Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

sawasawa
lakini sheria yeyote inayofungama na imani au mila inahusisha miungu au Mungu, na kila iman ina Mungu au
Zote zinakuwa accommodated kwenye sharia.

Sasa hivi Tanzania tunazo zote, common lawa, canon law, sharia, na sheria za kitamafuni na kimila, kidogo kidogo ndiyo maana kuna mapungufu makubwa, na zinazidi kutudumisha kimaendeleo na kiuchumi.
 
Tuwe kama somalia,chadi, Mauritania,Oman, bila mafuta nchi zote za kiarabu zingekuwa maskini sana

Punguza ujinga

USSR

Kumbuka, hapa hatuongelei nchi, tunaongelea sharia ambayo ni mwarubaini wa matatizo yetu tuliyonayo.


Ujitaka tuongelee nchi funguwa uzi tutakuja kukujibu.

Ngoja niihamishe post yako nikakujibu kwenye uzi wake.
 
Hakuna tatizo kujadili kwa kina lililo jema kwa nchi yetu, kama sharia itatufaa na ndiyo itayotuondolea ufisadi na maadili mabovu kwanini tusiifate?
Umeambiwa utuletee mifano ya nchi zinazofuata katiba ya sharia na jinsi zilivyofanikiwa, haujaleta hata moja. Tuoneshe tushawishike kukuunga mkono.
 
Mbona Saudi Arabia wanalazimisha kuabudu?
Nionyeshe kwenye Agano Jipya sehemu inayolazimisha kuabudu, usiongee maneno matupu.
Mi na evidence za kutosha kuwa Wakristo wanateswa huko Uarabuni kwenye nchi zilizoidhinisha Sharia kuwa sheria za nchi husika. Kusoma Biblia mpaka ujifiche kwnye handaki au nyumbani, si uminywaji wa haki za binadamu kuhusu ibada?
Kwenye agano la kale mungu alikosea.
 
Labda WAnawake WA Iran wapate kwanza ndo ntaami i
Hapo sasa unachanganya mada, haiongelewi nchi hapa. Hapa tunaongelea sharia.

Au unaupenda ufisadi unaoendelea Tanzania miaka nenda miaka rudi?
 
Hakuna tatizo kujadili kwa kina lililo jema kwa nchi yetu, kama sharia itatufaa na ndiyo itayotuondolea ufisadi na maadili mabovu kwanini tusiifate?

..ungetoa mifano michache toka Sharia ambayo unadhani itatufaa ktk Katiba Mpya.
 
Sitaki hapa kuongelea au kujifananisha na nchi fulani, tutazame matatizo yetu tuliyonayo na tuone sharia itasaidia au haisaidii.
Khaaa! Wewe unatuletea mawazo ya kusadikika ambayo hauna hata uhakika kama yaliwahi kufanikiwa mahali popote ili tuyajaribu?

Hapa hauambiwi kulinganisha na nchi, bali tutajie mfano wa nchi iliyowahi kufanikiwa kwa namna yoyote ya matatizo yao ili walau tuanzie hapo.

Matatizo ya wanadamu karibu dunia nzima yanafanana, tofauti ni njia za kuyaendea/ kuyatatua.
 
Naam psk
Ukifanya kosa la hukumu yake ukatwe shingo ukatwe shingo tu.

Mbona hivi sasa kuna ukatili zaidi ya kuchinjwa, tunaona watu wanahukumiwankunyongwa hadi wafe, wengine tunaona wanavishwa matairi wanapigwa moto na hakuna anaehukumiwa.
Sharia itayaondoa yote hayo.

adhabu ya kunyongwa ipo lakini viongozi hawaitekelezi na wenye dunia wanataka ifutwe,hao wanaochoma moto wanafanya makosa wanajichukulia sheria mkononi kama wakimakatwa watashitakiwa kwa kosa la mauaji.

Sharia ibakizeni huko huko kwenu uarabuni.
 
Kwa hiyo katiba hii ya sasa ya Tanzania inayochota sheria nyingi za kanisa zilizofundishwa pia ktk vyuo vikuu vya elimu ya juu kutoa wanasheria, mahakimu, majaji, wana psycholojia n.k imefeli nchini Tanzania.

