Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Worst wana peleka watu Aberdeen University kwa zaidi ya miaka 10 chuo chenye kila aina ya degree ya hayo maswala you name it. Na kuna sponsored degrees za Shell inasomesha watu kibao kila mwaka kwa hela zao.EnHeee, nimeliandika hili sasa hivi hapo juu.
Ni kama laana inatuandama vile.
Kwa jinsi hii tunayokwenda nayo, sijui kama kutatokea wakati nasi tukawa watu wa kusema tuna uwezo wa kutengeneza chochote!
Wewe Dogo french , japo siujui umri wako, lakini wakati unajiunga jf ile 2017, sisi tuko humu 10 years kabla yako, hivyo huwezi kujua tulisemaga nini kuhusu gesi. Naomba kukuuliza and be honest, mwaka 2012 wakati tulijadili gesi humu, Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!Hujui chochote kuhusu miradi ya mafuta na gesi.
Wewe uko upande wa Negative tuu!Umemlipa mshauri mwelekezi $2 million, halafu kama mtaalamu anaacha kukwambia aspects muhimu za upande wako kwenye kutengeneza framework ya HGA unayoenda ku sign; yeye amejikita katika masuala ya kugawana faida na kutatua mizozo. Issues zenye faida kwa mwekezaji.
Anaacha issue ambazo kwenye mradi mambo yakienda ndivyo sivyo mwekezaji inabidi agharamie kama; mazingira, au kufadhili miradi ya jamii husika. Hayo majukumu unajipa wewe kuyasimamia badala ya kuwa sehemu ya mkataba.
Halafu unajisifu, hiyo HGA as yet ni kwa manufaa yao sio ya jamii inayoizunguka wala kulinda mazingira. Na hakuna sector inayochafua mazingira kama oil and gas.
Crude ya baharini inakuja na maji ambayo inabidi yachujwe; unayapeleka wapi mziki wake sio mdogo na ndio kigezo kikubwa cha kuharibu biodiversity udhani kama hilo swala linahitaji kuwa kwenye mkataba na kuwapa wao hizo liability na wala mshauri uliomlipa akwambii umuhimu wake; bomba likipasuka pia kuna uchafuzi mwingine utaki kumpa mwekezaji gharama hizo kwa hela zake.
Only god intervention will save this continent.
Hapa tukubali Jiwe alituchelewesha sana. Hii signing ilipaswa kuwa imefanyika tangu 2015, lakini uzalendo uchwara ukaingizwa kuturudisha nyuma. Right now na hii vita ya Ukraine tungekuwa tunavuna dola.Huu sasa ndio mradi wa kweli wa maendeleo ya kweli wenye impact ya kweli kwenye uchumi wa nchi yetu kwasababu mradi huu ni mradi wa FDI, doleri bilioni 30 sawa na Trillion 70 za madafu, zinaletea kutoka nje zinakuwa injected ndani ya nchi yetu!, hii sio kitu ndogo!.
Japo bado hatujajua contents za huo mkataba, but definitely ule wasiwasi wangu kuhusu Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe! unakwenda kutokea!. Kuna kitu nilikisema hapo kuwa Tanzania tusipokuwa makini, kinakwenda kutokea, kwa ya juu juu niliyo sikia, nilichohofia kisitokee, ndicho kinakwenda kutokea!.
All and all, tumefika mahali lazima tukubali matokeo...
Pia Waziri wa Nishati, Mhe January Makamba, hili amelizungumza vizuri hapa
P
Kwenye hii gesi ya sasa unavuna dola ngapi? watu tumebakia kushabikia matrilioni ya pesa bia kujua contents za contract. Unaweza kujikuta umemshikia mtu anakamua ng'ombe wako maziwa, halafu akabeba maziwa yote wewe ukabaki umeambulia kale ka harufu ka maziwa.Hapa tukubali Jiwe alituchelewesha sana. Hii signing ilipaswa kuwa imefanyika tangu 2015, lakini uzalendo uchwara ukaingizwa kuturudisha nyuma. Right now na hii vita ya Ukraine tungekuwa tunavuna dola.
What is the alternative? Maana tunalalamika sana, nini njia mbadala? Ni rahisi kusema usichotaka, sema unachotaka tukione halafu tukupe mrejesho.Kwenye hii gesi ya sasa unavuna dola ngapi? watu tumebakia kushabikia matrilioni ya pesa bia kujua contents za contract. Unaweza kujikuta umemshikia mtu anakamua ng'ombe wako maziwa, halafu akabeba maziwa yote wewe ukabaki umeambulia kale ka harufu ka maziwa.
Tusichotaka ni kubaki na harufu ya maziwa wakati maziwa yote yakiwa yamebebwa........nafikiri kama wewe ni critical thinker utakuwa umenielewa vilivyo.What is the alternative? Maana tunalalamika sana, nini njia mbadala? Ni rahisi kusema usichotaka, sema unachotaka tukione halafu tukupe mrejesho.
Wewe uko upande wa Negative tuu!
Hivi sisi ni wa Mwanzo duniani kuchimba Gas?
Watu wengine bana kujitia kujua kila kitu, wakati erikali ina watalamu bobezi najopo la washauri lawataalamu wazalendo na kutoka nje, Hivi tunakosaje kuto kuwa na Imani na serikali yetu ?
