Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Ni Hivii:-
Wakenya wana dharau sana, wanaleta vifaranga vyao vya Kenchic lakini wewe ukipeleka bidhaa yoyote kwao labda Tanchic, Kilacha n.k hawanunui
Hata baada ya Magufuli kukataa maziwa ya Brookside, Tanga fresh wakaanza kuzalisha products za kutosha
Sasa wanamwona kama Mama Samia Suluhu ni Mdhaifu dhaifu wanaingiza bidhaa bila kufuata taratibu, bila ruhusa
Wakenya wanatuonaga kama sisi wajinga wajinga flani hivi. Wakomeshwe waache dharau
Sasahivi wataanza kufurika kutafuta ajira huku wakati kule kwao Wabongo hawaajiriwi at all.
Wakenya wana dharau sana, wanaleta vifaranga vyao vya Kenchic lakini wewe ukipeleka bidhaa yoyote kwao labda Tanchic, Kilacha n.k hawanunui
Hata baada ya Magufuli kukataa maziwa ya Brookside, Tanga fresh wakaanza kuzalisha products za kutosha
Sasa wanamwona kama Mama Samia Suluhu ni Mdhaifu dhaifu wanaingiza bidhaa bila kufuata taratibu, bila ruhusa
Wakenya wanatuonaga kama sisi wajinga wajinga flani hivi. Wakomeshwe waache dharau
Sasahivi wataanza kufurika kutafuta ajira huku wakati kule kwao Wabongo hawaajiriwi at all.