Tanzania iwe upande gani Kama Ethiopia na Misri zinapigania maji ya mto Nile?

Tanzania iwe upande gani Kama Ethiopia na Misri zinapigania maji ya mto Nile?

Lini Misri ilipangiwa namna ya kujaza Aswan dam?
Kaza fuvu na jiunge kundi la kigaidi ukaitetee Ethiopia. Hakuna serikali ya Misri itakubali watu wafe kisa njaa inayotokana na ukame wa Nile. Silaha hawanunui kuzipigia gwaride wala hawana aibu kutetea uhai wao. Kama waliipigania Sinai kutoka kwa Israel wakati Sinai ni jangwa tu sembuse chanzo cha maji.

"Kila tone moja la mto Nile linalopungua, damu moja ya Mmisri inamwagika" msemo wao wa kale kabisa tangu B.C
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Liwalo na liwe, walikuwa wapi wakati Misri anafanya huo uonevu dhidi ya sovereign state?!
... sawa Kiongozi ila tukifika hapo ndipo ile kauli ya "use common sense" inapogeuka "common sense is not common".
 
Akionyesha dalili za kutaka kushambulia tu, tunajaza sumu ya panya maji yote kutoka mpaka wa Ethiopia kwenda mbele, tukose wote, akijitoa akili na sisi tunajinyofoa ubongo kabisa, liwalo na liwe!!
Duh hii awamu ya 5 kweli watu wako bampa to bumper. No Mercy.
 
Unatumia vigezo gani kusema mlima Kilimanjaro uko kwenye mipaka ya Tanzania. Vigezo hivyo viliwekwa na nani?
Sheria zilezile zinazotambua Kili kuwa Tanzania ndizo kama hizo zinatambua maji ya Nile yasitumiwe nje ya mkataba. Sio mimi niliyesema, ni mabeberu.

Kama unadhani sina akili toka kwenye uzi huu anzisha uzi wako uni-tag.
Kilicho ndani ya mipaka ya nchi husika ni mali ya nchi husika unless wakuuzie, kigezo hicho hicho wanachokitumia Kenya kujua mlima haupo Kenya ndicho kigezo ninachokitumia
 
... hapo kwenye red; Ethiopia naye mbishi ameombwa mara kadhaa ila kwa kuwa anajua kashika mpini analeta ubishi. Mara kibao ameitwa kwenye meza ya mazungumzo haendi.

... hapo kwenye blue; hapana, mchango wa White Nile unaoanzia L. Victoria ni roughly 15% only; share kubwa ni Blue Nile (Ethiopia) about 85%. Katika jiografia enzi hizo nakumbuka kulikuwa na swali maarufu la "why floods occur in lower Nile (Egypt) in the months of August and September?" Because, rain season in Ethiopia is in June to August so by August and September the Blue Nile waters reach Egypt. Nakumbuka kujibu hili swali kwenye papers ya mchujo FII miaka hiyo! Nashukuru liliniepusha kukariri darasa; haha haha!
Hapa itabidi busara itumike, kuliko kutunisha misuli.
 
Somaliland aruhusu base ya Egypt wewe upeleke pua yako? Mbele ya Egypt unaenda kufanya nini, kutumia nini?
Unaenda pigana na Mig-35 kwa kutumia J-7G, Abrams kwa kutumia nini?

Then kuna ulazima gani wa kupigana na Somaliland kisa imeruhusu base ya Egypt? Au unadhani vita wanaamua tu kama movie zako za Rambo.
Ni rahisi kupigana na yai kuliko mwewe atakaetotolewa
 
... si tu Ethiopia anauhitaji huo umeme kwa matumizi ya nyumbani bali anauhita pia kibiashara kuuza mataifa jirani. Pagumu sana hapo.
Aisee,

Mkuu ukipewa jukumu la kutatua hili suala, utatumia mbinu gani?
 
... hakuna mwenye kila kitu Mkuu; Ethiopia ana maji lakini kuna kingine atakuwa anakosa. Si ndio hawa wanakufa almost kila mwaka kwa njaa?
Wangapi wamekufa kwa njaa meaka huu? Ndio shida ya kusikiliza BBC kutwa nzima
 
Tz tutakuwa kama kawaida yetu unafki(NAM) ila in deep tutakuwa upande wa misri kwa sababu bwala la Ethiopia ni mshindani wa bwawa letu so sisi hapa tutaombea Ethiopia ashindwe ili tuwe wauzaji wakubwa wa umeme ukanda huu

kingine ambacho hakisemwi ni kuwa misri wametupa offer nyingi mno kwenye ujenzi wa bwawa letu ili tuwe upande wao
Hivi bwawa letu la rufiji hydropower Ni mkandarasi kutoka wapi?. Megawatt 2115 ambazo zikikamilika tutakuwa donor country.
 
Kwa hiyo kama sio vilema mtapiga mbizi kufika Misri kuipiga. Au mtatumia mitumbwi kwenda Suez canal?
Misri ina wanajeshi active zaidi ya laki moja. Rais wao wa sasa ni Field Marshall, anatumia sana budget kwenye jeshi. Misri kamdindia Turkey pale Libya na yupo anajiandaa kupeleka majeshi ndo huyuhuyu unataka tumchangie.

Vita hautatumia mapanga na mishale mnayotumia uko kwenu Tarime.
Tutatumia ungo, next time tumia akili yako yote, objectively and without prior bias!
 
Aisee,

Mkuu ukipewa jukumu la kutatua hili suala, utatumia mbinu gani?
... kiujumla sio kwamba Egypt anamkatalia Ethiopia kujenga hilo bwawa - hapana. Anachotaka ni mkakati wa namna gani halitaathiri pakubwa maisha ya wamisri wanaotegemea hayo maji kwa kila kitu. Na mkakati mmoja wapo ni lijazwe kwa awamu ama taratibu wakati Ethiopia ana-prefer "big bang" approach. Kwa sababu za kibinadamu ningetafuta hybrid approach kati ya hizo mbili.
 
Kaza fuvu na jiunge kundi la kigaidi ukaitetee Ethiopia. Hakuna serikali ya Misri itakubali watu wafe kisa njaa inayotokana na ukame wa Nile. Silaha hawanunui kuzipigia gwaride wala hawana aibu kutetea uhai wao. Kama waliipigania Sinai kutoka kwa Israel wakati Sinai ni jangwa tu sembuse chanzo cha maji.

"Kila tone moja la mto Nile linalopungua, damu moja ya Mmisri inamwagika" msemo wao wa kale kabisa tangu B.C
Safi, sasa kila mtu abaki nchini kwake, atakaetia pua ndani ya mpaka wa mwenzake tutamlawiti mpaka aharishe damu, imbiciles!!
 
Bwawa la Aswan High Dam limejengwa mjini Aswan na linapokea Greater Nile, lipo Kusini Misri.

Bwawa hili lenye kuleta mkanganyiko linajengwa Lake Tana, Bahir Dar - Gonder Kaskazini Mashariki ya Ethiopia.
Then unaweza kuona uwendawazimu wa hao wakimbizi toka uarabuni
 
Back
Top Bottom