Miminadhani ni Hatua njema, Mapungufu yakijitokeza yata tatuliwa accordingly na siyo kupiga siasa kwenye uchumi.
Ndio maana nikamwambia Pascal Mayalla hujui chochote kuhusu oil and gas. Sijataka kuongea haya. Hata mozambique wa kwao ni $20b. Kwetu ni $30b. HowLargest LNG capacity plant ni ‘Sabine Pass’ iliyopo Louisiana US, in uwezo wa kuzalisha 55.4 million metric tons per day na gharama ya ujenzi ni $5.6 billion.
Inayofuata ni ‘Ras Laffa’ Qatar inazalisha 41.1 million metric tons in a day; na gharama za ujenzi ni $2.3 billion.
Hiyo plant ya Mtawara inatarajiwa kuwa na capacity ya kuzalisha million metric tons kiasi gani kwa siku at peak level.
Ndio kuna gharama zingine kubwa za kutandaza bomba na probably kujenga offshore rigs kama tatu (then rigs sio lazima kwa technology ya leo) ndio gharama za mradi zinafika $30 billion kweli.
Kabla ya kushabikia haya mambo embu tujifunze nini tunachogawa. Hiyo $30 billion wanayotoa tunawalipa kwanza na interest ya mkopo; jumlisha mwekezaji ana share ya faida baada kuchukua hela za investment; is the cost justifiable.
It’s not as simple as you think; kushabikia huu upuuzi bila ya kuelewa what exactly you are getting yourself into.
Sio Mtwara wewe matako! Lindi,Largest LNG capacity plant ni ‘Sabine Pass’ iliyopo Louisiana US, in uwezo wa kuzalisha 55.4 million metric tons per day na gharama ya ujenzi ni $5.6 billion.
Inayofuata ni ‘Ras Laffa’ Qatar inazalisha 41.1 million metric tons in a day; na gharama za ujenzi ni $2.3 billion.
Hiyo plant ya Mtawara inatarajiwa kuwa na capacity ya kuzalisha million metric tons kiasi gani kwa siku at peak level.
Ndio kuna gharama zingine kubwa za kutandaza bomba na probably kujenga offshore rigs kama tatu (then rigs sio lazima kwa technology ya leo) ndio gharama za mradi zinafika $30 billion kweli.
Kabla ya kushabikia haya mambo embu tujifunze nini tunachogawa. Hiyo $30 billion wanayotoa tunawalipa kwanza na interest ya mkopo; jumlisha mwekezaji ana share ya faida baada kuchukua hela za investment; is the cost justifiable.
It’s not as simple as you think; kushabikia huu upuuzi bila ya kuelewa what exactly you are getting yourself into.
Issue ni umri na kujadili au knowledge mkuu. Soma costs za LNG duniani, kisha angalia analysis ya TzLNG by NRGI alafu ndio uje hapaWewe Dogo french , japo siujui umri wako, lakini wakati unajiunga jf ile 2017, sisi tuko humu 10 years kabla yako, hivyo huwezi kujua tulisemaga nini kuhusu gesi. Naomba kukuuliza and be honest, mwaka 2012 wakati tulijadili gesi humu, Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
we dogo ulikuwa na umri gani?
P
Narudia tena, ni rahisi kusema usichotaka kuliko kusema unachotaka.Tusichotaka ni kubaki na harufu ya maziwa wakati maziwa yote yakiwa yamebebwa........nafikiri kama wewe ni critical thinker utakuwa umenielewa vilivyo.
JPM alikataza mikataba isiwekwe wazi Wala kupeleka bungeni kwa kujitoa kwenye Open Governance Initiative kwa madai kwamba ni "Siri nyeti za serikali, ikiwekwa wazi itahujumiwa na mabeberu".Mradi mzuri..ila uliopo unawasaidia vipi watanganyika?
Pia kuhusu kubadilisha mikoa ya kusini tutadanganyana tu kwa hilo..mana nani asiyejua mikoa yakusina licha ya utajiri huo wa gasi na korosho imebaki kuwa shamba la bibi.
Pia huo mkataba uwekwe wazi watanzania tuuone acheni mikataba ya siri...kwani mnaficha nini?
#MaendeleoHayanaChama
Basi nipe robo lita kwenye kila lita moja unayokamua, ya nini kunibakizia harufu tu kwenye vyombo?Narudia tena, ni rahisi kusema usichotaka kuliko kusema unachotaka.
Mbona TPDC wanao wataalamu na kuna interview ya DG wao akieleza shughuli za kuvumbua mafuta ambazo zimetumia wataalamu wa kiTanzania.Worst wana peleka watu Aberdeen University kwa zaidi ya miaka 10 chuo chenye kila aina ya degree ya hayo maswala you name it. Na kuna sponsored degrees za Shell inasomesha watu kibao kila mwaka kwa hela zao.
Mpaka leo hatuna tu hao wataalamu.
Usiku mwema.
Mbona TPDC wanao wataalamu na kuna interview ya DG wao akieleza shughuli za kuvumbua mafuta ambazo zimetumia wataalamu wa kiTanzania.
Tunakosa tu maybe vifaa na experience ila wataalamu mbona wapo wengi tu. Sema wengi wanakua poached na mataifa makubwa sababu ya maslahi makubwa kuliko Tanzania. Embu tuweni optimistic kidogo sio Kila kitu kulalamika tutafika lini?