Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam
Kwa mujibu wa Waziri wa Ujenzi na Usafirisha, Profesa Makame Mbarawa, Tanzania na Dubai zinatarajiwa inatarajiwa kujadili na kupitisha Mkataba wa Kiserikali (IGA) kuhusu kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam.

Pia soma > Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha mpaka Bandari? Tusikubali hili

Hili litaweka mazingira ya kufanyika kwa taratibu nyingine, ikiwamo mkataba wa makubaliano, kabla ya kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji yenye makao yake makuu Dubai, Falme za Kiarabu.

Kampuni hiyo, ambayo mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya ndani ya kikanda na kimataifa, itapewa gati ya tano hadi saba kushughulikia

Kwa kuibia ubia huo wa mashirikiano, Serikali inatarajia kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia bandari hiyo kwa asilimia 233.7 katika miaka kumi ijayo.

---

Parliament is this month expected to debate and approve the Intergovernmental Agreement (Iga) between Tanzania and Dubai on developing Dar es Salaam Port, The Citizen can reveal.

This will set the stage for other procedures, including the concession agreement, before the commencement of a new chapter for cooperation between the Tanzania Ports Authority (TPA) and DP World, a multinational logistics company based in Dubai, the United Arab Emirates.

The company, whose approach is to remove barriers to trade and create a trade ecosystem to expand the flow of both intra-regional and global trade, will be given berths five to seven to handle, according to Works and Transport minister Makame Mbarawa.

He told The Citizen in an exclusive interview last week that by working with DP World, the government expects to increase revenue collection through the port by 233.7 percent in the next ten years.

Prof Mbarawa said the target was to raise the amount in revenue that is collected from the port from the current Sh7.79 trillion per year to Sh26 trillion in the next decade.

“The potential private sector investment could enhance the competitiveness of Dar es Salaam Port by improving service quality and increasing efficiency,” he said.

It is on those grounds that more business could be drawn to the port, thus boosting revenue and contributing to Tanzania’s overall economic development.

Amidst current inefficiencies impacting end customers and escalating costs, private sector investment in the Port of Dar es Salaam is being recognised as a potential game-changer.

Prof Mbarawa said the government had made up its mind to partner with DP World in developing the port.

On why the government chose DP World, Prof Mbarawa said the company was uniquely positioned to partner with the government as it is a global logistics company that is capable of delivering the required nationwide transformation across the entire logistics value chain.

The company has a proven track record of managing, operating and investing in trade infrastructure in Africa for over 20 years to the highest international standards.

“We have great confidence in DP World and it is on that ground that we are planning to give to it berths five to seven to handle,” Prof Mbarawa said.

“With DP World, we expect to see improvement in the port’s performance. We expect to see the discharge period of vessels being cut to one day from the current four to five.”

This, explained Prof Mbarawa, could mean the removal of barriers to trade, which is key to driving and increasing trade flows.

The potential impact of private sector investment underscores the port’s strategic importance to Tanzania’s economy and its potential to catalyse economic growth and development in the country.

The potential introduction of cutting-edge technologies, advanced equipment and skilled personnel could enable the port to handle more cargo, alleviate congestion, and expedite ship turnaround times, thereby reducing costs for end customers.

Tanzania Shipping Agents Association (Tasaa) chairman Daniel Malongo said he had confidence in DP World, adding that it was among the world’s top four companies in the running of ports.

He commended the way the company has mechanised its handling equipment as well as operating and revenue collection systems.

“Transparency is of high degree since every movement from the time container is coming from the vessel to the port and ICD (Inland Container Depot), is reflected in the system,” said Mr Malongo.

“This will be of paramount importance to our country since it provides no loophole for revenue leakage.”

Tanzania Freight Forwarders Association (Taffa) president Edward Urio was also upbeat, saying DP World will add value to Dar es Salaam Port’s performance.

He said the company will bring in innovation, efficiency and competition to other operators handling berths eight to 11.

“They (DP World) have a good reputation. They handle some of the biggest ports in the world,” said Mr Urio.

Going by the TPA figures, the port handled 17 million metric tonnes of cargo in 2021, up from 14 million tonnes recorded in 2017, thanks to expanded capacity, marketing drive, recovery from Covid-19 and an enabling business environment.

