Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Yani unajizima data kwamba hizo NGOs ndiyo zinaziba gaps za ajira na kutoa mbadala wa MSD?
Hawana maana hao ndio maana Mwendazake alitaka kuwafuta.GAP gani zaidi ya kula hela za misaada?

Hao watu Serikali ilisema wapitiehie hela kwao na zikaguliwe wakagoma so hapa Trump kufanya vizuri mnooo.
 
Trilioni moja huwa serikali inatumia muda gani kuzitia mkononi?
Hela zile ambazo zitaonekana ni za haraka kama za madawa ya HIV zitawekwa kwenye kipaomnele kutolewa.

Harafu dawa zinanunuliwa kama stock Mzee Wala hakuna shida hapo.

Hivi unajua kwamba Bajeti ya Serikali nzima ,Trilioni 1 ni misaada,Trilioni 15 mikopo ya ndani na Nje na zilizobakia zote ni Mapato ya ndani?

So hizo za kina Trump zipo hapo ,hiyo hela kiduchu saaaaaaa
 
Hela zile ambazo zitaonekana ni za haraka kama za madawa ya HIV zitawekwa kwenye kipaomnele kutolewa.

Harafu dawa zinanunuliwa kama stock Mzee Wala hakuna shida hapo.

Hivi unajua kwamba Bajeti ya Serikali nzima ,Trilioni 1 ni misaada,Trilioni 15 mikopo ya ndani na Nje na zilizobakia zote ni Mapato ya ndani?

So hizo za kina Trump zipo hapo ,hiyo hela kiduchu saaaaaaa
Hivi si juzi tu tulimsimanga Chalamila kwa kusema ukweli kwamba hata gloves na bandeji hatuna kwenye zahanati na hospitali zetu?
 
Hivi si juzi tu tulimsimanga Chalamila kwa kusema ukweli kwamba hata gloves na bandeji hatuna kwenye zahanati na hospitali zetu?
Hatuna za Bure ila za kununua zipo,kwanza unajua kwamba tuna kiwanda vya hizo gloves hapo makambako?

Yaani MSD ambayo Ina tenda ya ku supply dawa zaidi ya Nchi 8 za Sadc inaweza kukosa vipi sasa hizo gloves?

Za Bure hazipo ila za kununua zipo.
 
Tatizo siyo kwenda NGOs.Tija ni kutumika kwenye nchi husika.
NGOs hawajawahi kuwa na Tija,wanatumia zaidi ya Trilioni 5 Kwa mambo Yao lakini hakuna Tija yeyote zaidi ya kulipana posho.

Nilitegekea hao NGOs wangekuwa Wana supplement miradi ya serikali ila hawafanyia hivyo zaidi ya porojo na stori za Heshima sijui Kampeni zisizo Isha and such non sense
 
Hatuna za Bure ila za kununua zipo,kwanza unajua kwamba tuna kiwanda vya hizo gloves hapo makambako?

Yaani MSD ambayo Ina tenda ya ku supply dawa zaidi ya Nchi 8 za Sadc inaweza kukosa vipi sasa hizo gloves?

Za Bure hazipo ila za kununua zipo.
Nchi tatu tu ndiyo MSD ina supply ingawa sisi hatuna vifaa tiba na dawa.Ili tuwe sawa weka jedwali ushahidi.
 
Hiv mnazani pesa za wazungu unakula tu kama hizo zenu za TRA? Pesa wanasimamia wao hata mishahara ya makampuni yao iko juu wamefadhiri mambo mengi saana Mfano Ugaidi, kupindua marais wa baadhi ya nchi kwa kufadhir maandamano, ushoga pitia taarifa ya mwakyembe. Trump ameona ukakasi mkubwa humo akafutilia mbali
Kama kibarua chako kimeota nyasi now amka amsha vyeti vyako rudi kitaa kapige CCD kwa akili
 
Back
Top Bottom