Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tatizo ni kuwa Wakenya wengi ikiwemo hawa wanahabari, hufikiri Tanzania is a beacon of democracy lakini kumbe Tanzania is just another dictatorship pretending to be a democracy.
Hivi haya majina ya tony bado wanapewa Watoto Wa kiume huko kenya

Send by APOLO 1
 
Wewe neno mushene ulilijulia hapa Kenya. Hilo sio neno la kiswahili hata kidogo. Hilo ni neno la kikuyu. Kwa hivyo lazima umeishi Kenya kwa muda mrefu.
Watz hatuwezi kucheza na [emoji205]maana natutaki kuvuna mabua

Send by APOLO 1
 
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.


Kwani nyinyi hamsikii habari za uchunguzi zinavyogharimu wanahabari
 
Mnafuata nini Tanzania nyie watu, si tuna Corona sisi wote kwanini nyie mteseke? Waache wakanyee debe miaka 10 manyang'au hao
Nyie majuha kweli........waandishi hata katikati ya vita kali wanaingia ili kuripoti matukio kwa usahihi......sasa nn kinawakera wao kufanya kazi yao? Siasa kwenye corona iondoke mara moja
 
Nyie majuha kweli........waandishi hata katikati ya vita kali wanaingia ili kuripoti matukio kwa usahihi......sasa nn kinawakera wao kufanya kazi yao? Siasa kwenye corona iondoke mara moja
nahisi umevimbiwa mukimoo ww
 
Nyie majuha kweli........waandishi hata katikati ya vita kali wanaingia ili kuripoti matukio kwa usahihi......sasa nn kinawakera wao kufanya kazi yao? Siasa kwenye corona iondoke mara moja

Juha bibi yako, kuingia nchi yoyote lazima upate kibali hiwezi kuingia kama unaingia chooni. Usipofuata utaratibu lazima ukubali matokeo yake jinga wewe
 
Chief hiyo resource unayoshauri itumike kuwafunga hao waandishi ingetumika kwenye mikakati ya kupambana na korona ndicho namaamisha.

Kwa hali ya maambukizi ilipofikia Tanzania unafikiri kwasasa Lockdown itasaidia au itaongeza matatizo mengine zaidi? Kipi unataka kifanyike kwasasa?
 
Tanzania imewatia mbaroni wanahabari wawili wa Kenya waliokuwa wakifanya mahojiano Arusha na wenyeji kuhusu ugonjwa wa corona. TZ inatoa madai kuwa wanahabari hao waliingia nchini humo kinyume cha sheria.


Acha wakamatwe jino kwa jino! Mpaka mnyooke safari hii.
 
Nyie majuha kweli........waandishi hata katikati ya vita kali wanaingia ili kuripoti matukio kwa usahihi......sasa nn kinawakera wao kufanya kazi yao? Siasa kwenye corona iondoke mara moja
Kwanini wasiripoti kwenu jinsi mnavyopigwa mapomu na mapolisi wenu pia mnanjaa mpaka mnapika mawe!
 
. 0%
 
Kwa hali ya maambukizi ilipofikia Tanzania unafikiri kwasasa Lockdown itasaidia au itaongeza matatizo mengine zaidi? Kipi unataka kifanyike kwasasa?
Hapana lock down ni habari nyingine kwa nchi kama hii ambayo haina mikakati yoyote ya maana.

Watu wipimwe kwa wingi kubaini wagonjwa kupunguza maambukizi na tuache kuficha taarifa.
 
Uhuru gani wakikabila ama? Wewe endelea kukaa ndani usubili nchi iuzwe?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hao tutaruka nao magoma mpaka itakuwa sio poa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Watarudi Kenya kifudifudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…