Mkono mtupu haulambwi mkuu ndio maana wengine hawapati lakini wengine wanapata !! Usiseme wewe huyajui hayo hapa kwetu !!Watoto wa baba wa taifa wapo waliowahi kujaribu kugombea uongozi wakafeli hata uchaguzi mkuu uliopita walijaribu. Tukija kwa JK , Mwanawe aligombea akapata na mkewe aliteuliwa na JPM je angekataa? Sioni jitahada za JK kwenye hilo.
Hata ukifika mwisho bado watakuwa wamefaidi vya kutosha,Yana mwisho haya
Mwalimu amesomea, kwani hao walisomea wapi huo uwaziri, ubunge na urais? Kama sio kupendeleana kwa manufaa yao binafsi,Mbona wewe ni mwalimu babaako ni mwalimu na mamaako ni mwalimu?
Ukizaliwa wanaswali ili ukue haraka upewe cheoMwalimu amesomea, kwani hao walisomea wapi huo uwaziri, ubunge na urais? Kama sio kupendeleana kwa manufaa yao binafsi,
Nyie endeleeni kuwa wajamaa 😂😂😂,katika ulimwengu wa kibepariNimewaza ile siasa ya Ujamaana kujitegemea nikajikuta ninalia mwenyewe mkuu.
Hussein Mwinyi ameupata urais wa Zanzibar kama Bush junior alivyoupata urais wa Marekani ?Hakuna jipya hapo. Reference ni familia ya Bush au Clinton huko USA.
Acha wenge weweMwalimu amesomea, kwani hao walisomea wapi huo uwaziri, ubunge na urais? Kama sio kupendeleana kwa manufaa yao binafsi,
Umekuaje siku hizi?au umesahaulika kwenye keki ya Taifa?yaani Awamu zote zinakupita mkuu?Mkuu hapo unamaama kwamba wanaofaidi kodi zetu kwa kiasi kikubwa hapa nchini ni hizo familia tatu tu.
Familia ya Jakaya Kikwete.
Familia ya Alhassan Mwinyi
Na Ya Rais Samia Suluhu.
Hapo upo sawa kabisa.
Halafu ndo wanajiita swala 5.mbafuu kabisa.Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Hahaha! it's kuwa Dodoma hukoHuku kwetu baba ni mkata mkaa...
Mama ni mama wa nyumban!!!
Na watoto hawataki shule...wanavuta bange tuu..
Kweli tupo dunia tofaut,
We acha tuu
Ukitoka tofauti na hiyo tree hata kama ukawa Raisii utatukanwa mubashara ww ni mshamba na ikibid na awamu zako huzimalizi. Lile pigo la kifo cha mwongoza njia kwetu (wanyonge) ni sawa na kuku aliekuwa na vifaranga katikati ya msitu akaliwa na mnyama mkali, kisha vifaranga wakabaki msituni...
Maumivu ya hivyo vifaranga hayasimuliki pia maisha yao ni kama hayapo tena.
Kweli katiba mpya ni muhimu sana at the very least waondoe kinga kwa Viongozi wote through ammendment.Swali ni kwamba kwani watadhibitiwa na taasisi gani au sheria gani itawazuia , kama ni hivi hivi basi itakuwa hivi hivi tu hata waje chauma !!