Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
huwezi kuongea hata hoja moja tu dada?Tafuta pesa we boya acha kushoboka vitu usivyovijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi kuongea hata hoja moja tu dada?Tafuta pesa we boya acha kushoboka vitu usivyovijua
Badilisha andika Bandari! Kabla ya kuandika acha mihemuko spelling error kibaoKweli CCM mmeishiwa mbinu suala nyeti kama hili mnatuletea msukuma na lusinde kubwabwaja kuhusu suala la bandari, nimeshangaa kwerkweri.
Mnaona watanzania ni wajinga wajinga katika mambo ya msingi , binafsi nimekasirika na kusikitika sana baada ya kuona hayo. Yaanii lusinde na msukuma watu convice sisi kuhusu suala la bandari?
shame on you
Nimeipenda hii aisee [emoji848][emoji848]"Black people are not complete human beings because they don't have good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings". Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
We do not pretend like other Whites that we like Blacks. The fact that, Blacks look like human beings and act like human beings do not necessarily make them sensible human beings. Hedgehogs are not porcupines and lizards are not crocodiles simply because they look alike."Black people are not complete human beings because they don't have good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings". Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Tafuta pesa Mamahuwezi kuongea hata hoja moja tu dada?
shida yenu singo mother huwa mnaamini kila mnayeongea naye ni mshindani wa ndoa mnazoiba. kama unatafuta bwana sema tukusaidie.Tafuta pesa Mama
Unachamba kumzidi Isha Mashauzishida yenu singo mother huwa mnaamini kila mnayeongea naye ni mshindani wa ndoa mnazoiba. kama unatafuta bwana sema tukusaidie.
Hizi ndiyo mentality za wazee wa kule kweusi 1960s,mnadhani kila mtu alikula shayiri shuleni, na kupewa wino wa kuandika. Mnadhani kila mtu kasomeshwa.Kukusomesha wewe mpaka ukafika hatua ya kuweka maoni yako humu yakasomwa na umma wa watanzania.
Wanaosaini wanatafuta pesa ya kodi itakayosomesha watoto wako leo na kesho. Pesa itakayolipia bima za raia walipa kodi kwa miaka mingi ijayo.Hizi ndiyo mentality za wazee wa kule kweusi 1960s,mnadhani kila mtu alikula shayiri shuleni, na kupewa wino wa kuandika. Mnadhani kila mtu kasomeshwa.
Wazazi wetu wametoka jasho kutulipia Ada. Wazazi wetu walishindwa hata kununua bati moja ili sisi tusome.
Kwamba mikataba ikija na terms za kipumbavu tusaini tu kwasababu anaendesha bandari ya London na Southampton kule Uingereza.
Terms za London na za kwetu zinafanana?
Mnawaandalia Waarabu na vizazi vyao maisha mazuri kwa miaka 100 huku vizazi vya kitanzania vinataabika kwa miaka 100.
Nchi ya wapuuzi Hii!
Nani asiyeyajua maandiko yako humu ya kulamba miguu?Umeandika mengi na ni hisia zako, japo unaruhusiwa kuwa nazo kama mimi ninavyoruhusiwa kuwa na zangu.
Kwamba wanaoongea humu lazima wawe walishaingia bandarini.Seems hata bandarini kwenyewe toka uzaliwe hujaingia
Kuwa mzalendo sio lazima upingepinge hovyo tu. Natazama mantiki nzima kabla sijaandika mchango wangu wa mawazo.Nani asiyeyajua maandiko yako humu ya kulamba miguu?
Sijayaona mawazo chanya uliyonayo kuhusu hili.
Na hapa najua uko kazini kuhusu hili swala la bandari. Kuhakikisha unawatoa watu kwenye HOJA.
Hovyoo!
Suluhisho Ni kuangalia mikataba ya waliofanikiwa Ina terms za Aina gani na Sisi tukapita humo humo kwa maslahi mapana.Lete suluhisho mtoa mada, mm nashauri tuingie barabarani kujificha nyuma ya key hakutabadili kitu
Hivi Wewe uko humu halafu hujui watu wanapinga Nini!Kuwa mzalendo sio lazima upingepinge hovyo tu. Natazama mantiki nzima kabla sijaandika mchango wangu wa mawazo.
Tutafute kwanza elimu pana ya huo uwekezaji hapo bandarini kabla hatujanaswa na mtego wa kupinga tusichokijua.
Tutafute uelewa mpana kwanza kabla hatujaruhusu mapovu yakatutawala wakati wa kuandika maoni yetu.