Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi elewa wewe akili zako ni za kitoto sana. Hujawahi ona nguruwe wanauwawa kwa sababu wana magonjwa? Tumia akili kidogo basi wewe ass!!?Utachomaje kitu chenye uhai? Haniingii akilini
Ndiyo maana nalo lilikufa
Vinatakiwa vikabidhiwe kwa madaktari wa mifugo vipewe madawa.
Mbona gari ya shamimu na mumewe hawakuchoma moto? Ndiyo maana lile lijamaa linatafasiriwa km ni dikitetam
Atakaeyechoma moto naye afe. Ndiyo utagundua nchi za Afrika hakuna wanachoweza hata viongozi wakiumwa wanakimbilia nje za nchi na wengi huishia kufa tu
Mama yako hajafa?Ha ha ha,kafa sasa.mkome
Ndiyo kama sheria zao zinasema hivyo.Na wao wachome mahindi wanavyodai yana sumu kuvu siyo?
Sheria ikipitishwa na Bunge maana yake watz wamekubaliana na sheria hiyo kwa kuwa wabunge ni wawakilishi wa wananchi.Kwa hiyo sheria ikisema choma unachoma sio.. Ningekuwa Mimi ndio mwenye mamlaka nitaamuru aliyeamuru kuchoma alipe hao vifaranga wote.
Coz hapo ndio pale Mama alisema mamlaka zinatumia nguvu kuliko akili kwenye kutatatua Jambo fulani. Kama ishu ni kuingizwa kinyemela nchini kinachotakiwa kufanywa ni kuvipima kwanza kuthibitisha Kama vina ugonjwa. Kama havina ugonjwa jamaa apigwe faini na kurejeshewa mzigo wake ili aendelee kulipa Kodi ya serikali
Huwezi elewa wewe akili zako ni za kitoto sana. Hujawahi ona nguruwe wanauwawa kwa sababu wana magonjwa? Tumia akili kidogo basi wewe ass!!?
Mama yako hajafa?
Naona alikufanya mbaya kweli kweli na bado!Kesho nafanya bonge la sherehe. Na pia najipongeza kwa kufa dikiteta Idd Amin dada
Huo ndio ukweli, najua mliokuwa timu ya kusifia hamtaki kuusikia, juu ya MZALENDO MPIGAJI NAMBA MOKO!!, mliaminishwa hivyo kuwa kila kitu ni safi!!!kwa makanisa haya ya viongozi jamii ya GWAJIMA,MASANJA MKANDAMIZAJI bora niendelee tu kuamini mizimu ya mababu tu.Andika ukiwa huru bila mapepo ya chuki mkuu...
Njoo kanisani kwetu tukuombee
Huo ndio ukweli, najua mliokuwa timu ya kusifia hamtaki kuusikia, juu ya MZALENDO MPIGAJI NAMBA MOKO!!, mliaminishwa hivyo kuwa kila kitu ni safi!!!kwa makanisa haya ya viongozi jamii ya GWAJIMA,MASANJA MKANDAMIZAJI bora niendelee tu kuamini mizimu ya mababu tu.
This is unacceptable to be honestly the Burning of Living things duh!!
Ccm is idiot.