Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Huo ulikuwa ni wakati wa kumtoa IDDI AMINI ndio tulijifunga mikanda leo Iddi Amini wa hapa hapa nyumbani ndio tunataka na yeye tumkurupue kwa hiyo tuko tayari kufunga mikanda.
 
Wakubwa nawaaminia ,wakiauamua jambo hakuna kubisha.Mfano wakiaumua ku enforce no fly zone anga ya Tanzania siyo kunguru,siyo bombadier,siyo Mig itapaa angani.Tuwe wapole bana.
 
Huo ulikuwa ni wakati wa kumtoa IDDI AMINI ndio tulijifunga mikanda leo Iddi Amini wa hapa hapa nyumbani ndio tunataka na yeye tumkurupue kwa hiyo tuko tayari kufunga mikanda.



Infact, you don't grasp my point,

Bye bye friend.
 
Shida ni Makinia mkuu..hapo ndo mzungu amezidi kuwa mwekundu
 

hujaeleza china imeshindwa namna gani na Marekani. MAANA ulaya hwana bifu na Ulaya.
 
Jiwe alivyozoea kutupangia kazi nyingine akitufukuza na yeye sasa wanamwambia mkaishi sayari nyingine
 
Sema utaumia wewe mvivu wa kufanya kazi ili ujitegemee kwa faida ya vizazi vyako vijavyo

hivyo vikwazo mbona vimewekewa nchi nyingi tu mbona maisha kwao yanaendelea

Katu hatuwezi kuuza utu wetu kisa tu misaada yao, wabaki nayo

Potelea mbali nimejiandaa hata kwa vita nitakuwa mstari wa mbele
 
Ivi yatendwayo nchini ni halali kutendwa. Mwaka2015 kurudi nyuma tuliishi ivi ukiondoa suala la kipato cha mtu mmoja mmoja? Ni vema na kheri kusimamia ukweli.
 
daaah watanzania lin tutaamka? coz tunakuwa kama watoto huyo magufuli alichaguliwa au aliteuliwa ? na kama kachaguliwa na wakina nani?na kama kateuliwa na nan?
 
Twende na jpm 2020
 
daaah watanzania lin tutaamka? coz tunakuwa kama watoto huyo magufuli alichaguliwa au aliteuliwa ? na kama kachaguliwa na wakina nani?na kama kateuliwa na nan?


"Jiwe limekuwa jiwe kuu la pembeni walilolikataa waashi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…