It is believed that the involvement of the private sector brings the prospects for improved connectivity and the potential for expansion and modernisation of facilities at the port.

Stakeholders believe that the involvement of the private sector will pave a way for developing new terminals, refurbishing existing ones, and providing additional services such as warehousing, logistics and ship repair.

This could in turn create new job opportunities, boost revenue, and draw more business to the port.

Moreover, this potential investment could stimulate economic diversification by attracting new sectors and businesses to the port.

DP World investment in Tanzania will modernise the port’s infrastructure by investing in the equipment, processes and systems at the port of Dar es Salaam to bring operations to world class levels of productivity, the company said in its recent statement.

The statement said the company will improve ease of doing business by using modern technology to shape the visibility, transparency, and speed up transit of cargo across Tanzania ports, Inland Container Depots and borders.

Source: The Citizen
Mbona ya ujenzi wa port mpya ya Bagamoyo hawaizumgumzii tena au ndio wamekwisha kata shauri kwamba such MEGA project involving China and Oman haitakiwi tena au wamehamua kwamba mradi huo autakiwi tena Bagamoyo badala yake ukuhamishiwe Zanzabar -mbinu za kutaka Zanzinbar ndio iwe HUB ya ports katika ukanda huu wa pwani ili ports nyingine including Dar port ziwe kama spokes tu, a very clever ploy indeed na wala TPA hilo hawalioni - before you know it even a Chinese Hitech industrial park planned at Bagamoyo port shall be shifted quietly to Zanzibar!!!
 
Mimi sielewi huku tumechukua mikopo kujenga, kupanua na kuboresha bandari ya Dar kabla mikopo hatujalipa hata robo tunaamua kuwaleta waarabu wawekeze mbona tunajichanganya sana? Mimi naona tutalia kilio cha mbwa mdomo juu!!! Msishangae hii SGR Dar Morogoro nayo haijaanza kazi inasubiri kampuni ya nje kuiendesha au kukodisha au kununua sijui
 
Hii Inji ya kijinga kweli , Sijui kwann JPM alofariki.


Ni hasara sana Nchi kutongozwa na Vilaza wasokua na ubunifu ,na ambao akili zao zote zimeelekes kwenye kubebwa bebwa na misaada..

Sasa DSM anapewa mwarabu, Bagamoyo Mchina...


Katika Mataifa ya wenye Akili, Kuna Mahali ni LAZIMA paendeshwe na Serikali , ni LAZIMA.
[emoji2962] nilitaka nielezee hapa ila sina mwanasheria[emoji848]
 
Yaani Dubai waje kuendeleza bandari Tanzania??

Huu ni ulemavu wa aina Gani lakini??

Hawa wasomi wanaomaliza vyuo kila siku wanafanya nini na elimu zao??

Mbona huko ulaya hawatuiti tukaendeleze za kwao??
Kwa mtindo huo maana yake, tunaendeleza vya kwao
 
Serikali imefanya kazi kubwa kuwekeza mabillioni ya hela kuongeza kina cha kupokea meli; sasa hivi bandari ya Dar inaweza pokea meli ya ukubwa wowote.

Shughuli iliyobaki ni ndogo ya kuongeza cranes za kisasa za kutolea mizigo kwa kasi nchi ipate hela zote hizo wenyewe; muda huo ndio wanaenda tafuta mwekezaji.

Only in Tanzania
[emoji2960]
 
View attachment 2646897
DP world wanaendesha port ya london ni kampuni kubwa ambayo ipo nchi nyingi tu za ulaya binafsi ninavyoijua hiyo kampuni ni neema sana kuja Tanzania
Sera za kikodi kwa hapa tz nazo ni msala! Wawekezaji wa ndani wana minywa makoo, bado hao wageni na wengi wanashindwa kufanya biashara sio wazawa wala wageni, sasa huyu anaewekeza! wateja wake ni akina nani!!?
 
Hii Inji ya kijinga kweli , Sijui kwann JPM alofariki.


Ni hasara sana Nchi kutongozwa na Vilaza wasokua na ubunifu ,na ambao akili zao zote zimeelekes kwenye kubebwa bebwa na misaada..

