Tanzania na Equinor / Shell yasaini mradi wa thamani dola bilioni 30

Tanzania na Equinor / Shell yasaini mradi wa thamani dola bilioni 30

EnHeee, nimeliandika hili sasa hivi hapo juu.
Ni kama laana inatuandama vile.
Kwa jinsi hii tunayokwenda nayo, sijui kama kutatokea wakati nasi tukawa watu wa kusema tuna uwezo wa kutengeneza chochote!
Worst wana peleka watu Aberdeen University kwa zaidi ya miaka 10 chuo chenye kila aina ya degree ya hayo maswala you name it. Na kuna sponsored degrees za Shell inasomesha watu kibao kila mwaka kwa hela zao.

Mpaka leo hatuna tu hao wataalamu.

Usiku mwema.
 
Tanzania imesaini makubaliano ya kikazi na kampuni ya Norway iitwayo Equinor sambamba na kampuni ya Kijerumani Shell na hivyo kupelekea kuanzishwa kwa mradi wa ujenzi wa kusafirisha gesi asilia ambao unakadiriwa kugharimu dola bilioni 30.

Mradi huo uliotangazwa Jumamosi unakadiriwa kwamba uwekezaji wote unaohitajika kufanywa utakamilika 2025, na huduma ya kituo cha gesi asilia kusini mwa pwani ya Lindi unakadiriwa kuanza kutolewa mnamo 2029-2030.

Jambo hilo linaifanya Tanzania kupiga hatua moja mbele katika juhudi zake za kuanza kusafirisha gesi yake nje ya mwambao zake, zenye ujazo wa futi milioni 57 ( ujazo wa mita bilioni 1,630)
 
Umemlipa mshauri mwelekezi $2 million, halafu kama mtaalamu anaacha kukwambia aspects muhimu za upande wako kwenye kutengeneza framework ya HGA unayoenda ku sign; yeye amejikita katika masuala ya kugawana faida na kutatua mizozo. Issues zenye faida kwa mwekezaji.

Anaacha issue ambazo kwenye mradi mambo yakienda ndivyo sivyo mwekezaji inabidi agharamie kama; mazingira, au kufadhili miradi ya jamii husika. Hayo majukumu unajipa wewe kuyasimamia badala ya kuwa sehemu ya mkataba.

Halafu unajisifu, hiyo HGA as yet ni kwa manufaa yao sio ya jamii inayoizunguka wala kulinda mazingira. Na hakuna sector inayochafua mazingira kama oil and gas.

Crude ya baharini inakuja na maji ambayo inabidi yachujwe; unayapeleka wapi mziki wake sio mdogo na ndio kigezo kikubwa cha kuharibu biodiversity udhani kama hilo swala linahitaji kuwa kwenye mkataba na kuwapa wao hizo liability na wala mshauri uliomlipa akwambii umuhimu wake; bomba likipasuka pia kuna uchafuzi mwingine utaki kumpa mwekezaji gharama hizo kwa hela zake.

Only god intervention will save this continent.
Wewe uko upande wa Negative tuu!
Hivi sisi ni wa Mwanzo duniani kuchimba Gas?
Watu wengine bana kujitia kujua kila kitu, wakati erikali ina watalamu bobezi najopo la washauri lawataalamu wazalendo na kutoka nje, Hivi tunakosaje kuto kuwa na Imani na serikali yetu ?
Miminadhani ni Hatua njema, Mapungufu yakijitokeza yata tatuliwa accordingly na siyo kupiga siasa kwenye uchumi.
 
Nina imani kuwa wazungu wamesaini mkataba huu huku wakiwa na 'pressure' kubwa ya kutaka kumkomoa Putin na kutaka kuiweka Afrika mikononi mwao dhidi ya mahasimu wao!
KWANINI, KWA MAZINGIRA HAYA, TUSIWE 'OPTIMISTIC' NA KUTARAJIA, HATIMAYE, KUFIKA NCHI YA MAZIWA NA ASALI? (SIO KULAMBISHWA TENA! 😅)
 
Huu sasa ndio mradi wa kweli wa maendeleo ya kweli wenye impact ya kweli kwenye uchumi wa nchi yetu kwasababu mradi huu ni mradi wa FDI, doleri bilioni 30 sawa na Trillion 70 za madafu, zinaletea kutoka nje zinakuwa injected ndani ya nchi yetu!, hii sio kitu ndogo!.

Japo bado hatujajua contents za huo mkataba, but definitely ule wasiwasi wangu kuhusu Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe! unakwenda kutokea!. Kuna kitu nilikisema hapo kuwa Tanzania tusipokuwa makini, kinakwenda kutokea, kwa ya juu juu niliyo sikia, nilichohofia kisitokee, ndicho kinakwenda kutokea!.

All and all, tumefika mahali lazima tukubali matokeo...

