Mkataba wa kubinafsisha bandari yetu ya Dar es Salaam umefichua madhaifu makubwa ya mama Samia na chama chake cha CCM.

Kwa hili na mengine mengi mama awekwe kando pamoja na chama chake, hawa ni hatari kwa maslahi ya nchi yetu.
Pole sana ndugu yangu.
Hivi tangu lini CCM imekuwa ikitegemea kura za wananchi ili kuendelea kubaki madarakani??
 
Naunga mkono hoja 💯%
 
Waarabu hata walimilikishwa bandari kimagumashi wataitema ndani ya muda tu

Ile mijitu ni migaidi inaajenda ya kuharibu nchi yetu
 
Siongei na wanyambo Mimi!!! Sasa kama hawezi kuondoa umaskini kwanini unampigia kelele si uachane nae afanye anayofanya !?
Wewe ni kapuku tu! Mwarabu tangu lini akawa na huruma ya kimaendeleo na wewe kapuku unaeshinda kibarazani unachati?
 
Uko sahihi nilikuta jamaa mmoja alikuwa anafnya kazi mochwari anasema alikuwa anawanyoa maiti nywele za Siri,maji aliyowaoshea na kucha anaenda kuuza hivi sisi hatusitahili kutawaliwa tena kwa matendo hay!?
😆😆😆😆😆🤣🤣 aisee sina mbavu.
 

Kwa kifupi unasema kulikua hakuna haja ya kupigania Uhuru mwaka 1960, ni heri tungeendelea kutawaliwa na wakoloni.
 
DpWaorld bandari zao port charges ha handling charges huwa ziko chini.
 
Wewe ni kapuku tu! Mwarabu tangu lini akawa na huruma ya kimaendeleo na wewe kapuku unaeshinda kibarazani unachati?
Huna unachojua jamaa acha chuki dhidi samia zinazokupelekea kila afanyacho ni batili,,,kalime mama kafungua mipaka uza kokote unakotaka punguza chuki,,nchi iko salAma Samia hawezi kuvuka mstari mwekundu.
 
Uko sahihi nilikuta jamaa mmoja alikuwa anafnya kazi mochwari anasema alikuwa anawanyoa maiti nywele za Siri,maji aliyowaoshea na kucha anaenda kuuza hivi sisi hatusitahili kutawaliwa tena kwa matendo hay!?
Jamani jamani halafu tunajiita binadamu

Laana hizi tunazitafuta, sasa huyo mganga unamkuta hata hela hana ila matendo ya kishetani tu
 
Kwani huyo Kuna sehemu kapewa Bandari amiliki Kwa muda usiojulikana? Huyu hata Mimi nikiwa Rais nambadilishia majukumu. Huyu hana madhara
Kapewa takukuru aimiliki kwa muda usiojulikana
 
Huna unachojua jamaa acha chuki dhidi samia zinazokupelekea kila afanyacho ni batili,,,kalime mama kafungua mipaka uza kokote unakotaka punguza chuki,,nchi iko salAma Samia hawezi kuvuka mstari mwekundu.
Wewe ni kapuku Kwa sababu Moja kuu, unatetea dhambi ya uuzwaji wa Bandari na mashart yake yote hadi maziwa makuu.
 
Mwarabu ameshagawa mabilion kwa mafisadi wa Tanzania lazima aichukue bandari
Kama kuna Hila utapeli tena kweli Haipo, na mambo Kama hayo Basi Mwenyezi Mungu Ingilia Kati ili matunda ya kifisadi wasifaidike nayo!
TUNAKUOMBA MWENYEZI MUNGUKUPITIA ZABURI.109[emoji120]
[emoji116][emoji116]
Zaburi 109:8-16
8Siku za maisha yake ziwe chache,
mtu mwingine na achukue kazi yake!

9Watoto wake wawe yatima,
na mke wake awe mjane!

10Watoto wake watangetange na kuombaomba;
wafukuzwe katika magofu ya nyumba zao!

11Anayemdai kitu amnyanganye mali yake yote;

na wageni wanyakue mapato ya jasho lake!

12Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma,
au Kuwatunza watoto wake yatima!

13Wazawa wake wote wafe;
jina lake lisahauliwe katika kizazi kijacho!

14Mwenyezi-Mungu aukumbuke uovu wa wazee wake,
dhambi za mama yake zisifutwe kamwe!

15Mwenyezi-Mungu azikumbuke dhambi zao daima;
lakini wao wenyewe wasahauliwe duniani.

16Mwovu huyo hakujali kabisa kuwa na huruma,
ila aliwadhulumu maskini na fukara,
kadhalika na watu wanyonge mpaka kifo

Watu wote Waseme AMINA[emoji120][emoji2533]

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Shida sio kubinafsishwa hata wengi wanaunga mkono tatizo ni hizo terms za ubinafsishaji terms ambazo zinasema hata wakivunja vipengele vya mkataba huwezi kuvunja mkataba. Kwanini ziwepo terms za namna hiyo maana zinawalinda na kuwafanya wasilazimike kutekeleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…