wewe unayeandika point huna like hata moja. haha. halafu kwenye kiswahili hakuna neno unaandikaga. kajifunze lugha kijana.Wewe unaandikaga upupu wanakuja kukupa like buku 7 wenzako ona aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Akina Bantugbro hawawezi fanya analysis Kama hii. Mambo ni ushabiki tu.
Mkuu Stuxnet, hii ya bajeti ya Kenya kuwa bigger kuliko the rest of EAC combined ndio naijua leo, hivyo naunga mkono hoja yako ya Kenya ndio uchumi mkubwa, ila hoja ilio mezani its volume ya mamilionea in numbers, not per unit, yes Kenya inaweza kuwa ni uchumi mkubwa ila umeshikwa na mabilionea wachache, lakini Tanzania ikawa ni uchumi mdogo, ila umeshikwa na utitiri wa vimilionea!.
Just imagine kama mimi tuu kazi yangu ni mwandishi wa habari, na wakati wa Kikwete nilikuwa milionea mwenye TZS 100+m kwenye Account yangu, then for sure Tanzania tutakuwa na vimilionea kibao vyenye more than TZS 100m bank account ambao ni zaidi ya 300 lakini tuna Watanzania wachache wenye billions, ambao hawazidi 50, lakini Kenya wao wana mabilionea 100, na vimilionea 100, tukija kwenye total numbers, mamilionea Watanzania watakuwa ni wengi kuliko waKenya in terms of numbers lakini tukija kwenye the volume ya huo umilionea wao, Kenya wakatuacha mbali.
Kuna kitu nilikinote nikauliza humu, sikumbuki hata nilijibiwa nini!.
Je, tunaweza kujenga Tanzania ya viwanda bila kutegemea mabeberu?, Ukaribu beberu na 'next door' ni fimbo au biashara tu?
P
Nimeisoma hiyo article ya citizen na nikaona imeandikwa kufurahisha kadamnasi tu. Nahisi hata mwandishi haijui Kenya kabisa. Hata hivyo kuna mahali amekiri mwenyewe kuwa ni kama taarifa za kufikirika, nanukuu; "A lack of robust data to fit into our complex econometric model on certain countries means we had to make assumptions"
Kiukweli uchumi wa Kenya uko juu na wala tusipepese macho. Jiulize kwa nini Kenya ina makampuni zaidi ya 200 yaliyowekeza Tanzania na je Tanzania wana Makampuni mangapi yaliyopo Kenya? Nchi zote za Afrika Mashariki ni soko la bidhaa za Kenya. Uchumi haudanganyi.
Angalia takwimu za bajeti za Afrika Mashariki kwa mwaka 2019/20; Kenya Tsh 66.8 Trilion, Uganda Tsh 23.6 Trillion na Tanzania 30.4, Rwanda Tsh 6.8 Trilion, Burundi 1.8 Trilion na South Sudan Tsh 3.5 Trillion (ambayo jumla ya yote ni Tsh 66.1 Trilion). Picha unayopata ni kwamba uchumi wa Kenya ni mkubwa kuliko nchi zingine zote 4 za Afrika Mashariki yote zikiwekwa pamoja.
Hoja hii imejibiwa vizuri na post #46 hivyo ungeenda kuisoma itakusaidia kuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
a point of correction: millionaire status ni in terms of dollars, hakunaga millioanaire kwenye currency yoyote zaidi ya dollars!
Kwa ukanda huu wa afrika mashariki hakuna ubishi kenya wapo mbele sana pamoja na ethiopia, in recent rankings ilikua inaanza ethiopia then inafuata kenya! but kenya has taken its spot again BUT jinsi uchumi unahesabiwa its rarely and it will never happen kuhesabu account za watu, nikupe mfano, tajiri wa kwanza duniani jeff bezoes alivoachana na mke wake alitakiwa kulipa $65B, lakini hakua na hio cash so he had to give some stocks za amazon kwa mke wake as a settlement, if he counld have converted his networth fast to real cash then angempa direct!
back to the point, kenya is a heavy economy and its projected to have a large influence in africa in the years ahead: kenya are very good in almost everything, not even south africa can take over kenya in fields such as telecom! incase kenya stops trading with tanzania there will be disaster to most citizens because wengi ndo kimbilio la bidhaa zao nkimaanisha vyakula sana sana
maybe true: keep up with CDM utapata ruzukuEeenh, haisaidii kitu mkuu 'Stakehigh'.
Uwezo huna!
LOooh, sasa nimejua huna uwezo.
Hiyo lugha inakupita pembeni kabisa?
