Tanzania kuchoma tena vifaranga kutoka Kenya?

Tanzania kuchoma tena vifaranga kutoka Kenya?

Haya ndiyo maeneo ambayo jiwe alikuwa anajipatia umarufuu, yaani ndani ya wiki2 tangu jiwe afariki wafanyabiashara tayari mmeanza janja janja ya kukwepa kodi, hapana huyu ashugurikiwe vilivyo tena ikiwezekana anyongwe kabisa, ndiyooo huu ni zaidi ya uhujumu uchumi!
Hayajakwepa kodi. Hakufuata taratibu za kuingiza mifugo.
 
Watungaji wa hizo sheria ni makatili na pia ni watu waliokosa maarifa ya kibiashara
 
Taarifa ya Habari ya ITV ya leo imeonesha mfanyabiasha wa Ukonga aliyeingiza vifaranga vyenye thamani ya milioni 40 kutoka Kenya bila kufuata utaratibu.

Hatua zinazotakiwa kuchukuliwa kulingana na sheria nikubinafsisha mali nakuteketeza vifaranga wote kwa mujibu wa sheria.

Je, kipi bora kumuita mfanyabiasha ukampiga faini pia akalipia gharama za kuhakiki usalama wa vifaranga( kwa afya ya binadamu) alafu umrudishie vifaranga? Au ukateketeza mtaji au fedha milioni 40?
Hawa watu wanawachanganya wakulima .

Hakuna mtu Angeingiza vifaranga kutoka nje ikiwa hapa Nchini wapo.

Tunavyoongea sasa hivi hakuna vifaranga wa Nyama huu ni mwezi wa sita-Halafu wanajifanya wanafuata sheria!!

Hawajui kuna watu wamejiajiri kwa Kufuga kuku??

Ebu wamwache huyo Mfugaji, wakiwa na Bahati wampige tu fine.
 
Huyo mfanyabiashara nae mzembe kweli ye hakuwahi kuona vifaranga vikichomwa? Nae anarudia mule mule
 
Taarifa ya Habari ya ITV ya leo imeonesha mfanyabiasha wa Ukonga aliyeingiza vifaranga vyenye thamani ya milioni 40 kutoka Kenya bila kufuata utaratibu.

Hatua zinazotakiwa kuchukuliwa kulingana na sheria nikubinafsisha mali nakuteketeza vifaranga wote kwa mujibu wa sheria.

Je, kipi bora kumuita mfanyabiasha ukampiga faini pia akalipia gharama za kuhakiki usalama wa vifaranga( kwa afya ya binadamu) alafu umrudishie vifaranga? Au ukateketeza mtaji au fedha milioni 40?

Kuna sheria zinazo ongoza uingizaji wa bidhaa au viumbe nchi fulani...sheria yetu iko wazi kuhusu kuingiza ndege au viumbe vingine lazima vipime na uwe na kibali! Na hii sheria sio Tanzania tuu ni karibu nchi zote duniani hii imewekwa hili kudhibiti kusambaa au kusambaza magonjwa au ugonjwa wa mafua ya ndege na magonjwa ya mifugo!

Hivyo kabla ya kulalamika muwe mnajipa muda wa kutafakari!
 
Kama sheria inasema hivyo wavichome tu ili liwefundisho kwa hao wanaingiza vifaranga bila kibali.
Kwa hiyo sheria ikisema choma unachoma sio.. Ningekuwa Mimi ndio mwenye mamlaka nitaamuru aliyeamuru kuchoma alipe hao vifaranga wote.

Coz hapo ndio pale Mama alisema mamlaka zinatumia nguvu kuliko akili kwenye kutatatua Jambo fulani. Kama ishu ni kuingizwa kinyemela nchini kinachotakiwa kufanywa ni kuvipima kwanza kuthibitisha Kama vina ugonjwa. Kama havina ugonjwa jamaa apigwe faini na kurejeshewa mzigo wake ili aendelee kulipa Kodi ya serikali
 
Kuna kazi kubwa mbele yetu, baadhi ya sheria ziangaliwe upya, unapoamua kuwateketeza wale kuku eti kwa sababu za kiafya ,je imekwishabainika kuwa wana madhara?
Sisi tunaposafiri kwenda nje ya nchi hao kuku tunaokula huko huwa tumesafiri nao?
Tusikimbilie kutoa uhai kama haijathibitika wana madhara kwa binadamu.