Sasa DSM anapewa mwarabu, Bagamoyo Mchina...


Katika Mataifa ya wenye Akili, Kuna Mahali ni LAZIMA paendeshwe na Serikali , ni LAZIMA.
Achana na mawazo mgando hayo mwendokasi tu imewashinda mtaweza bandari
 
Hii Inji ya kijinga kweli , Sijui kwann JPM alofariki.


Ni hasara sana Nchi kutongozwa na Vilaza wasokua na ubunifu ,na ambao akili zao zote zimeelekes kwenye kubebwa bebwa na misaada..

Sasa DSM anapewa mwarabu, Bagamoyo Mchina...


Katika Mataifa ya wenye Akili, Kuna Mahali ni LAZIMA paendeshwe na Serikali , ni LAZIMA.
Mswahili anaweza nini?? Ohoo katiba, kwa nini mnawapa uongozi!
 
Kuna watu wanaviakili vidogo kama tumbili humu, wakati umefika ni lazima tupate waendeshaji wenye influence kubwa na organisation kubwa katika ikiwepo teknologia kubwa kudhibiti wezi hapo bandarini alkadhalika kudeliver mizigo haraka within hours (kuziba uzembe wote hapo bandarini kupitia technology mpya) HONGERA HONGERA HONGERA.
 
Watanzania uchapaji kazi ni wa chini mno na kupenda kuridhika plus kufanya kazi kwa mazoea .

Hapo bandari pnatakiwa kazi kazi masaa 24 ila wafanyakazi wenyewe ndo hao mara leo weekend mara mtu ana matatizo ya kifamilia ,yule wa kike kapata dharura mwanae anaumwa mara hivi wapo kweny vikao ,ikifika mda wa kutoka mtu bado kazi zipo ila anaondoka instead ya kunalizia kazi ,kutwa vikao watu hawakai ofisini ,kulindana na wizi kwa vile wote waswahili.

Naona ukiachana na hao wawekezaji wachanganye wafanykazi kama wachina ,wakenya , wahindi na watu kutoka ulaya na America kama sehemu ya wafanyakazi ndo watapata kujifunza jinsi ya kufanya kazi.
 
Acha wavivu waondoke waje watu wa kazi

Ova
True mkuu,watu wanaongea kimhemko tu ila wangejua kuna meli ukaa pale nje ferry kwa mbele hadi mwezi kusubiri kuingia bandarini kuna baadhi ya ukaa pale hadi wanang'oa nanga na kwenda kushushia mzigo mombasa port gani inaendeshwa kizembe namna ile,ulezi wa dar port ndio unaipa opportunity mombasa port maana wabongo hawajali muda wanafanya kazi kimazoea,naamini DP wakipewa port hata wamalawi na wazambia wataacha kutumia beira port na kurudi kwetu
 
Uwekezaji wakubadilishana gololi kwa dhahabu mpaka leo ndio unaosikitisha.

Hakuna miujiza yoyote, kinachohitajika hapo ni extra cranes; hizo ndio zinapakuwa na kupakia mizigo.

Mengine yote magumu na yaliyokuwa ya gharama yatakayowezesha bandari kupaki meli nyingi kwa wakati mmoja na sehemu ya kuweka mashehena serikali ishatumia mabillioni kufanya huo uwekezaji.

Kilichobaki ni baadhi ya hizo cranes tu za kisasa ambazo azitoshi; zikipatina baada ya hapo it’s not rocket science on how efficient bandari itakavyokuwa, uhitaji mwekezaji kufanya hiyo kazi.

Mwisho wa siku sina tatizo vile serikali ku outsource sehemu ya hizo huduma, shida ni kutuka kujua return ya hao wawekezaji na kwa miaka mingapi watavuna; kwa hiko kidogo wanachoenda wekeza.
DP world watabadilisha mfumo wote wa vitendea kazi hapo bandari,bulk career ya tani laki 1 itakua na uwezo wa kupakia na kushusha ndani ya masaa 48 while sasa hivi inakaa mle bandarini hadi wiki 2,hiyo bandari itakua busy sana sio kama sasa hivi kwa siku inaingiza meli 2 ni aibu kwa port inayotakiwa ihudumie nchi zaidi ya 4
 
Back
Top Bottom