Lakini kaacha Legacy ya nguvu! Vipi mama yako kaacha legacy gani mkuu nasikia alishaoza siku nyingi au amekuacha wewe ass mkubwa?Mtasema yote,sasa kaanza na kuoza tumemsahau.***** zenu mbwanyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kaacha Legacy ya nguvu! Vipi mama yako kaacha legacy gani mkuu nasikia alishaoza siku nyingi au amekuacha wewe ass mkubwa?Mtasema yote,sasa kaanza na kuoza tumemsahau.***** zenu mbwanyie
Hivi hii taratibu aliweka nani?
Mnaua viumbe vikiwa hai?
Vifaranga wa milioni 40 wameteketezwa.
Mama samia futa hii kanuni haya ni mauaji.
Habari zaidi:
Taarifa ya Habari ya ITV ya leo imeonesha mfanyabiasha wa Ukonga aliyeingiza vifaranga vyenye thamani ya milioni 40 kutoka Kenya bila kufuata utaratibu.
Hatua zinazotakiwa kuchukuliwa kulingana na sheria nikubinafsisha mali nakuteketeza vifaranga wote kwa mujibu wa sheria.
Je, kipi bora kumuita mfanyabiasha ukampiga faini pia akalipia gharama za kuhakiki usalama wa vifaranga( kwa afya ya binadamu) alafu umrudishie vifaranga? Au ukateketeza mtaji au fedha milioni 40?
Nimeikumbuka ilikuwa miaka ya 1990sHii ndio Tanzania. Kumbuka swala la yule mbwa aliyeitwa Immigration
Havina faceUnakula mbogamboga nazo viumbe vilivyokatwa
Unapata faida gani baada ya kuviteketeza,Sheria inataka viteketezwe,
We roho nzuri yako imekujengea magorofa mangapi mpaka sasa!?Roho mbaya ni dalili ya umaskini
Ukishikwa na biashara haramu ya kusafirisha binadamu pia nayo...............Kwan ukishikwa na nyavu haramu huwa wanafanyaje!! Nachojua mm wameteketeza kwasababu n mzigo haramu!!
Ciyo tu anakwepa kodi ila inaweza kuingiza magonjwa nchini ya mifugo au ya binadamu
Ndyo maana kukawa na utaratibu wa kuingiza bidhaa
Na ile nyama waliobeba wazee wa buku 5 ya kubrashia viatu pale buguruni kama kidhibiti iliteketezwa wapi!Wacha kutuletea ujinga wako hapa, hakuna ng'ombe hai anateketezwa na moto bali ni nyama ya ng'ombe au mnyama yeyote aliyekufa mwenyewe au amechinjwa lakini nyama yake imegundulika haifai kuliwa na Binadamu. Machinjioni kila mnyama anayechinjwa kwa chakula nyama yake lazima ipimwe na mtaalamu ili kujua kama ni mzimà wa afya na salama kuliwa na Binadamu na ikikutwa haifai kabisa inatekelezwa au kama ugonjwa siyo mbaya sana inachemshwa hapohapo kwa usimamizi wa aliyepima.
Kwa akili yako utajiri ni maghorofa???We roho nzuri yako imekujengea magorofa mangapi mpaka sasa!?
Inaeleweka hiyo, basi wangechunguza kwanza, tena wawapatie chanjo kisha vichukuliwe iwe mali ya serikali,na huyo mfanya biashara alipe fine kwa kosa la kufanya kazi bila barua. Simple like that!Vifaranga vinasambaza magonjwa kwa haraka sana mkuu. Ungekuwa umefanya biashara ya kufuga kuku ungejua ukweli huo. Nafikiri unajua ugonjwa wa mafua ya ndege.
Hapo sasa! 🤣Ukishikwa na biashara haramu ya kusafirisha binadamu pia nayo...............
Cha msingi na sekondari Sheria iangaliwe upya tu, hakuna namna!
Hata akili hutumika pia, sio kila sheria inamaana!Kwan ukishikwa na nyavu haramu huwa wanafanyaje!! Nachojua mm wameteketeza kwasababu n mzigo haramu!!
Ciyo tu anakwepa kodi ila inaweza kuingiza magonjwa nchini ya mifugo au ya binadamu
Ndyo maana kukawa na utaratibu wa kuingiza bidhaa
Payback tena, hivi una akili wewe?safi sana, it's payback time bitches
eat a dick..Payback tena, hivi una akili wewe?
Mfanyabiashara ni wenyu, vifaranga ni vyake, ashanunua ujue, hatorejeshewa hela na muuzaji!
So payback ya nini wakati mnawaumiza /mnaumizwa nyie raia wa Tz na serikali yenyu mnayoipenda... NB: 🖕🖕🖕
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂eat a dick..
Sasa we duniani umekuja kupiga majungu tu?Kwa akili yako utajiri ni maghorofa???
Sheria haisemi hivyo waambie wabunge wako wakaibadirishe hiyo sheria.Inaeleweka hiyo, basi wangechunguza kwanza, tena wawapatie chanjo kisha vichukuliwe iwe mali ya serikali,na huyo mfanya biashara alipe fine kwa kosa la kufanya kazi bila barua. Simple like that!
Hiyo ni pesa kumbuka na ni uhai pia ata kama ni mnyama. Serikali wavichukue hata wawape raia wenye kipato cha chini, wapige kazi wajiendeleze kimaisha!