Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ€”πŸ€”πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Mimi nimefurahishwa na Trump kukata misada. Japo kuwa nasikitika kuwa watu wasio kuwa na hatia wataumia sana. Ila ukweli ni kwamba viongozi wa afrika wengi ni matahila.

Ebu imagine hakuna bara lenye wagojwa wengi wa ukimwi kama Africa, miaka yote mijitu inanunua mav8 ila dawa za kupunguza makali ya ukimwi wanaachia wahisani wasaidie. Karibu kila sector mhimu za Africa karibu kila nchi Asilimia 60% ya budget ni misaada ya wahisani. Na mijitu inavaa suit kila siku kwenda ofisini? Sasa kama mnategemea misada kuendesha nchi ofisini mnaenda kufanya nini?
 
Wewe uko hapa Tanzania Huwa zinatumika vizuri na hao NGOs?

Magufuli alitaka kuwafuta

Mwigulu alitaka wapitishie hela Serikali for monitoring ila wakapiga makelele ikaishia.

Trump futa huo ujinga,wanakula tuu hizo hela hakuna wanachofanya
Mwigulu alitaka afanye monitoring au washirikiane na wenzie kudhulumu sehemu ya hizo fedha?!
 
Serikali inataka hela za NGOs zipitie kwao ili waanze urasimu kuzitoa na kusumbua watu.
Huu ndio ukweli, hela zinahitajika kumbe wao wamezipeleka kwenye kununua mabasi ya CCM🀣 matokeo yake zinaanza story na ubabaishaji. NGO's walifanya vyema kukataa upumbavu huo sababu serikali yetu inajulikana ilivyo inapokuja swala la pesa.
 
Baraka Obama alikuja Tz mwaka gani
 
Acha tujifunze namna ya kujtegemea. TUmezoea misaada hadi tunaitana chawa.
 
Wanyimwe misaada wauze ma V8 yao, watauza tshirts na hata hizo bendera zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…