Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

Tanzania kati ya Wakristo na Waislamu hakuna wakujidai kwamba wao ndiyo wengi kushinda wenzake,wakristo wamekuwa wakitengeneza mazingira ionekane Tanzania ni nchi ya Kikristo, mshindwe.
Watu kama nyie ambao mnajifanya kuwa Muslims ni wengi ndio huwa nawatafuta.haya lete takwimu.
Hivi hata kwa akili ya kawaida kabisa lila mtaa una kanisa ni wapi kila mtaa kuna mskiti?
Mikoa yenye Waislma wengi kuliko Wakristo kwa Tanzania ni 6 katika Mikoa 26 ya Tanzania bara ,Pwani,Tanga,Lindi,Singida, Tabora & Mtwara.
Ukiondoa hiyo Mikoa ni Mkoa upi una Muslims wengi kuliko hiyo?

2.robo y population yote ya Tanzania ipo kanda ya ziwa kwa maana ya Shinyanga,Geita,Mwanza,Kagera,Simiyu na Mara-katika hiyo Mikoa hakuna Mkoa hata mmoja una robo ya waislam katika population ya Mkoa.
 
Umefika Singida?

Achaneni na hizi mada. Hazina mwisho mzuri
 
Kijana,umeanza kuchokonoa mambo ya muungano,umesahau tumebaki na kero 3 tu
 
Nioneshe kwanza mahali nilipoandika waislamu au wakristo ndiyo wengi halafu tuendelee.
 
Waislamu ni wabaguzi na mafundisho ya dini yao yamewapandikiza chuki kwa watu wa imani nyingine., nakumbuka wakati tunasoma chuo walimtenga mwenzao kwa sababu alikaribisha wakristo wakati wa kufturu
 
hivi kwanini munapenda kulazimisha kuonekanwa kuwa wakristo ni wengi kukiko waislamu hap nchini? sasa mbona mukiambiwa tuhisabiwe kwenye sensa munagoma?
 

kwanini munakataa kipengele cha dini kwenye sensa ili tuhakikishe madai yenu?
 
Wafundishwe na kula noah
 
NIMEONA HUMU WAKIRISTO WANALALAMA KUWA WAISLAMU NI WABAGUZI. ILA KIUHALISIA WAKIRISTO NI WABINAFSI NA WABAGUZI KWENYE AJIRA ! WAKIWA WASAHILI NI WAKIRISTO ASILIMIA ZOTE HUWA WANAWEKANA WAO KWA WAO HATA KAMA HAWAKUOMBA WATAPIGIANA SIMU! WAGALATIA KWENYE UBAGUZI NIMEWAVULIA KOFIA ,MNATISHA WAZEE WANGU
 
Usituzingizie sisi atutoagi ajira mfano upo kwa mo na bakhressa angalia wafanyakazi wake ndo uje na hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…