Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

..tulishajaribu udikteta hapa Tz wakati wa Mwalimu Nyerere na tulifeli.

..pia kuna nchi nyingi za kiafrika zimetawaliwa au zinatawaliwa Kidikteta lakini hazijapiga hatua ya maendeleo.

..Demokrasia ina-guarantee amani na kutuhakikishia kuwa tukimchoka Jpm au CCM tunaweza kubadilisha serikali kupitia sanduku la kura.
Nitajie nchi yenye demokrasia hapa duniani
 
So, head of state ni malkia wa Uingereza jibu nadhani utakuwa nalo, heheheheheeee nchi ipo Amerika af head of state yupo ulaya [emoji3][emoji3][emoji3]

..Ni ceremonial head of state.

..Mamlaka na maamuzi yote makubwa yanafanywa na Waziri Mkuu na Bunge.

..Pia pamoja na kuwa Malkia ndiyo head of state bado Wacanada wana HAKI na maamuzi kuhusu serikali yao kuliko Watz.
 
..Ni ceremonial head of state.

..Mamlaka na maamuzi yote makubwa yanafanywa na Waziri Mkuu na Bunge.

..Pia pamoja na kuwa Malkia ndiyo head of state bado Wacanada wana HAKI na maamuzi kuhusu serikali yao kuliko Watz.
Ss unataka kufananisha Canada na Tz we vp, hyo ni developed country na nenda kasome historia yao walifikaje hapo walipo af km utaona ushuzi wa demokrasia
 
  • Thanks
Reactions: Oii
..Ni ceremonial head of state.

..Mamlaka na maamuzi yote makubwa yanafanywa na Waziri Mkuu na Bunge.

..Pia pamoja na kuwa Malkia ndiyo head of state bado Wacanada wana HAKI na maamuzi kuhusu serikali yao kuliko Watz.
Hakuna nchi iliyoendelea duniani hapa na ikapata maendeleo hayo kwa kutumia demokrasia icho kitu hakipo na km kipo mm cjawahi kusoma nchi ya hvyo.
 
Wazungu wanahimiza democracy wkt huo huo wao ni ma capitalist ss cjui km inaingia akilini hapo.
 
Ss unataka kufananisha Canada na Tz we vp, hyo ni developed country na nenda kasome historia yao walifikaje hapo walipo af km utaona ushuzi wa demokrasia

..sasa hebu tueleze unapolinganisha wananchi wa Canada na Tanzania ni wapi wana haki na uhuru zaidi wa kuchagua na kuchaguliwa?

..Je, waTz tuna demokrasia na haki zaidi ya waCanada pamoja na kwamba Malkia wa UK ndiye Ceremonial head of state wa Canada?
 
..sasa hebu tueleze unapolinganisha wananchi wa Canada na Tanzania ni wapi wana haki na uhuru zaidi wa kuchagua na kuchaguliwa?

..Je, waTz tuna demokrasia na haki zaidi ya waCanada pamoja na kwamba Malkia wa UK ndiye Ceremonial head of state wa Canada?
Ishu iko hv, maendeleo hayawezi kuja kwa kutumia demokrasia ni lazima kuwe na udikteta fulani hata nchi zilizoendelea zilitumia trick hii, demokrasia haiwezi ku operate kwny njaa mkuu, lazima mshibe kwnz ndio mu introduce democracy. Ukiwaza kwa mapana utaelewa namaanisha nn.
 
Afrika haiwezi kupata maendeleo kwa kubadili badili viongozi na sera kila baada ya mda fulani, lazima kuwe na msimamo kwmb tutachagua lkn tukipata anayefaa tumuache kwa muda fulani km ni miaka 20, 30, .... Whatever lkn pale tunapogundua ameshaanza kuingia tamaa tunambadili CHINA wanaakili sn waliliona hili.
 
Wazungu wanahimiza democracy wkt huo huo wao ni ma capitalist ss cjui km inaingia akilini hapo.

..lakini hao wazungu ni more socialist than us.

..kwa mfano huduma za afya na elimu ni bure.

..wafanyakazi wana likizo nzuri za uzazi kwa kinamama na kinababa.

..wana huduma nyingi sana za kijamaa kutuzidi sisi tunaojiita wajamaa.
 
Ishu iko hv, maendeleo hayawezi kuja kwa kutumia demokrasia ni lazima kuwe na udikteta fulani hata nchi zilizoendelea zilitumia trick hii, demokrasia haiwezi ku operate kwny njaa mkuu, lazima mshibe kwnz ndio mu introduce democracy. Ukiwaza kwa mapana utaelewa namaanisha nn.

..siyo kweli.

..Afrika tumekwama kwasababu ya kuwa na madikteta waliokaa madarakani muda mrefu na wameridhika na kujihakikishia kuwa hakuna wa kuwaondoa madarakani.
 
..lakini hao wazungu ni more socialist than us.

..kwa mfano huduma za afya na elimu ni bure.

..wafanyakazi wana likizo nzuri za uzazi kwa kinamama na kinababa.

..wana huduma nyingi sana za kijamaa kutuzidi sisi tunaojiita wajamaa.
Hayo unayosema saivi ni matokeo, soma historia walitokaje huku tulipo na kufika hapo walipo
 
..siyo kweli.

..Afrika tumekwama kwasababu ya kuwa na madikteta waliokaa madarakani muda mrefu na wameridhika na kujihakikishia kuwa hakuna wa kuwaondoa madarakani.
Hiyo ndiyo changamoto tuliyonayo Afrika viongozi wengi wanatamaa lkn tamaa hyo inasababishwa kwa kiasi kikubwa na hao hao walioendelea ambao ww unasema wana democracy
 
..siyo kweli.

..Afrika tumekwama kwasababu ya kuwa na madikteta waliokaa madarakani muda mrefu na wameridhika na kujihakikishia kuwa hakuna wa kuwaondoa madarakani.
Hv ww unadhani maendeleo ya developed countries yalikuja tu kirahisi huku wanakula bagger hehehehee ww soma historia mzee
 
Back
Top Bottom