Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali inataka hela za NGOs zipitie kwao ili waanze urasimu kuzitoa na kusumbua watu.Inaonekana kama hauna taarifa za kutosha kuhusu kazi wanazofanya NGOs, generally kuzuia funding kwa NGOs kwa gafla namna hii kutakuwa na implications kubwa zaidi kwa jamii kuliko unavyofikiri.
Wananunua mabus mbonaWewe uko hapa Tanzania Huwa zinatumika vizuri na hao NGOs?
Magufuli alitaka kuwafuta
Mwigulu alitaka wapitishie hela Serikali for monitoring ila wakapiga makelele ikaishia.
Trump futa huo ujinga,wanakula tuu hizo hela hakuna wanachofanya
Waache wale.Kwani unataka wakugawie?As long as fedha zinatumika na kuingia kwenye mzunguko imekaa poa.Wewe uko hapa Tanzania Huwa zinatumika vizuri na hao NGOs?
Magufuli alitaka kuwafuta
Mwigulu alitaka wapitishie hela Serikali for monitoring ila wakapiga makelele ikaishia.
Trump futa huo ujinga,wanakula tuu hizo hela hakuna wanachofanya
Inaonekana una hasira, huna taarifa za kutosha au wivu na NGOs, lakini kwa ujumla ufanisi wa kazi kwenye NGOs uko juu sana kuliko sehemu zingine. Wanatumia pesa kidogo lakini matokeo yake ni makubwa, na uwajibikaji ni wa hali ya juu ndiyo maana wafadhili wanaendelea kufanya nao kazi.NGOs hawajawahi kuwa na Tija,wanatumia zaidi ya Trilioni 5 Kwa mambo Yao lakini hakuna Tija yeyote zaidi ya kulipana posho.
Nilitegekea hao NGOs wangekuwa Wana supplement miradi ya serikali ila hawafanyia hivyo zaidi ya porojo na stori za Heshima sijui Kampeni zisizo Isha and such non sense
Wamelala usingiziMaamuzi ya Trump yanakuja kuleta mtikisiko mkubwa sana wa uchumi hasa kwa nchi za Africa, sijui viongozi wetu wa Africa wamejiandaaje.
Kwa uchumi gani wa kuona trillioni moja ni hela ndogo??....Tanzania tulikuwa tunapata hela za directly kuingia Serikalini wakati wa JK via MCC ila tulishaondolewa pale ndiko tulijenga Barabara,umeme nk
Baada ya hapo ni stori za uongo na ukweli via NGOs which has no significance Kwa Government.
Mwisho hiyo ni Trilioni 1 tuu ,Sasa Tanznaia inashindwaje ku cover hela ndogo kama hiyo?
Ndio maana nasema hiki kinachitwa misaada kinatupumbaza.Sawa.Sasa mzitumie kikamilifu.
Ungetoa hiyo mifano ili tusiojua tujue.Ndio maana nasema hiki kinachitwa misaada kinatupumbaza.
Kibaya zaidi kwa asilimia kubwa hii misaada haitumiki kwa nia njema kwetu ndio maana asilimia kubwa wanataka wao waleta misaada waicontral. Wanaajiri wazawa humuhumu wanawalipa pesa nyingi kwaajili ya kupata taarifa nyeti na wengine wanalipwa ili wasambaze tamaduni za nje huku wakitoa vitisho kwamba tukiwachukulia hatua tunakuwa tumekiuka haki za binadamu.
Mifano ni mingi
Andika tuiponye nchi!!.... Hapa ndio mahali pakee!!!.. Labda Mods wafanye yao... 🤔Acha ujinga tusije kuandika yasiyotakiwa kuandikwa humu. Utekelezaji wa bajeti wizara ya afya unategemea wafadhili.
Mvumilie choice variable maana hata ukimuuliza sasa hiyo trillion Moja Ina sifuri ngapi baada ya Moja, hawezi kujibu Kwa ufasaha.Nimeandika service level na sio service levy mbona wewe ni mgumu sana kuelewa😡
Sio kwenye NGOs tu, kuna bilateral agreement ambazo zinaingia kwenye mfuko wa sector husika wa serikali.Lakini hizo hela haziingii Wizara ya Afya Bali zinapitia vi NGOs uchwara so hata wakikata hakuna shida
Zipitie serikalini zikaliwe?Hawana maana hao ndio maana Mwendazake alitaka kuwafuta.GAP gani zaidi ya kula hela za misaada?
Hao watu Serikali ilisema wapitiehie hela kwao na zikaguliwe wakagoma so hapa Trump kufanya vizuri mnooo.
Kama Serikalini zinaliwa huko NGOs zimefanya gazi gani ambayo wewe unamfahamu?Zipitie serikalini zikaliwe?
Kwani Trump amefuta na hizo?Sio kwenye NGOs tu, kuna bilateral agreement ambazo zinaingia kwenye mfuko wa sector husika wa serikali.
COVID ni mambo ya dharura kama Marburg hapo ni lazima WHO na wengine waingilie Iko hivyo Duniani kote
View attachment 3224577
View: https://www.instagram.com/reel/DE28ODSOdXI/?igsh=MTdqZHMwcGY2d3ZmNw==