Soma historia vzr nchi karibu zote zilizoendelea zilitumia udikteta fulani na ndiyo maana ziliendelea, huwezi kupata maendeleo huku unahimiza demokrasia, pia huwez kuendelea km wananchi watajifanya wajuaji km kenya, ni lazima mconcentrate power kwa mtu mmoja ambaye ni makini na mnamwamini kwmb atawavusha salama kutoka kwenye umaskini, soma vzr historia utaelewa, hawa wapinzani wa maendeleo wasikupotoshe, hakuna hata mmoja ambaye angethubutu kuwa na mawazo km ya JPM, wote hawa wangeanza na mifuko yao kwnz, waza kmy kmy utapata jibu na usiwe mbinafsi weka maendeleo ya nchi mbele hata kama ww kwa kipindi hiki hautafaidika lkn waza maendeleo ya nchi kwa ujumla, na ndivyo walivyofanya USA, GERMANY, JAPAN, BRITISH, FRANCE and even CHINA, tatizo la Mwafrika ni ubinafsi wa kujifikiria yeye na ndiyo maana Afrika haitokaa iendelee, hebu jiulize nchi gani iliyoendelea ilikuwa na demokrasia, au nchi gn iliyoendelea ilikuwa na uchaguzi wa marais kila baada ya miaka fulani, hili ni bomu wazungu waliliingiza Afrika baada ya wao kuendelea na hawapendi kuona Afrika inaendelea km wao, pia wanajua fika jinc gn waafrika ni wabinafsi, wenzetu CHINA waliliona hili na ndiyo maana wakachagua kwmb Xi jinping awaongoze kwa kipindi hiki na co mpumbavu mwengine yyte cz wanamuamini atawapeleka mbele na ndivyo ilivyokuwa.