RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Watanzania 435 wameingia kwenye orodha ya mamilionea wa dola. Pamoja na watu kulialia vyuma vimekaza,pesa hamna lakini kila mwaka wanaibuka matajiri wapya kuliko awamu zilizopita
Tanzania yapata mamilionea wapya
Tanzania yapata mamilionea wapya