Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Wewe uko hapa Tanzania Huwa zinatumika vizuri na hao NGOs?

Magufuli alitaka kuwafuta

Mwigulu alitaka wapitishie hela Serikali for monitoring ila wakapiga makelele ikaishia.

Trump futa huo ujinga,wanakula tuu hizo hela hakuna wanachofanya
Waache wale.Kwani unataka wakugawie?As long as fedha zinatumika na kuingia kwenye mzunguko imekaa poa.
 
NGOs hawajawahi kuwa na Tija,wanatumia zaidi ya Trilioni 5 Kwa mambo Yao lakini hakuna Tija yeyote zaidi ya kulipana posho.

Nilitegekea hao NGOs wangekuwa Wana supplement miradi ya serikali ila hawafanyia hivyo zaidi ya porojo na stori za Heshima sijui Kampeni zisizo Isha and such non sense
Inaonekana una hasira, huna taarifa za kutosha au wivu na NGOs, lakini kwa ujumla ufanisi wa kazi kwenye NGOs uko juu sana kuliko sehemu zingine. Wanatumia pesa kidogo lakini matokeo yake ni makubwa, na uwajibikaji ni wa hali ya juu ndiyo maana wafadhili wanaendelea kufanya nao kazi.
 
Tanzania tulikuwa tunapata hela za directly kuingia Serikalini wakati wa JK via MCC ila tulishaondolewa pale ndiko tulijenga Barabara,umeme nk

Baada ya hapo ni stori za uongo na ukweli via NGOs which has no significance Kwa Government.

Mwisho hiyo ni Trilioni 1 tuu ,Sasa Tanznaia inashindwaje ku cover hela ndogo kama hiyo?
Kwa uchumi gani wa kuona trillioni moja ni hela ndogo??....

Huu huu unaoendeshwa kwa mikopo
 
Sawa.Sasa mzitumie kikamilifu.
Ndio maana nasema hiki kinachitwa misaada kinatupumbaza.
Kibaya zaidi kwa asilimia kubwa hii misaada haitumiki kwa nia njema kwetu ndio maana asilimia kubwa wanataka wao waleta misaada waicontral. Wanaajiri wazawa humuhumu wanawalipa pesa nyingi kwaajili ya kupata taarifa nyeti na wengine wanalipwa ili wasambaze tamaduni za nje huku wakitoa vitisho kwamba tukiwachukulia hatua tunakuwa tumekiuka haki za binadamu.
Mifano ni mingi
 
Ndio maana nasema hiki kinachitwa misaada kinatupumbaza.
Kibaya zaidi kwa asilimia kubwa hii misaada haitumiki kwa nia njema kwetu ndio maana asilimia kubwa wanataka wao waleta misaada waicontral. Wanaajiri wazawa humuhumu wanawalipa pesa nyingi kwaajili ya kupata taarifa nyeti na wengine wanalipwa ili wasambaze tamaduni za nje huku wakitoa vitisho kwamba tukiwachukulia hatua tunakuwa tumekiuka haki za binadamu.
Mifano ni mingi
Ungetoa hiyo mifano ili tusiojua tujue.
 
Tutaathirika sisi au vitaathirika vi- NGO vya vigogo Serikalini ? Hizo pesa sidhani hata kama zinawafikia walengwa.

Niliwahi kuiona return report ya TACAIDS miaka ya nyuma ... Sikuamini hadi leo kwamba, nchi hii kwa wizi wa kitaasisi na ujanja ujanja imeshindikana.
 
Back
Top Bottom