Pia Waziri wa Nishati, Mhe January Makamba, hili amelizungumza vizuri hapa


P

Hapa tukubali Jiwe alituchelewesha sana. Hii signing ilipaswa kuwa imefanyika tangu 2015, lakini uzalendo uchwara ukaingizwa kuturudisha nyuma. Right now na hii vita ya Ukraine tungekuwa tunavuna dola.
 
Hapa tukubali Jiwe alituchelewesha sana. Hii signing ilipaswa kuwa imefanyika tangu 2015, lakini uzalendo uchwara ukaingizwa kuturudisha nyuma. Right now na hii vita ya Ukraine tungekuwa tunavuna dola.
Kwenye hii gesi ya sasa unavuna dola ngapi? watu tumebakia kushabikia matrilioni ya pesa bia kujua contents za contract. Unaweza kujikuta umemshikia mtu anakamua ng'ombe wako maziwa, halafu akabeba maziwa yote wewe ukabaki umeambulia kale ka harufu ka maziwa.
 
Kwenye hii gesi ya sasa unavuna dola ngapi? watu tumebakia kushabikia matrilioni ya pesa bia kujua contents za contract. Unaweza kujikuta umemshikia mtu anakamua ng'ombe wako maziwa, halafu akabeba maziwa yote wewe ukabaki umeambulia kale ka harufu ka maziwa.
What is the alternative? Maana tunalalamika sana, nini njia mbadala? Ni rahisi kusema usichotaka, sema unachotaka tukione halafu tukupe mrejesho.
 
Wewe uko upande wa Negative tuu!
Hivi sisi ni wa Mwanzo duniani kuchimba Gas?
Watu wengine bana kujitia kujua kila kitu, wakati erikali ina watalamu bobezi najopo la washauri lawataalamu wazalendo na kutoka nje, Hivi tunakosaje kuto kuwa na Imani na serikali yetu ?
Miminadhani ni Hatua njema, Mapungufu yakijitokeza yata tatuliwa accordingly na siyo kupiga siasa kwenye uchumi.

Hiyo ni adhabu utakayopewa nchi ambayo inasheria ya mazingira na sehemu ya mkataba wako.


Na hayo ni madhara ya nchi maskini uchafuzi huo huo ukifanyika africa serikali zetu aziwezi kufanya kitu kwa sababu sio sehemu ya mkataba; mpaka tukawashitaki kwao ambapo wanabwana na sheria za corporate social responsibility.

Halafu wewe unaona ni sawa kuacha kuingiza hayo mambo mapema.
 
Largest LNG capacity plant ni ‘Sabine Pass’ iliyopo Louisiana US, in uwezo wa kuzalisha 55.4 million metric tons per day na gharama ya ujenzi ni $5.6 billion.

Inayofuata ni ‘Ras Laffa’ Qatar inazalisha 41.1 million metric tons in a day; na gharama za ujenzi ni $2.3 billion.

Hiyo plant ya Mtawara inatarajiwa kuwa na capacity ya kuzalisha million metric tons kiasi gani kwa siku at peak level.

Ndio kuna gharama zingine kubwa za kutandaza bomba na probably kujenga offshore rigs kama tatu (then rigs sio lazima kwa technology ya leo) ndio gharama za mradi zinafika $30 billion kweli.

Kabla ya kushabikia haya mambo embu tujifunze nini tunachogawa. Hiyo $30 billion wanayotoa tunawalipa kwanza na interest ya mkopo; jumlisha mwekezaji ana share ya faida baada kuchukua hela za investment; is the cost justifiable.

It’s not as simple as you think; kushabikia huu upuuzi bila ya kuelewa what exactly you are getting yourself into.
Ndio maana nikamwambia Pascal Mayalla hujui chochote kuhusu oil and gas. Sijataka kuongea haya. Hata mozambique wa kwao ni $20b. Kwetu ni $30b. How
 
Largest LNG capacity plant ni ‘Sabine Pass’ iliyopo Louisiana US, in uwezo wa kuzalisha 55.4 million metric tons per day na gharama ya ujenzi ni $5.6 billion.

Inayofuata ni ‘Ras Laffa’ Qatar inazalisha 41.1 million metric tons in a day; na gharama za ujenzi ni $2.3 billion.

Hiyo plant ya Mtawara inatarajiwa kuwa na capacity ya kuzalisha million metric tons kiasi gani kwa siku at peak level.

Ndio kuna gharama zingine kubwa za kutandaza bomba na probably kujenga offshore rigs kama tatu (then rigs sio lazima kwa technology ya leo) ndio gharama za mradi zinafika $30 billion kweli.

Kabla ya kushabikia haya mambo embu tujifunze nini tunachogawa. Hiyo $30 billion wanayotoa tunawalipa kwanza na interest ya mkopo; jumlisha mwekezaji ana share ya faida baada kuchukua hela za investment; is the cost justifiable.

