Unyama Unyama Unyama.
Unaanzaje kuchoma kiumbe kisa mambo ya vibali tuu! Tukae kwa kutulia, haya maisha tuu kuna kupanda na kushuka
Mbona lile Gari la Jamaa alokamatwa yeye na Mkewe kwa kesi ya Madawa ya kulevya, Limetaifishwa na kutumiwa na Serikali basi nalo wangelichoma moto kama hiyo ndio fundisho.
Haya mambo ya kuchoma Moto ilihali wananchi wanakufa njaa, wananchi masikini tena hawana hata pakuzugazuga wakajiingizia kipato rasmi ... mimi siliafiki ata 0%
Watunga Sheria Wayatizame upya haya.. Wasiyajue Matumbo yao tu.