Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Andika ukiwa huru bila mapepo ya chuki mkuu...
Njoo kanisani kwetu tukuombee
Njoo kanisani kwetu tukuombee
Kwa akili yako enzi za mwendazake, ukwepaji kodi ulikuwa hakuna? Hayo madudu ya bandari alikuwa hayupo?! Ni suala la muda tu huyu mama akiamua kweli afunue kote mlikokuwa mmefunikwa mtamuona huyo meko kumbe alikuwa hata zaidi ya JK!! Hizo ndege kila siku alikuwa anawaambia ni ma faida tu??