Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hazipotei.Zinatumika na kuingia kwenye mzunguko wa fedha nchini.Zisipokuja ndiyo utajua umuhimu wake.Hazitusaidii chochote sababu hela zinazopotea kwenye njia za panya ni nyingi kuliko hizo, hivyo zikikosekana pengine watawala watajua kubana matumizi.