Tanzania na Equinor / Shell yasaini mradi wa thamani dola bilioni 30

DG wa TPDC kasema tuna wataalamu kwenye eneo la gesi hasa kwenye upstream wapi nimemquote January? In fact yeye kaongelea eneo la sheria that's all so mie nimestick na alichosema Bwana Mataragio maana ndio yupo ground.
Waziri wa nishati vs DG? . Hapa sasa ni kama tutakuwa tunapoteza muda kujadili hili
Huyu DG aliyesema tuna mafuta ya wiki then waziri akatoka hadharani na kumuwambia akanushe hiyo taarifa na DG akakanusha, Leo useme unasikiliza maelezo ya DG na sio waziri. Utani huo
 
Ukisikia maajabu ndio haya sasa Tanzania imekubaliana na EITI(TEITI) tokea 2009, we unaleta story za 2015
Baada ya Tz kuingia EITI hiyo 2009 ni mkataba gani uliwahi kuwekwa wazi?
Hakukuwa na sheria mahususi by then mpaka 2015 in fact regulations zimetungwa 2018 kipindi Cha JPM ila mpka anafariki hakuna mkataba uliopelekwa bungeni kinyume kabisa na sheria hii. Pia ripoti za ukaguzi za TEITI zilipaswa ziwekwe bungeni ila serikali haikuwahi kuziweka wazi kinyume kabisa na sheria Wala regulations za utekelezaji wa sheria hiyo!!
 
Unaona Sasa
Hivi ili kupeleka mkataba bungeni na kuwa wazi Ni lazima uwe umejiunga EITI?
Kenya, South Africa, US ni moja ya nchi ambazo hazipo EITI, je nao mikataba haipo wazi na haipelekwi bungeni?
Vipi kwa mikataba ambayo haihusu natural resources? Mbona nayo haipelekwi bungeni kujadiliwa kwa miaka yote?
Tuliwahi kuingia mikataba mingi kwenye reli, shirika la ndege n.k mbona nayo haikupelekwa bungeni?
Au unafikiri tatizo la mikataba kutopelekwa bungeni ni kwenye issues za natural resources tu?
 
Tusihamishe mjadala, topic inahusu gesi watu wamedai mikataba ya gesi ndio hayo madai yapo chini ya TEITI Act ya 2015. Sasa issue ni kwamba maadam aliyetunga kanuni za sheria hiyo hakuheshimu sheria hiyo then ni makosa kumlaumu mama Samia kutoweka mikataba wazi.

Hoja Iko hapo, hayo ya US na SA hayaingii hapa maana mifumo Yao ya serikali za majimbo ni tofauti na huku ndio maana kuna states zinaruhusu bangi zingine hapana, each state negotiates for itself which is not the case in Tanzania.
 
Nimehamishaje mnadala? Nimekuonyesha kuwa suala la mikataba kuwa wazi na kupelekwa bungeni wala halihusiani na kuwa EITI kwa kuwa hata kwenye mambo mengine ambayo sio ya natural resources bado mikataba haiendi bungeni Wala kuwa wazi
Ikiwa Magufuli hakuheshimu Sheria inapaswa pia mama Samia nae asiheshimu?
Nimekutolea mfano wa Kenya na SA kuwa wao pamona na kutokuwepo EITI lakini bado mikataba yao inaenda bungeni.
 
Mkuu french, naendelea kusisitiza, as long as hakuna yeyote alitupa details za ni nini kilichosainiwa, then hoja za bandiko langu hili, Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe! still stands.
P
 
Kwanza ni $40B sio $30B 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220612-143421.png
    111.4 KB · Views: 3
14 June 2022
Muscat, Oman

Oman's Foreign Minister meets Tanzanian Minister of Energy​

Oman Tuesday 14/June/2022 11:33 AM
By: Times News Service

Picha : waziri wa nishati Mh. January Makamba akizungumza na Mh. Sayyid Badr bin Hamad Al Busaidi waziri wa mambo ya nje wa Oman .

Mazungumzo ya mawaziri hao yaliangazia miradi ya pamoja inayotekelezwa katika sekta ya nishati baina ya nchi hizo mbili


Muscat: The Foreign Minister has met Tanzanian Minister of Energy to review the bilateral relations between the two countries.
According to Oman News Agency (ONA), His Excellency Sayyid Badr bin Hamad Al Busaidi, Minister of Foreign, reviewed during his meeting with H.E. January Makamba, Tanzanian Minister of Energy, the bilateral relations between the two countries and the most important joint projects that the two sides aspire to achieve in the fields of energy and its derivatives.
 
Hilo ndiyo tatizo , wataalamu wapo , Ila tatizo ni uzembevwa serikali on how Ku utilize hao watu , tumeendekeza siasa Tu , utaalamu umetupwa Kule
 
Na hili haswa ndio la muhimu , we need technology transfer apart from monetary benefits , huwezi kujenga uwezo WA nchi kiteknolojia kama hauinvest kwa wasomi WA nchi yako. Na hili linafanyika Kwa agreement Kati ya muwekezaji na serikali , Ile proportionality ya wafanyakazi WA kigeni na wazawa ni muhimu Sana kuzingatiwa . Watu wapate nafasi za kazi humo , tena positions nyeti za teknologia na usimamizi ili wapate ujuzi ambao utalinufaisha taifa hata mradi ukiisha , WaAfrica tubadilike , si watu wetu kuajiriwa kama makuli nk halafu hamna technology transfer , that's dumb
 
The guy was a real bum
 
Acha ujuaji na ubishi WA kipuuz ,
 
Ubepari sio utajiri wa uchumi mkubwa, uchumi mkubwa ni brain
Kuna nchi nyingi tu zina mfumo wa kibepari ila zimezidiwa uchumi na nchi za kijamaa
Zitaje hizo nchi za kijamaa zenye uchumi mkubwa kuliko nchi za kibepari , msiwe mnaandika vitu kama mazwazwa , unajua hata maana ya ubepari na ujamaa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…