Je kufeli kwake ni kutokana sisi kuchukua imani, mafundisho na falsafa mageni yaliyokuja kwa merikebu hivyo ni bora sasa kujaribu yale yaliyofika kwa majahazi au tuamue kuenzi mila tamaduni na elimu za busara za kiAfrika ambazo tumezipuuza na kuzitupa kama siyo kuzizika kabisa ?

Wachambuzi wa sheria za kisekula wanasema katiba na sheria nyingi za nchi mbalimbali zimechota na kukopa sheria za kanisa na kuziweka ndani ya katiba zao.

Hili si jambo geni kwani kanisa kama taasisi kongwe na kubwa ililazimu kuwa na sheria, kanuni na taratibu ili liweze kujiongoza kama taasisi na pia waumini wake .

Ilipokuja mataifa kuundwa wafalme na washauri wao walibaini umuhimu wa taifa au nchi kuwa na utaratibu wa jinsi ya kujiendesha na hivyo watu makini waliokuwa washauri wa wafalme au marais waliamua na kugundua kanisa tayari kwa karne nyingi walikuwa mbele kwa kujiundia na utaratibu wa kujiendesha na kutoa hukumu n.k n.k kuhusu masuala mbalimbali ...

Pepa ya mtanziko baina ya sheria za kidini na zile za ki-secular umefanyiwa utafiti mkubwa na wanazuoni wa University of Chicago nchini Marekani

University of Chicago
https://chicagounbound.uchicago.edu › ...PDF
Conflicts between Religious and Secular Law

by RH Helmholz · Cited by 16 — The canon law claimed the right to decide all such disputes. So did the courts of the King. The common law claimed...
Mpaka sasa hizo sheria ndiyi zimetudumaza.

Huko USA na Uingereza wameanza kuongelea sharia na kuna sehemu kwa uchache wake sharia imeanza kutumika.

 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tysiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
upo sawa FaizaFoxy? 🙂🙂🙂
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tysiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Naunga mkono hoja hakuna sheria bora kama sheria ya kiislam, serikali ikihukumu according to Islam hakuna maovu ambayo yatatendeka.
Mfano; adhabu ya mlevi ni viboko arobaini (40).
Mwizi akatwe kiganja cha mkono.
 
Mbona Saudi Arabia wanalazimisha kuabudu?
Nionyeshe kwenye Agano Jipya sehemu inayolazimisha kuabudu, usiongee maneno matupu.
Mi na evidence za kutosha kuwa Wakristo wanateswa huko Uarabuni kwenye nchi zilizoidhinisha Sharia kuwa sheria za nchi husika. Kusoma Biblia mpaka ujifiche kwnye handaki au nyumbani, si uminywaji wa haki za binadamu kuhusu ibada?
Saudi Arabia hawana unafiki unapoomba viza kuna sheria zao uzijuwe moja ukristo Uwe nao mwenyewe tu na sio uwende na biblia yako kueneza ukristo.
Pili hiyo Marekani na Ulaya Unafikiri kuna uhuru Huo unaoufikiria wewe ? Sahau.
Ulaya mpaka Quran zinachomwa moto , jee uliisikia kitabu chochote cha dini kuchomwa moto Saudi Arabia?
 
upo sawa FaizaFoxy? 🙂🙂🙂
Nipo sawa kabisa, tena sana.

Jiulize, ikiwa waliotuletea hizi sheria zao zinazoitwa "common law" hivi sasa wanajadili na wameanza kutumia sharia, kwanini sisi tusizitumie kutatua matatizo yetu? Jisomee 👇🏾

 
Nipo sawa kabisa, tena sana.

Jiulize, ikiwa waliotuletea hizi sheria zao zinazoitwa "common law" hivi sasa wanajadili na wameanza kutumia sharia, kwanini sisi tusizitumie kutatua matatizo yetu? Jisomee 👇🏾

mambo ya Sharia wacha ndani ya kuta nne za Masjid! hii nchi ina watu wa dini tofauti!
 
Unaweza kuwa sahihi. Lakini ingependeza kama FaizaFoxy angetoa mifano ya nchi zenye katiba inayozingatia misingi ya sharia lakini ameacha wachangiaji waelee tu. Mifano itasaidia sana kupanua mawazo.
Hapa Wana kwepa kupajibu wanapita kama hawapaoni.
 
Back
Top Bottom