Tanzania kuchoma tena vifaranga kutoka Kenya?

Tanzania kuchoma tena vifaranga kutoka Kenya?

Unyama Unyama Unyama.

Unaanzaje kuchoma kiumbe kisa mambo ya vibali tuu! Tukae kwa kutulia, haya maisha tuu kuna kupanda na kushuka

Mbona lile Gari la Jamaa alokamatwa yeye na Mkewe kwa kesi ya Madawa ya kulevya, Limetaifishwa na kutumiwa na Serikali basi nalo wangelichoma moto kama hiyo ndio fundisho.

Haya mambo ya kuchoma Moto ilihali wananchi wanakufa njaa, wananchi masikini tena hawana hata pakuzugazuga wakajiingizia kipato rasmi ... mimi siliafiki ata 0%

Watunga Sheria Wayatizame upya haya.. Wasiyajue Matumbo yao tu.
Wasichome wataifishe maana tukizoea kuagiza hata vitu vidogo kwa jirani atatusumbua
 
Back
Top Bottom