Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Hivi kumekosekana utaratibu tofauti na huu? Hii haikubaliki kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtasema yote,sasa kaanza na kuoza tumemsahau.***** zenu mbwanyieMama yako hajafa?
Duuuh, yaani huu ukatili wa namna hii mimi sijawahi kuuelewa, si wavirudishe Kenya tu?!Vifaranga kutoka nchini Kenya vyenye thamani ya Milioni 40 vimekamatwa na mamlaka ya serekali Tanzania bila ya kuwa na vibali halali. Kwa kujibu wa taarifa toka mamlaka husika Tanzania wamesema wataviteketezwa kwa mujibu wa sheria inavyotaka.
Japo vifaranga hivyo havijathibitika kuwa na magonjwa ila kwa kua vimeingia bila kibali vitachomwa moto.
Source; ITV
Anaechomwa ni aliyeingiza au ni hivyo vifaranga visivyojuwa chochote?Kama sheria inasema hivyo wavichome tu ili liwefundisho kwa hao wanaingiza vifaranga bila kibali.
Kweli, Samia hawezi kuruhusu huu ushetani, virudishwe vilikotoka na muhusika apigwe faini au jelaSamia hataruhusu!! Mark my words
Hufai kamwe kuwa kiongozi!Yaan ningekua rais ninge ipiga ban kenya mpk wafurahi endeleen kuchoma maan hao ni wabinafsi
Utakula kifaranga?Ng'ombe wa Kenya wakiingizwa tunapiga mnada tunakula nyama.
Kuku kwasababu hawawezi kuliwa tuna teketeza.
Kwani magonjwa wanaleta kuku tu ng'ombe hawaleti?
I am asking for a friend.
Mtu mpaka anajiita magu2016 unadhani anaweza kuwa na akili timamu kweli.Kuna mandezi kama magu2016 yanatetea huu ujinga bila ya kua na reasoning
Sawa kabisa. Ni uhujumu uchumi uliowazi. Kuna siku wataingiza nchini vifaranga wenye magonjwa na kuisababishia nchi mlipuko wa magonjwa yasiyoeleweka.Kama sheria inasema hivyo wavichome tu ili liwefundisho kwa hao wanaingiza vifaranga bila kibali.
Hapana wavirudishe Kenya.Kwanini wasivigawe tu kwa wananchi badala ya kuviteketeza kwa moto!
Juzi Zanzibar waliingizwa farasi 6 kutoka Kenya bila kufuata utaratibu, mamlaka ziliamuru farasi warudishwe Kenya siyo kuwachoma!Hapana wavirudishe Kenya.
AssKuna mandezi kama magu2016 yanatetea huu ujinga bila ya kua na reasoning