Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Kaeni na sheria yenyu kandamizi, mnatiana hasara wenyewe kwa wenyewe tu, Ishaisha iyo!!!Sheria haisemi hivyo waambie wabunge wako wakaibadirishe hiyo sheria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaeni na sheria yenyu kandamizi, mnatiana hasara wenyewe kwa wenyewe tu, Ishaisha iyo!!!Sheria haisemi hivyo waambie wabunge wako wakaibadirishe hiyo sheria.
Hata akili hutumika pia, sio kila sheria inamaana!
Kwanini wasivigawe tu kwa wananchi badala ya kuviteketeza kwa moto!
Kwanini wasivipime kama vimekidhi ubora wamtoze faini mmiliki halafu wampe vifaranga vyake?Kwanini wasivigawe tu kwa wananchi badala ya kuviteketeza kwa moto!
Tukiachana na sheria ila mtu unawezaje kuchoma kifaranga.
Na ww unaanzaje kufuga kiumbe ili ukile kisa mambo ya njaa na tamaa. Si ungeweza kua hata vegetarian ukawa unakula nafaka tu na mboga za majani. Kwani lazima uchinje kuku. Unajua msiwe mnapenda kuhukumu nawakati hata nyie mnafanya kitu kilekileUnyama Unyama Unyama.
Unaanzaje kuchoma kiumbe kisa mambo ya vibali tuu! Tukae kwa kutulia, haya maisha tuu kuna kupanda na kushuka
Mbona lile Gari la Jamaa alokamatwa yeye na Mkewe kwa kesi ya Madawa ya kulevya, Limetaifishwa na kutumiwa na Serikali basi nalo wangelichoma moto kama hiyo ndio fundisho.
Haya mambo ya kuchoma Moto ilihali wananchi wanakufa njaa, wananchi masikini tena hawana hata pakuzugazuga wakajiingizia kipato rasmi ... mimi siliafiki ata 0%
Watunga Sheria Wayatizame upya haya.. Wasiyajue Matumbo yao tu.
Ila unapoua ukamla kuku au ngombe si unakua umefanya kitu kilekile. [emoji23][emoji23][emoji23], acheni hii dunia bora uwe humble tuVifaranga hawana hatia, aadhibiwe mhusika, vifaranga wapimwe kujiridhisha kama wanafaa kuwepo nchini au warejeshwe walikotoka, kuna amri ya Mungu isemayo "usiue"
Mnavyolalamika wasichomwe moto mtadhani hivyo vifaranga wakikuwa wakubwa mnawala wabichi,,, kumbe mnabanika kwa moto
Umeona ee! Wanatesa viumbe bila kujua hata wanavitesaKwako huwa unapuliza dawa ya mbu?
Sijaongea kuhusu mtu binafsi, lakini nimekuelewa.Mzee kwenye taasisi huwezi leta akili binafsi wakati kuna jopo walikaa wakalichanganua suala na kulipitisha liwe sheria lakin cyo maamuzi yako!!
Afu kama sheria n mbaya inapelekwa bungeni kujadiliwa na kuunda sheria mpya!!...
Hii ni nchi haiwezekan kila mtu aendeshe au afanye maamuzi kulingana na akili yake inavomtuma[emoji23]
Unaodhani Wana roho mbaya wote ndo matajiri duniani, anaongea nn huyo. Dunia inatawaliwa na watu makatili and powerful. Hajui anachoongea.We roho nzuri yako imekujengea magorofa mangapi mpaka sasa!?
Kweli yani makatili wengi duniani ndio matajiri 😸Unaodhani Wana roho mbaya wote ndo matajiri duniani, anaongea nn huyo. Dunia inatawaliwa na watu makatili and powerful. Hajui anachoongea.
Huyu atakua anachanganya kua na akili( smart) na kua mjinga
ki ukweli hata me sijaelewa malalamiko yao watu wa humu,,, kila siku tunawala hao kuku alafu saa izi wanajifanya kuwaonea huruma hapa,,, unafiki tuKwa mawazo yao wanafikiri wakiwa wakubwa wanakua hawana maumivu. Kiufupi binadamu wote tunashiriki kutesa wanyama. Acheni kuvunga mna huruma na wakati mnakula nyama za wanyama kila siku
Yani nafikiri huu ni mfano sahihi wa dunia tunayoishi. Hivi unajua watu wengi wanaishi kwenye vidunia vyao vidogovidogo bila kuuona uhalisia wa mambo. Imagine watu wanapinga unyanyasaji na wakati at the same time wananyanyasa viumbe.ki ukweli hata me sijaelewa malalamiko yao watu wa humu,,, kila siku tunawala hao kuku alafu saa izi wanajifanya kuwaonea huruma hapa,,, unafiki tu
Watu hawaoni hata kama wanaua kila siku wanyama kwa ajili ya mboga. People people people. They always feel perfect in their imaginary worldYani nafikiri huu ni mfano sahihi wa dunia tunayoishi. Hivi unajua watu wengi wanaishi kwenye vidunia vyao vidogovidogo bila kuuona uhalisia wa mambo. Imagine watu wanapinga unyanyasaji na wakati at the same time wananyanyasa viumbe.
Kuna wanaokula vifaranga humu[emoji1787][emoji1787]ki ukweli hata me sijaelewa malalamiko yao watu wa humu,,, kila siku tunawala hao kuku alafu saa izi wanajifanya kuwaonea huruma hapa,,, unafiki tu
"Wapo!"... Alisikika Nay wa mitego akisema! 🤣 🤣 🤣ki ukweli hata me sijaelewa malalamiko yao watu wa humu,,, kila siku tunawala hao kuku alafu saa izi wanajifanya kuwaonea huruma hapa,,, unafiki tu
Kuna wanaokula vifaranga humu[emoji1787][emoji1787]
Hapo unachoma Millioni 40+innocent lives bora warudishwe to where they belongKama sheria inasema hivyo wavichome tu ili liwefundisho kwa hao wanaingiza vifaranga bila kibali.
Wanaoua kwaajili ya kula hutanguliza ibada maalumuIla unapoua ukamla kuku au ngombe si unakua umefanya kitu kilekile. [emoji23][emoji23][emoji23], acheni hii dunia bora uwe humble tu