Toka maktaba :
25 January 2022
January Makamba : Mkataba Hodhi (HGA) kati ya Serikali na wawekezaji, Shell na Equinox
Alichokisema JANUARY MAKAMBA kuhusu mkataba wa ushauri | Uchakataji gesi asilia TANZANIA
Arusha.Serikali ya Tanzania imesaini Mkataba wa Huduma ya Ushauri Elekezi utakaosaidia kujihakikishia manufaa ya Taifa katika uwekezaji wa Mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia(LNG), mkoani Lindi.
Mkataba huo umesainiwa leo kati ya Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania(TPDC) na Kampuni ya Baker Botts UK LLP ya Uingereza ikiwa ni miezi mitatu imepita baada ya kuanza tena majadiliano ya Mkataba Hodhi(HGA) kati ya Serikali na wawekezaji, Shell na Equinox.
Hii inamaanisha kwamba, kampuni ya Baker Botts imepewa dhamana ya kuhusu maslahi ya Taifa kupitia mradi huo uliokuwa umepoteza matumaini kwa miaka saba mfululizo kutokana na mwenendo hafifu wa majadiliano ya HGA.
Majadiliano ya HGA ndio yanayoweka msingi wa namna pande mbili zitakavyonufaika kupitia mikataba midogo inayohusisha masuala mengi ikiwamo mgawanyo wa mapato, usuruhishi wa mogogoro, matumizi ya ardhi na usafirishaji. Katika tukio hilo jijini Arusha, Waziri wa nishati January Makamba alisema kama ilivyo utaratibu wa kimataifa katika masuala a majadiliano ya miradi mikubwa ya LNG ushauri wa kitaalam Kutoka makampuni yenye uzoefu ni muhimu .
“Mchakato wa manunuzi ya mshauri mwelekezi ulifanyika kwa mujibu wa Sheria na kampuni ya Baker Botts ilifanikiwa kushindwa zabuni ya kazi hiyo,”amesema. Waziri Makamba aliongeza kuwa kutokana na Nia njema ya Serikali katika kuhakikisha masuala ya majadiliano yanamalizika kwa haraka na kwa kuzingatia maslahi mapana ya nchi iliona umuhimu wa kupata mshauri mwelekezi mwenye uzoefu mkubwa katika miradi ya namna hiyo .
Baker Botts Hired by the Tanzania Petroleum Development Corporation to Advise on $30 Billion LNG Project
26 January 2022
Release
LONDON, January 26, 2022 - Baker Botts (UK) L.L.P., a leading international energy, technology and life sciences law firm, confirmed press reports that it has been hired by the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC), the national oil company of Tanzania, as the Transaction Adviser to the Government Negotiation Team and TPDC regarding the development of a liquefied natural gas project.
The project involves development and construction of an onshore LNG plant to process and liquify natural gas from significant offshore natural gas discoveries in Tanzania and to export liquified natural gas to international markets.
The project would involve TPDC and the Government of Tanzania together with a number of international energy companies including Equinor, Shell, ExxonMobil, Pavilion Energy and Ophir Energy.