Kwa upande wa kodi kuna taratibu zake, TRA wana seize mzigo, ukilipia kodi pamoja na faini unakabidhiwa mzigo wako ili uendelee na shughuli zako.Ukishindwa kulipia wanatangaza mnada,mwenye kununua atanunua na maisha yataendelea.

Hilo la kuua viumbe hai, ningependekeza sheria hiyo iangaliwe upya ,kuua kiumbe hai bila hatia si sawa kabisa,kama hawana magonjwa wasiwe wanauawa.Aliye tunga sheria hiyo ni binaadamu kama sisi, hatujui yeye kilimsukuma nini hadi kutunga sheria ambayo ni ya kinyama,nafahamu lazima ni pendekezo la mtu mmoja ambaye ndio mwenye nguvu ,kwa hiyo wajumbe waliishia kusema sawaa ipitee, bila kutafakari kwa kina.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Hivi hii taratibu aliweka nani?

Mnaua viumbe vikiwa hai?

Vifaranga wa milioni 40 wameteketezwa.

Mama samia futa hii kanuni haya ni mauaji.

Habari zaidi:

Taarifa ya Habari ya ITV ya leo imeonesha mfanyabiasha wa Ukonga aliyeingiza vifaranga vyenye thamani ya milioni 40 kutoka Kenya bila kufuata utaratibu.

Hatua zinazotakiwa kuchukuliwa kulingana na sheria nikubinafsisha mali nakuteketeza vifaranga wote kwa mujibu wa sheria.

Je, kipi bora kumuita mfanyabiasha ukampiga faini pia akalipia gharama za kuhakiki usalama wa vifaranga( kwa afya ya binadamu) alafu umrudishie vifaranga? Au ukateketeza mtaji au fedha milioni 40?
 
Hebu ongeza nyama...

Vifaranga wameuawa wapi na kwa sababu ipi?
 
Taarifa ya Habari ya ITV ya leo imeonesha mfanyabiasha wa Ukonga aliyeingiza vifaranga vyenye thamani ya milioni 40 kutoka Kenya bila kufuata utaratibu.

Hatua zinazotakiwa kuchukuliwa kulingana na sheria nikubinafsisha mali nakuteketeza vifaranga wote kwa mujibu wa sheria.

Je, kipi bora kumuita mfanyabiasha ukampiga faini pia akalipia gharama za kuhakiki usalama wa vifaranga( kwa afya ya binadamu) alafu umrudishie vifaranga? Au ukateketeza mtaji au fedha milioni 40?
Wewe by profesional ni nani? Make Nchi hii kila mtu ni mjuaji,

Unajua Madhara ya kuingiza vitu kama hivyo Nchini bila Vibari? Je kama Kenya ilikuwa ni njia tu na wametoka hata Asia kwenye mafua ya ndege unajua Impact yake?

Acha ujuaji uchwara
 
Vifaranga hawana hatia, aadhibiwe mhusika, vifaranga wapimwe kujiridhisha kama wanafaa kuwepo nchini au warejeshwe walikotoka, kuna amri ya Mungu isemayo "usiue"
Sheria inataka viteketezwe,
 
Laana hizi na tusipoangalia tutaendelea kuomboleza chanzo kikiwa ni laana za vifaranga.
Kuteketeza vifaranga ni kawaida sana, Hizi Hatchery zilizoko Tanzania wanateketeza sana kila siku sema wao hawati vyombo vya habari wakati wanapo teketeza
 
Hakuna diplomasia ya biashara? Kama mtasikia tena kupiga kelele mahindi ya wakulima yakipigwa pini mpakani kuingia Kenya.
Unajua madhara ya kuingiza mifugo bila Vibari? Au una bwawaja tu humu
 
Haya ndiyo maeneo ambayo jiwe alikuwa anajipatia umarufuu, yaani ndani ya wiki2 tangu jiwe afariki wafanyabiashara tayari mmeanza janja janja ya kukwepa kodi, hapana huyu ashugurikiwe vilivyo tena ikiwezekana anyongwe kabisa, ndiyooo huu ni zaidi ya uhujumu uchumi!
Hapa sio kukwepa kodi shida kuu ni Vibari, kuingiza mifugo bila vibari ni hatari kubwa sana sana,
 
Back
Top Bottom