviate congestion, and expedite ship turnaround times, thereby reducing costs for end customers.

Tanzania Shipping Agents Association (Tasaa) chairman Daniel Malongo said he had confidence in DP World, adding that it was among the world’s top four companies in the running of ports.

He commended the way the company has mechanised its handling equipment as well as operating and revenue collection systems.

“Transparency is of high degree since every movement from the time container is coming from the vessel to the port and ICD (Inland Container Depot), is reflected in the system,” said Mr Malongo.

“This will be of paramount importance to our country since it provides no loophole for revenue leakage.”

Tanzania Freight Forwarders Association (Taffa) president Edward Urio was also upbeat, saying DP World will add value to Dar es Salaam Port’s performance.

He said the company will bring in innovation, efficiency and competition to other operators handling berths eight to 11.

“They (DP World) have a good reputation. They handle some of the biggest ports in the world,” said Mr Urio.

Going by the TPA figures, the port handled 17 million metric tonnes of cargo in 2021, up from 14 million tonnes recorded in 2017, thanks to expanded capacity, marketing drive, recovery from Covid-19 and an enabling business environment.

It is believed that the involvement of the private sector brings the prospects for improved connectivity and the potential for expansion and modernisation of facilities at the port.

Stakeholders believe that the involvement of the private sector will pave a way for developing new terminals, refurbishing existing ones, and providing additional services such as warehousing, logistics and ship repair.

This could in turn create new job opportunities, boost revenue, and draw more business to the port.

Moreover, this potential investment could stimulate economic diversification by attracting new sectors and businesses to the port.

DP World investment in Tanzania will modernise the port’s infrastructure by investing in the equipment, processes and systems at the port of Dar es Salaam to bring operations to world class levels of productivity, the company said in its recent statement.

The statement said the company will improve ease of doing business by using modern technology to shape the visibility, transparency, and speed up transit of cargo across Tanzania ports, Inland Container Depots and borders.

Source: The Citizen
Profesa Makame Mbarawa Kwenu ni Zanzibar Kwanini hukuanza kubinafsisha bandari ya Zanzibar?
 
Sio walalamikaji bali ni wazalendo ambao wanaitakia mema nchi yao! Nchi yetu lini itaacha kuwa tegemezi ? Tumekuwa na TICS hapo bandarini kwa zaidi ya miaka kumi tumejifunza nini?
Kitu gani kinatushinda kuendesha bandari iwapo kila mwaka tunao vijana toka vyuo vikuu hawana ajira? How costly will it be to train them to be able to efficiently run our ports? Hata kama hatuna hao watu we can hire professionals but run the ports ourselves!
Hapa hakuna uzalendo bali harufu ya ufisadi wa kutafuta hela za uchaguzi. Tukumbuke tu kuwa remote iko Msoga!
Uzalendo au ushamba,tena binafsi naombea sana baada ya bandari wageukie kwenye mwendokasi,wabongo wana kazi ya kuiba tu,magari wamepewa,ya kwao peke yao lkn wanalalamika hasara kila siku,mwendokasi akipewa mtu wa kueleweka kama bandari,bus zote zitakya full kiyoyozi,abiria awatolundikwa kama ilivyo sasa na bus zitafika vituoni kwa wakati,yan unajua kabisa saa 4:00 bus la kivukoni litakuwepo shekilango,sasa vurugu,wabongo hatuwezi kujisimamia na bado tunaendesha maisha ya karne ya 19 while tuko karne ya 21,ngoja watu waje kutufunza ili vizazi vyetu vijavyo vipate kujifunza
 
Watanzania uchapaji kazi ni wa chini mno na kupenda kuridhika plus kufanya kazi kwa mazoea .

Hapo bandari pnatakiwa kazi kazi masaa 24 ila wafanyakazi wenyewe ndo hao mara leo weekend mara mtu ana matatizo ya kifamilia ,yule wa kike kapata dharura mwanae anaumwa mara hivi wapo kweny vikao ,ikifika mda wa kutoka mtu bado kazi zipo ila anaondoka instead ya kunalizia kazi ,kutwa vikao watu hawakai ofisini ,kulindana na wizi kwa vile wote waswahili.

Naona ukiachana na hao wawekezaji wachanganye wafanykazi kama wachina ,wakenya , wahindi na watu kutoka ulaya na America kama sehemu ya wafanyakazi ndo watapata kujifunza jinsi ya kufanya kazi.
Naomba niende nje ya mada ya bandari nitoe maoni yangu kwenye kuchapa kazi. Kwa uzoefu wangu nakubaliana na wewe kuwa watanzania hasa wafanyakazi wa serikali kwa asilimia kubwa hawajitumi, hawaendi na muda hata kidogo, wezi balaaa, wachache wanaojituma wanapigwa majungu aisee, mabosi wanapenda kunyenyekewa sana, rushwa na kujuana kwingi. Wiki iliyopita nimeenda ofisi ya serikali kupatiwa huduma yaani bosi mkubwa tu lakini anaongea na simu mambo ya michepuko na michango ya harusi alafu nje foleni ya wataka huduma ni ndefu kinoma nikajituka nashangaa tu. Kuna sehemu serikali imeleta mradi wenye fedha nyingi sana lakini nasikia watu wanaongea habari ya kupiga hizo hela. Nchi hii asilimia kubwa ni wezi tena majizi wa muda, fedha, vifaa vya ofisi, watu wa majungu, kelele na story za wikiend kwenye ofisi za serikali ni jambo la kawaida kwao. Ofisi niliyopo serikali imeleta laptops mpya na machines zingine mpya, sasa laptops za zamani na vifaa vingine vya zamani vimewekwa ofisini kwangu stoo, ndugu ofisi inawindwa balaaa watu wanataka kusepa na vifaa vya zamani.
 
Watanzania uchapaji kazi ni wa chini mno na kupenda kuridhika plus kufanya kazi kwa mazoea .

Hapo bandari pnatakiwa kazi kazi masaa 24 ila wafanyakazi wenyewe ndo hao mara leo weekend mara mtu ana matatizo ya kifamilia ,yule wa kike kapata dharura mwanae anaumwa mara hivi wapo kweny vikao ,ikifika mda wa kutoka mtu bado kazi zipo ila anaondoka instead ya kunalizia kazi ,kutwa vikao watu hawakai ofisini ,kulindana na wizi kwa vile wote waswahili.

Naona ukiachana na hao wawekezaji wachanganye wafanykazi kama wachina ,wakenya , wahindi na watu kutoka ulaya na America kama sehemu ya wafanyakazi ndo watapata kujifunza jinsi ya kufanya kazi.
Tatizo ni usimamizi na mfumo mbovu wa ajira. Ilitakiwa kuwe na usimamizi madhubuti pamoja na wepesi wa kuwatimua wazembe na wasio na tija katika ofisi za serikali bila mlolongo mrefu wa taratibu.
 
Back
Top Bottom