[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na GPA ina matter kaka, Mzee alipambana kutengeneza vyote viwili.Wakati Mstaafu anatengeneza mtandao tangu akiwa chuoni wengine wakawa busy kutenegeza GPA…kila mtu atakula alipopeleka mboga
Hujamuelewa! Rudia kusoma.Mtandao una gharama zake boss....
Rejea ule wa mwaka 2003-2005 ulihusisha wakubwa kutoka pande muhimu kuanzia siasa,utumishi mpaka dini.
Hii mitandao ya kwetu huku chini inatusaidia Sana kutukwamua kwenye hali ya kimaisha tunayopitia huwezi kuifananisha na hiyo ya hao wakubwa.
Sidhani.!Ukitoka tofauti na hiyo tree hata kama ukawa Raisii utatukanwa mubashara ww ni mshamba na ikibid na awamu zako huzimalizi. Lile pigo la kifo cha mwongoza njia kwetu (wanyonge) ni sawa na kuku aliekuwa na vifaranga katikati ya msitu akaliwa na mnyama mkali, kisha vifaranga wakabaki msituni...
Maumivu ya hivyo vifaranga hayasimuliki pia maisha yao ni kama hayapo tena.
Mbona Ben hakuitwa mshamba na hakutoka kwenye tree yao?Ukitoka tofauti na hiyo tree hata kama ukawa Raisii utatukanwa mubashara ww ni mshamba na ikibid na awamu zako huzimalizi. Lile pigo la kifo cha mwongoza njia kwetu (wanyonge) ni sawa na kuku aliekuwa na vifaranga katikati ya msitu akaliwa na mnyama mkali, kisha vifaranga wakabaki msituni...
Maumivu ya hivyo vifaranga hayasimuliki pia maisha yao ni kama hayapo tena.
Ukiwa nazo nini?Watoto huwatizama baba zao..........ukiwa kapuku ni 50 50 watoto kufanikiwa ama kufeli kimaisha ila ukiwa nazo 100 watoto nao kufanikiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaahSi ndo wewe umeamua kuja na id mpya baada ya mods kukuchosha kwa ban!..
Unajiita uvimbe na watakuvimbisha kinyama..[emoji41]
Labda wa madrasaMbona wewe ni mwalimu babaako ni mwalimu na mamaako ni mwalimu?
Babu yako kama alikuwa fala ni wewe tu,mfano Bush alikuwa rais,mtoto nae akawa rais mtoto mungine gavana,na Mbowe baba ake alimchangia Nyerere kwenda UN,Ndeasamburo alikuwa mbunge,mtoto wake mbunge viti maalumu na mkwe wake mbunge viti maalumu Mwinyi nyerere kikwete ni kama wachezaji tu
Why not?,Tukiwa na katiba nzuri inawezekana kabisaHuku kwetu Baba mshona viatu
Mama mchoma vitumbua
Mimi muendesha boda boda
Sister Fundi chereani
Brother Balozi wa nyumba 10
Watoto wote shule vidumu ufagio hakuna aliyekatiza form 4.
Kuna siku hii familia yetu itatoa Mkuu wa Wilaya au Katibu Kata !.
Wote hao watu wa pwani, hapo hakuna wa bara.Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Huwezi kuelewa sababu inawezekana na ww mmojawapo wanaozungumziwa hapaAcha roho mbaya yani hata kama wamejipambania na uwezo wano?
Wewe mlaumu babako tu
Hivyo vifaranga ndio kama kina Sabaya Makonda na wasiojulikana sio?[emoji848][emoji848]Ukitoka tofauti na hiyo tree hata kama ukawa Raisii utatukanwa mubashara ww ni mshamba na ikibid na awamu zako huzimalizi. Lile pigo la kifo cha mwongoza njia kwetu (wanyonge) ni sawa na kuku aliekuwa na vifaranga katikati ya msitu akaliwa na mnyama mkali, kisha vifaranga wakabaki msituni...
Maumivu ya hivyo vifaranga hayasimuliki pia maisha yao ni kama hayapo tena.
Nan amekudanganya,tupatieni katiba mpya muone kama huo ujinga utakuwepoKatiba mpya haihusiani na hilo wala, inaweza ikawepo lakini bado yakawa yanatokea
Ikifika hapo anashikwa na kigugumiziNa bado huoni umuhimu wa katiba mpya?
Ikifika hapo anashikwa na kigugumizi