Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Majangili ni zama za nyerere hukoooo!!!wewe unaishi wapi??.....wkt nchi haina watu.....siku hizi kila mita tano kuna satelite zinazungumza na jangili kwa kumpa onyo...asithubutu kuua mnyama tena zinamwambia kabisaaa " wewe flani picha yako tunayo na unaishi paleeee!!....sasa endelea uone......Huu ni unafiki,tembo wanakufa kila siku kupitia majangili na serikali kukosa mapato
Sasa serikali imeweka njia rasmi, bado unapinga