Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

Tanzania Kinara wa Kupokea hela za msaada kutoka USAID Afrika nzima. Yasemekana tutaathirika sana

"Has no significance"
Ni ela inayoingia kwenye mzunguko hapa nchini na ina cover ombwe la ukwasi kwa kiasi kikubwa sanaaa...kutoa trillion kwenye mzunguko lazma tofauti kubwa sana ionekane, na lazma serikali itumie akili kupunguza matumiz yasiyo ya lazma, kuongeza makusanyo na kuanzisha vyanzo vingine vya mapato, uchungu wa hili haukwepeki!
Serikali inakopa bank kias kikubwa, ikiwa ni pamoja na hizo hela za USAID ,WORLD BANK NA AFDB..elewa!
Haina maana hizo ndio zinaongeza inflation
 
Sasa kwa nini walijitapa wasipangiwe cha kufanya, siku ile kwenye hotuba zao 🤔🤔.???
mara nyingi hizo hela haziendi serikalini moja kwa moja. Ni kupitia INGOs na local NGOs kwenda kwenye miradi katika jamii husika, ambapo design na utekelezaji wanashirikiana na serikali, lakini serikali nahisi mara nyingi haishiki hizo hela.
 
NGOs hawajawahi kuwa na Tija,wanatumia zaidi ya Trilioni 5 Kwa mambo Yao lakini hakuna Tija yeyote zaidi ya kulipana posho.

Nilitegekea hao NGOs wangekuwa Wana supplement miradi ya serikali ila hawafanyia hivyo zaidi ya porojo na stori za Heshima sijui Kampeni zisizo Isha and such non sense
Duh kwahiyo UPUNGUFU WA MAAMMBUKIZI YA UKIMWI,KUTOA ELIMU YA VIRUSI NA MACONDOM YA BURE hiyo kazi anafanya nani???

📌📌📌Hizi ajira za NGO hilo gap nani atalicover???
 
Duh kwahiyo UPUNGUFU WA MAAMMBUKIZI YA UKIMWI,KUTOA ELIMU YA VIRUSI NA MACONDOM YA BURE hiyo kazi anafanya nani???

📌📌📌Hizi ajira za NGO hilo gap nani atalicover???
Sio Ajira ni upuuzi na janja janja ya mjini,wakafanye kazi za uzalishaji Mali kama hawawezi wakavute Bangi
 
Back
Top Bottom