Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Tabia za kimalaya Malaya,"wasipokuja tunapiga kelele,wakija tunawakebei kebei,Tushukuru wamekuja tutengeneze fursa,joint venture,alimradi pande zote zinufaike,serekali ipate,mwekezaji apate,mbia mwenza apate,tuache tabia za kimalaya malaya.
Hawa 2shawazoea na kelele zao,,,mwenyewe nimehappy ujio wa wamisry. So wacopenda acha wapige kelelee kwa wingi mama acwafuate wachache hawa.