Na inawezekana wewe upo huko serikalini na cheo kikubwa kabisa!
@David NdiiNdi nani mkuu nikamcheck huko twitter anavyowapa za uso mungiki wenzie?
Ndii ni mtaalam mkubwa sana wa uchumi hapo Kenya, ww usijifanye humjui bhana. Mimi nina akili sana, ila sijasomea uchumi. Ndio maana naamini wachumi waliosoma wakizichambua hizi data za kiuchumi. Data imeandaliwa na wasomi huko, ikaandikwa na vyombo vya kimataifa,Kwani Ndii ni nani? Wewe hauna akili ya kuona kwamba hizo takwimu za wealth report ya 2019 na ya 2020 haziendani? mpka ndii akwambie??
Pole, ila ripoti inasema Tanzania imeipita Kenya kwa idadi ya matajiri, kama wamekosea watarekebisha.Kila siku kukitoka habari yoyote inayotaja ripoti flani, mimi hua nasoma hio habari na analysis ya alieandika hio habari, kisha nikimaliza natafuta hio ripoti original na kuichambua mwenyewe kiundani hadi nielewe. Kwahivyo hii si siku ya kwanza kukagua ripoti...
Hata kuna habari zengine hua zinaisifu Kenya alafu ukitafuta original report na kujisomea mwenywe unagundua mwanahabari hakufaa kusherehekea ama hata alikosa ku interpret data vizuri....
You're a shallow person. No need to repeat to you what Kafrican already did.Hakuna cha analysis hapo, yaani dataset yenyewe haizidi hata 10 rows unahangaika kupoteza mda. BBC, the Citizen na Knight Frank wote wameshatueleza ukweli, hakuna mjadala tena.
Waambie hao ndugu zako wawili wanajijua wapunguze uongo hapa jamvini, tunawaona sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Those are US dollar billionaires, source is, new world wealth, sijui watu gani hao, sijui ni reliable kushinda knight frank. Huku kwetu wamesema US dollar millionaires wapo wengi bongo kushinda Kenya. We understand it's a hard pill to swallow, u better start getting used.Ukiangalia ripoti zengine hazi support hio information
Kwa mfano hii hapa inayoonyesha Total wealth ya wananchi wote,, Kenya iko mbali zaidi ya Tanzania.... kama ingekua kweli kwamba Tz ina matajiri wengi wa dollar millionare basi tungeona Tanzania ikiwa juu kwa hesabu za total wealth ukihesabu wakaazi wote.. Simple logic.
View attachment 1379087
Kwahivyo usishtuke ukiskia Knight Frank wakisema wamegundua walikosea na wakarekebisha dollar millionnairs wamefika zaidi ya 12,000 in 2019
Wapo kwenye "Denial stage", watazoea muda si mrefu, tuwape muda wa kusikilizia machungu kwanzaHakuna cha analysis hapo, yaani dataset yenyewe haizidi hata 10 rows unahangaika kupoteza mda. BBC, the Citizen na Knight Frank wote wameshatueleza ukweli, hakuna mjadala tena.
Waambie hao ndugu zako wawili wanajijua wapunguze uongo hapa jamvini, tunawaona sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejidharirisha.tatizo lenu hamsomi vitu vizuri, yaani ata magufuli akikohoa saaahv mtakuja kuanzisha mada uku
Unafananisha reports za two different sources. Fananisha reports za same source.Nimekuuliza hivyo manake hio ripoti iko na tatizo kwa data ya Kenya..... Hao jamaa lazima wamekosea kati ya ripoti ya 2019 na 2020
Kwa 2019 wealth report , Data ya Tanzania inaonyeshe >1m dollar millionaires ni
Tz usd dollar millionaires ($1m) 2019 wealth report
5,700 - 2013
6,216 - 2017
6,429 - 2018
7,616 - 2023 -projection
Tz usd dollar millionaires(>$1m) 2020 wealth report
3,000 - 2014
5,118 - 2018
5,553 - 2019
8,532 - 2024- projection
--------------
Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2019 wealth report
8,400 -2013
9,176 -2017
9,482 -2018
11,584 -2023 - projection
Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2020 wealth report
800 - 2014
3,399 - 2018
2,900 - 2019
3,309 - 2024
----------------------------------------------------------------------------------
Hebu sasa tupange hizo data za 2019 report na 2020 report zifwatane ki mwaka
TZ Full data consecutive years base on the report
5,700 - 2013
3,000 - 2014
6,216 - 2017
5,118 - 2018
6,429 - 2018
5,553 - 2019
7,616 - 2023
8,532 - 2024
Kenya Full data consecutive years base on the report
8,400 -2013
800 - 2014
9,176 -2017
3,399 - 2018
9,482 -2018
2,900 - 2019
11,584 -2023
3,309 - 2024
Ukiangalia hia data ya Tanzania angalau iko consistent , Lakini ukiangalia hio data ya Kenya ripoti ya 2019 na ya 2020 ni mbingu na nchi e.g 2013 Kenya iko na 8,400 dollar millionaires alafu mwaka mmoja baadae 2014 tumepoteza dollar millionare karibia 8,000!!!!! alafu 2017 wanaongezeka hadi kufika 9,176 alafu ikifika 2019 wanapungua wote hadi 2,900!!!! Hii haiwezekani hapa wamekosea data set moja kati ya 2019, na 2020...
