Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Kuchinja kunaambatana na ibada, si kuchoma moto viumbe wasio na hatia, vaa uhusikaUsiue ili baadae uchinje ule ushibe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchinja kunaambatana na ibada, si kuchoma moto viumbe wasio na hatia, vaa uhusikaUsiue ili baadae uchinje ule ushibe.
Kwani umekamatiwa Dar?Sasa kama vimeshasafirishwa toka kenya hadi uvikamatie dar, kama vina magonjwa , utayakwepaje??sio busara kuvichoma moto, muhusika apigwe faini, na kusimamiwa kuvirudisha vilikotoka!!au vipigwe chanjo zinazotakiwa wajue cha kufanya.tatizo liko kwenye maamuzi mabovu yaliyofanywa huwezi kuzuia kuingizwa kwa vifaranga nchini wakati uzalishaji wake nchini hautoshelezi, waulize wafugaji wanavyopata tabu sasa kupata hivyo vifaranga!!na masharti kibao kuwa ni lazima ununue chakula toka kwa muuzaji huyo, .huwezi kulinda wazarishaji wa ndani wakati hawana uwezo wa kutosheleza mahitaji!!?
Wengine hatuli hata nyama kwakuwa tunavaa uhusika, fikiria ng'ombe, mbuzi, kuku, kondoo wanavyohangaika mioyo wakiona wenzao wanachinjwa, au hata binadamu akichinjwa na gariMimi hata viumbe vingine naogopa kutoa uhai wao kwa kuwagonga kwa gari. nilishagonga paka nikasali kwa kumuomba Mungu anisamehe
Nenda kasome kwenye ans za Bunge kila kitu huwa zinawekwa kabla sheria haijapitishwa!Unaweza kuwaza zaidi ya hapo mzee jikaze.. Umepewa akili kutumia sio ushikiwe na watu
Tuletee hiyo Research hapa tuichambue..
Sheria inataka vifaranga wachomwe mpaka kufa? Huu ni ukatili na uuwaji usiovumilika.Sheria haisemi hivyo!
Sheria ifuate mkondo wake fullstop.Kwa kweli haya si maamuzi sahihi na hiyo sheria imekaa kikatili ni bora ikaangaliwa upya,ni vyema tukaangalia ubinadamu na pia haileti picha nzuri kwa hawa jirani zetu. Ni dhahiri hawatajisikia vizuri na mambo kama haya yanazidisha choko choko kama majuzi nao walivyokataa kununua mahindi yetu.
Ndiyo sheria mkuu!Sheria inataka vifaranga wachomwe mpaka kufa? Huu ni ukatili na uuwaji usiovumilika.
Tena Ukonga Banana!!!Kwani umekamatiwa Dar?
Kabisa. Atakayechoma angekuwa anapewa adhabu avile mpaka viishe. Unakula na mifupa.Kuchinja kunaambatana na ibada, si kuchoma moto viumbe wasio na hatia, vaa uhusika
Kwa akili yako enzi za mwendazake, ukwepaji kodi ulikuwa hakuna? Hayo madudu ya bandari alikuwa hayupo?! Ni suala la muda tu huyu mama akiamua kweli afunue kote mlikokuwa mmefunikwa mtamuona huyo meko kumbe alikuwa hata zaidi ya JK!! Hizo ndege kila siku alikuwa anawaambia ni ma faida tu??Haya ndiyo maeneo ambayo jiwe alikuwa anajipatia umarufuu, yaani ndani ya wiki2 tangu jiwe afariki wafanyabiashara tayari mmeanza janja janja ya kukwepa kodi, hapana huyu ashugurikiwe vilivyo tena ikiwezekana anyongwe kabisa, ndiyooo huu ni zaidi ya uhujumu uchumi!
😂😂😂😂Laana hizi na tusipoangalia tutaendelea kuomboleza chanzo kikiwa ni laana za vifaranga.
Nasikia mahindi yamekataliwa kuvuka kwenda Kenya😪Vifaranga kutoka nchini Kenya vyenye thamani ya Milioni 40 vimekamatwa na mamlaka ya serekali Tanzania bila ya kua na vibali halali.
Kwa kujibu wa taarifa toka mamlaka husika Tanzania wamesema wataviteketezwa kwa mujibu wa sheria inavyotaka. Japo vifaranga hivyo havijathibitika kua na magonjwa ila kwa kua vimeingia bila kibali vitachomwa moto.
Source ;ITV