Game changer anatakiwa haraka kubadili upepo! Ili tutoke kwenye mambo ya bandari.
 
Habari!
Sheria za nchi zipo
Katiba ipo
Mahakama ipo
Mabaraza ya watumishi yapo
PCCB ipo
Police ipo
Tume zipo
Kama hivi vyote vipo na serikali imeshindwa kuvitumia kudhibiti uvujaji wa mapato TPA je, ni chombo gani kitaweza kupambana na Mwekezaji asituibie?
Kama tatizo ni watumishi wa BANDARI kwanini serikali iseme ajira zao ziko salama?
DP World anahitaji watumishi wezi?
Watakaokuwa na maisha marefu wataona mengi
 
Wafanyakazi wa bandari wengi wao watoto wa CCM mtoto wa muheshimiwa flani.

Kumuondoa kwenye kula yake inakuwa ngumu sana, kuna kundi dogo linafaidi keki ya nchi.
 
Badala ya kukiri kushindwa kuendesha na kusimamia bandari,

Ilitakiwa warudi Kwa wananchi, tu ngechagua chama na Serikali ya chama kingine chenye uwezo wa kusimamia bandari, kudhibiti wizi na kuongeza ufanisi.

Ni Tanzania pekee haya yanatokea.

Mmekiri kushindwa, MTUPISHE 🙏🙏
 
🤣🤣🤣Kawajibu Arusha leo,yeye ni kazi,maneno hana time nayo, yani anasema ye ni mtu wa action 🤣🤣🤣
Wananchi ndo bosses wa viongozi,

Jeuri ya mtumishi kumjibu hivyo boss wanatoa wapi?
 
Mkataba tushamaliza kuusaini na kuupitisha kwa kishindo ni wakati sasa wa kuanza utekelezaji mara moja bila kuchelewa. Pongezi sana kwa Rais Samia kwa kuona mbali sana, hii fursa tulikuwa tunaisubiri kwa mda mrefu sana. Ndugu watanzania tuendelee kumuunga mkono Rais katika juhudi za kuikomboa Tanzania.

Uzi tayari
 
🔥🔥🔥 Tz itakua kama Dubai...
Ila nawaonea huruma wanaume wa Dar na hivi hampendi kufanya kazi, Waarabu watafanya kweli show show...
 
Chawa mpya kaja naye !
 
Kutegemea watu wa nje waje wakujengee nchi yako kwa mikataba mibovu ni ukichaa wa hali ya juu.
 
Huu ni mwendelezo ule ule:

Your browser is not able to display this video.


Wananchi walio wengi hawautaki mkataba huu.

Kwani serikali nyie mnamwakilisha nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…