and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Tafuta pesa we boya acha kushoboka vitu usivyovijuakama Mtanganyika. ongea kama mwanaume usitafute mabwana hapa mbuzi we.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta pesa we boya acha kushoboka vitu usivyovijuakama Mtanganyika. ongea kama mwanaume usitafute mabwana hapa mbuzi we.
Uadilifu, punctuality, hawana uvivu kwenye kazi wenzetuYaani Dubai waje kuendeleza bandari Tanzania??
Huu ni ulemavu wa aina Gani lakini??
Hawa wasomi wanaomaliza vyuo kila siku wanafanya nini na elimu zao??
Mbona huko ulaya hawatuiti tukaendeleze za kwao??
[emoji1] bandari tu sahv anafaidika nayo niniUfaidike wewe kama Nani?
Ngoja wapewe tu hao dp worldUadilifu, punctuality, hawana uvivu kwenye kazi wenzetu
Sisi hata kitasa cha mlango kazini unawaza uondoke nacho ukafunge kwenye chumba cha kodi
Hata bin mnapitia sasa kweli tutafika huko?
Mafi yako mkataba wa uingereza na Dp unaujua wewe kumbafu.View attachment 2646897
DP world wanaendesha port ya london ni kampuni kubwa ambayo ipo nchi nyingi tu za ulaya binafsi ninavyoijua hiyo kampuni ni neema sana kuja Tanzania
Kukusomesha wewe mpaka ukafika hatua ya kuweka maoni yako humu yakasomwa na umma wa watanzania.Nionyeshe Jambo kubwa tulifanya likawa na tija.
Bora sanaNgoja wapewe tu hao dp world
Ova
Umeandika mengi na ni hisia zako, japo unaruhusiwa kuwa nazo kama mimi ninavyoruhusiwa kuwa na zangu.La bandari Ni dalili tu. Kuna siku utasikia mkoa wa DSM unakodishwa kwa Waarabu.
Kuna siku tutaamka tutasikia wilaya na vijiji vimeuzwa Oman, na raia watatakiwa kuondoka haraka.
Mama alienda dubai na naambiwa , Sina hakika, kwamba ana vinasaba na Mzee Mwinyi , so Wana vinasaba vya kiarabu.
Walialikwa wabunge 30 kwenda Uarabuni, hatujui agenda ilikua Nini, leo tumejua kilichowapeleka.
Mwinyi aliuza loliondo, leo mnaweka lango la nchi rehani kwa muda usiojulikana.
Wauze tu sababu havina mwenyewe na hata kama yupo amelala.
Nb:Mpango wa Hawa Waarabu na Marekani Ni kuhakikisha bandari ya dar haipanuki zaidi na mpango mahsusi zaidi Ni kuikamata bandari ya dar na kuhakikisha bandari ya Bagamoyo haijengwi.
Kwasababu Bagamoyo ikijengwa maana yake mizigo yote ya Afrika kutoka china 80% haitapita Tena Dubai , Bali itakuja direct to bagamoyo port. Hivyo Dubai itakufa kiuchumi kwa sababu uchumi wake unategemea bandari.
Huu Ni mpango mkakati wa Waarabu na Marekani.
Seems hata bandarini kwenyewe toka uzaliwe hujaingiaMafi yako mkataba wa uingereza na Dp unaujua wewe kumbafu.
Mmoja ukomo miaka 10 mwingine ishirini wa kwetu ni wa milele.
"Black people are not complete human beings because they don't have good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings". Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.Kweli CCM mmeishiwa mbinu suala nyeti kama hili mnatuletea msukuma na lusinde kubwabwaja kuhusu suala la bandari, nimeshangaa kwerkweri.
Mnaona watanzania ni wajinga wajinga katika mambo ya msingi , binafsi nimekasirika na kusikitika sana baada ya kuona hayo. Yaanii lusinde na msukuma watu convice sisi kuhusu suala la bandari?
shame on you
Wabunge wa Mkoa wa Geita, Mara, shinyanga, Arusha, Kilmanjaro, Shinyanga, mwanza, kigoma, Manyara, katavi, Dar, pwani , dodoma , morogoro, mbeya na Iringa kataeni 100% bandari zetu kipewa WAARABU.Kweli CCM mmeishiwa mbinu suala nyeti kama hili mnatuletea msukuma na lusinde kubwabwaja kuhusu suala la bandari, nimeshangaa kwerkweri.
Mnaona watanzania ni wajinga wajinga katika mambo ya msingi , binafsi nimekasirika na kusikitika sana baada ya kuona hayo. Yaanii lusinde na msukuma watu convice sisi kuhusu suala la bandari?
shame on you