It’s not as simple as you think; kushabikia huu upuuzi bila ya kuelewa what exactly you are getting yourself into.
Sio Mtwara wewe matako! Lindi,
 
Wewe Dogo french , japo siujui umri wako, lakini wakati unajiunga jf ile 2017, sisi tuko humu 10 years kabla yako, hivyo huwezi kujua tulisemaga nini kuhusu gesi. Naomba kukuuliza and be honest, mwaka 2012 wakati tulijadili gesi humu, Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
we dogo ulikuwa na umri gani?
P
Issue ni umri na kujadili au knowledge mkuu. Soma costs za LNG duniani, kisha angalia analysis ya TzLNG by NRGI alafu ndio uje hapa
 
Tusichotaka ni kubaki na harufu ya maziwa wakati maziwa yote yakiwa yamebebwa........nafikiri kama wewe ni critical thinker utakuwa umenielewa vilivyo.
Narudia tena, ni rahisi kusema usichotaka kuliko kusema unachotaka.
 
Mradi mzuri..ila uliopo unawasaidia vipi watanganyika?

Pia kuhusu kubadilisha mikoa ya kusini tutadanganyana tu kwa hilo..mana nani asiyejua mikoa yakusina licha ya utajiri huo wa gasi na korosho imebaki kuwa shamba la bibi.

Pia huo mkataba uwekwe wazi watanzania tuuone acheni mikataba ya siri...kwani mnaficha nini?

#MaendeleoHayanaChama
JPM alikataza mikataba isiwekwe wazi Wala kupeleka bungeni kwa kujitoa kwenye Open Governance Initiative kwa madai kwamba ni "Siri nyeti za serikali, ikiwekwa wazi itahujumiwa na mabeberu".

Ila kwakua waTanzania ndio hatujui kuhoji tukapiga makofi, sasa hiyo imeshaset precedence wote watafanya Siri!!
 
Video inayoonesha jinsi gesi asilia inavyochimbwa katika bahari kuu, kuchachatwa, kutayarishwa kuwa bidhaa kamili na kisha kusafirishwa kwa meli maalum kupelekwa ktk masoko ya dunia :

Liquified Natural Gas: From Treatment To Transport | ExxonMobil



Learn how liquified natural gas (LNG) can transform the energy industry, opening up the door to renewable energy production and distribution. Natural gas will be the world's fastest-growing energy source by 2040 thanks to its versatility, abundance and clean-burning qualities. There are an immense number of opportunities to cultivate, produce, transport and distribute this impactful resource to communities around the world, providing much-needed energy to those that need it. Natural gas has the potential to change how we think about power and the value it provides on a global scale. Watch how LNG can power urban communities by providing heat, electricity and the tools needed to build essential infrastructure.

00:12 What is natural gas?
00:22 Where can you find natural gas resources?
00:37 Where does the natural gas value chain start?
00:55 How do you treat and process natural gas?
01:30 How do you transport liquid natural gas?
01:55 How do you liquify natural gas?
02:18 How do you store natural gas?
02:48 How do you ship liquid natural gas?
03:32 How do you distribute liquid natural gas?

Discover why the liquified natural gas value chain is essential to so many people across the globe.

Source : ExxonMobil
 
Worst wana peleka watu Aberdeen University kwa zaidi ya miaka 10 chuo chenye kila aina ya degree ya hayo maswala you name it. Na kuna sponsored degrees za Shell inasomesha watu kibao kila mwaka kwa hela zao.

Mpaka leo hatuna tu hao wataalamu.

Usiku mwema.
Mbona TPDC wanao wataalamu na kuna interview ya DG wao akieleza shughuli za kuvumbua mafuta ambazo zimetumia wataalamu wa kiTanzania.

Tunakosa tu maybe vifaa na experience ila wataalamu mbona wapo wengi tu. Sema wengi wanakua poached na mataifa makubwa sababu ya maslahi makubwa kuliko Tanzania. Embu tuweni optimistic kidogo sio Kila kitu kulalamika tutafika lini?
 
Mbona TPDC wanao wataalamu na kuna interview ya DG wao akieleza shughuli za kuvumbua mafuta ambazo zimetumia wataalamu wa kiTanzania.

Tunakosa tu maybe vifaa na experience ila wataalamu mbona wapo wengi tu. Sema wengi wanakua poached na mataifa makubwa sababu ya maslahi makubwa kuliko Tanzania. Embu tuweni optimistic kidogo sio Kila kitu kulalamika tutafika lini?


Sasa kwanini tunawatumia wataalamu wa nje kwenye majadiliano; halafu wanaacha kuweka key issue katika framework za HGA.
 
Back
Top Bottom