Kenya 2019
View attachment 1378829
Kenya adds 300 dollar millionaires in 2018
Umejidharirisha.
Lakini ni vizuri mtu unapojjitoa wazi kuonyesha uwezo ulionao ili watu wakujue kwa sababu hawatapoteza muda wao tena nawe.
Wapo kwenye "Denial stage", watazoea muda si mrefu, tuwape muda wa kusikilizia machungu kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheheheheeee hii[emoji116][emoji116] report vp uliipitia? Na unaonaje maoni yako.Kila siku kukitoka habari yoyote inayotaja ripoti flani, mimi hua nasoma hio habari na analysis ya alieandika hio habari, kisha nikimaliza natafuta hio ripoti original na kuichambua mwenyewe kiundani hadi nielewe. Kwahivyo hii si siku ya kwanza kukagua ripoti...
Hata kuna habari zengine hua zinaisifu Kenya alafu ukitafuta original report na kujisomea mwenywe unagundua mwanahabari hakufaa kusherehekea ama hata alikosa ku interpret data vizuri....
Nimekuuliza hivyo manake hio ripoti iko na tatizo kwa data ya Kenya..... Hao jamaa lazima wamekosea kati ya ripoti ya 2019 na 2020
Kwa 2019 wealth report , Data ya Tanzania inaonyeshe >1m dollar millionaires ni
Tz usd dollar millionaires ($1m) 2019 wealth report
5,700 - 2013
6,216 - 2017
6,429 - 2018
7,616 - 2023 -projection
Tz usd dollar millionaires(>$1m) 2020 wealth report
3,000 - 2014
5,118 - 2018
5,553 - 2019
8,532 - 2024- projection
--------------
Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2019 wealth report
8,400 -2013
9,176 -2017
9,482 -2018
11,584 -2023 - projection
Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2020 wealth report
800 - 2014
3,399 - 2018
2,900 - 2019
3,309 - 2024
----------------------------------------------------------------------------------
Hebu sasa tupange hizo data za 2019 report na 2020 report zifwatane ki mwaka
TZ Full data consecutive years base on the report
5,700 - 2013
3,000 - 2014
6,216 - 2017
5,118 - 2018
6,429 - 2018
5,553 - 2019
7,616 - 2023
8,532 - 2024
Kenya Full data consecutive years base on the report
8,400 -2013
800 - 2014
9,176 -2017
3,399 - 2018
9,482 -2018
2,900 - 2019
11,584 -2023
3,309 - 2024
Ukiangalia hia data ya Tanzania angalau iko consistent , Lakini ukiangalia hio data ya Kenya ripoti ya 2019 na ya 2020 ni mbingu na nchi e.g 2013 Kenya iko na 8,400 dollar millionaires alafu mwaka mmoja baadae 2014 tumepoteza dollar millionare karibia 8,000!!!!! alafu 2017 wanaongezeka hadi kufika 9,176 alafu ikifika 2019 wanapungua wote hadi 2,900!!!! Hii haiwezekani hapa wamekosea data set moja kati ya 2019, na 2020...
Kenya 2019
View attachment 1378829
Kenya adds 300 dollar millionaires in 2018
Umepewa facts umebakia kujichekesha tu..nadhan imekuingia lkn unajipa matumaini tuHahahaha, leo ndio unaingia kwa undani kukagua ripoti zao na kutafuta makosa sio?, hadi hapo itakapotoka ripoti tofauti na hii, ila kwa sasa hivi Tanzania imeipita Kenya kwa idadi ya matajiri. Hahahaha, hahahaha. Tunajua mnaumia sana kwasababu ninyi ni watu wa kujikweza na kujipiga kifua sana
Sent using Jamii Forums mobile app