MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Unadhani Kenya unaweza Ingiza hao vifaranga bila vibali? Unajua madhara ya kuingiza nchini mifugo bila vibali?Hii nchi ina sheria za kipumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani Kenya unaweza Ingiza hao vifaranga bila vibali? Unajua madhara ya kuingiza nchini mifugo bila vibali?Hii nchi ina sheria za kipumbavu.
Hii watu humu wanajua basi? Wabongo kusoma ni wavivu wanajua siasa pekeeKuna sheria zinazo ongoza uingizaji wa bidhaa au viumbe nchi fulani...sheria yetu iko wazi kuhusu kuingiza ndege au viumbe vingine lazima vipime na uwe na kibali! Na hii sheria sio Tanzania tuu ni karibu nchi zote duniani hii imewekwa hili kudhibiti kusambaa au kusambaza magonjwa au ugonjwa wa mafua ya ndege na magonjwa ya mifugo!
Hivyo kabla ya kulalamika muwe mnajipa muda wa kutafakari!
Na biblia ilisisitiza kulipa kodi na kutii mamlaka
Sheria ifate mkondo wake,.hii mambo ya double standards katika kutoa adhabu haitakiwi.
Hata yeye alipokuwa anafanya hilo alijua kuwa anaweza kukamatwa mchezo ukaisha. Ila still alibeti na mkeka ushalost! Sheria zinavunjwa na watu wanaozijua kabisa ila tamaa ndio huponza watu. Afanyiwe anachostahili.
Haina tofauti sana na tunaobeti kwenye michezo kama mpira, basket n.k tunaelewa kwama kuna kula na kuliwa so tunakuwaga Neutral.
Unajua madhara ya kuingiza mifugo bila Vibari? Au una bwawaja tu humu
Hivyo vifaranga vipewe kadi ya chadema au sio??Hapo vifaranga wanaonewa tu ...hawana hatia. Adhabu apewe aliyevileta hivyo vingeachiwa huru kabisa.
Sijakuelewa mkuu, ina maana wapewe wanyonge kitu kisichokuwa na ubora uliothibitishwa, ndio stahiki yao?Wangepewa wanyonge..zile kaya maskini zinazipewaga mifugo na watu wa TASAF wafuge wajiongezee vipato ...incl you[emoji55]
Hii watu humu wanajua basi? Wabonho kusoma ni wavivu wanajua siasa pekee
Kwahiyo vifaranga tu ndio mnaona havina uboraSijakuelewa mkuu, ina maana wapewe wanyonge kitu kisichokuwa na ubora uliothibitishwa, ndio stahiki yao?
Jamani si watugaie kama samaki wa Magufuli. Wanachoma moto tena? Sasa huko ni kuadhibu viumbe wasio na hatia, sasa Kosa la vifaranga liko wapi hapo.?Vifaranga kutoka nchini Kenya vyenye thamani ya Milioni 40 vimekamatwa na mamlaka ya serekali Tanzania bila ya kua na vibali halali.
Kwa kujibu wa taarifa toka mamlaka husika Tanzania wamesema wataviteketezwa kwa mujibu wa sheria inavyotaka. Japo vifaranga hivyo havijathibitika kua na magonjwa ila kwa kua vimeingia bila kibali vitachomwa moto.
Source ;ITV
Vimewakosea niniVifaranga kutoka nchini Kenya vyenye thamani ya Milioni 40 vimekamatwa na mamlaka ya serekali Tanzania bila ya kua na vibali halali.
Kwa kujibu wa taarifa toka mamlaka husika Tanzania wamesema wataviteketezwa kwa mujibu wa sheria inavyotaka. Japo vifaranga hivyo havijathibitika kua na magonjwa ila kwa kua vimeingia bila kibali vitachomwa moto.
Source ;ITV
Vifaranga vina ubora ila mahindi yetu yanawasababishia cancer, usiku cancer inapotea yanaingizwa Kenya kinyemela,Kwahyo vifaranga tu ndo mnaona havina ubora
Hizo ni propaganda tu mkuu..behind the curtains mambo hayapo hivyoVifaranga vina ubora ila mahindi yetu yanawasababishia cancer, usiku cancer inapotea yanaingizwa Kenya kinyemela,
Nadhani hao wanaoingiza vifaranga ndio wachomwe vifaranga hapo ni innocent creatures. Lakini pia sioni sababu kwa nini tuwachome na tusitaifishe wawekwe quarantine kama hawana magonjwa wauzwe kwa mnada.Kama sheria inasema hivyo wavichome tu ili liwefundisho kwa hao wanaingiza vifaranga bila kibali.