Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

Liseme hapa sio Afghanistan au Saudi Arabia kwamba utakatwa kichwa jombaa
Ndio tatizo kumbe uelewa .

Ni hivi baada ya uhuru wa Tanganyika aliyekuwa kiongozi ambaye ni Nyerere , alifanya mazungumzo na Vatican na uhuru ule wa Tanganyika ulijulikana na kupewa cheo kama uhuru wa kristo ni kwamba waislamu hawakujulikana kabisa kupitia uhuru ule ... Nyerere alitaka kuifanya nchi yote itambulike kama ya kikristo . je, unalijua hilo ?

Enzi za Nyrere nchi hii ilikuwa ikiongozwa na mifumo kristo , unataka kubisha?
 
Inatosha tu kusema maofisi ya serikali yamejaa ubaguzi, ukabila na chuki za kidini, kuweni makini sana ndugu zangu waislamu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ulipo sema tu kagera nimejua akiliyako inashida! Uislamu nenda pwani huko.
 
Basi Tanzania ni nchi ya kiislamu. Umefaidika nini sasa hapo.
Hakuna sehemu nimesema nchi hii ni ya dini fulani.
Nchi hii hakuna takwimu maalum zilizotolewa na taasisi yoyote huru inayotambuliwa na serikali kwamba waumini wa dini fulani ndiyo wengi zaidi,hakuna.
 
Hakuna sehemu nimesema nchi hii ni ya dini fulani.
Nchi hii hakuna takwimu maalum zilizotolewa na taasisi yoyote huru inayotambuliwa na serikali kwamba waumini wa dini fulani ndiyo wengi zaidi,hakuna.
Hakuna takwimu maalum ndo nini

Simu unayo takwimu zipo mkede kede maamuzi ni yako😁😁😁.
 
Hapi ndio utaelewa uislamu ni dini ya shetani na ukristo ni dini ya Mungu upendo na amani.
 
Hapi ndio utaelewa uislamu ni dini ya shetani na ukristo ni dini ya Mungu upendo na amani.
 
Hakuna takwimu maalum ndo nini

Simu unayo takwimu zipo mkede kede maamuzi ni yako😁😁😁.
Mi najua takwimu kama hizo tungezipata kupitia sensa lakini dodoso la dini ya mtu liliondolewa miaka mingi iliyopita hata baba yenu mwenye heri Mtakatifu mtarajiwa uwa anaeleza mara kwa mara kwenye hotuba zake alizowahi kuzitoa wakati wa uhai wake.
Sasa wewe mwenzetu labda hizo takwimu zako unazitoa kanisani!
 
Na sababu kubwa ni kwamba Uislam sio dini tu, upande mwengine ni mfumo wa kisiasa !! Nchi ikishajaa waislam basi uislam unaingia kwenye sheria za nchi zifatwe hata kwa wasio waislam, idadi ya waislam huongezeka kwa kasi ya ajabu sababu imani zingine hupitia manyanyaso makali, vitisho mpaka mauaji (rejea Nchi nyingi za kiislam) hivyo hulazimika kubadili dini.

Nchi kama Ghana, Tanzania, Kenya, Zambia, Rwanda, Uganda, Zaimbabwe, Botswana, Namibia, n.k. zinasifika kwa amani na ukiangalia kitu kinachochangia zaidi ni kwamba nchi hizi ni secular counries zina sheria za usawa kwa dini zote. na hata ukienda nchi zenye vita ila kuna wakristo wengi kama Congo, bado kuna uhuru wa imani, waislam hawanyanyaswi.

Nchi ya Senegal imejaa waislam ila kuna amani, unajua kwanini ? asilimia 97% ni wasilam lakini wamekataa uislam kuingia kwenye siasa za nchi, hakuna ukandamizaji wa dini zingine, wakristo wanaabudu kwa uhuru, waislam wanasherekea nao christmas, wakristo wana uhuru wa kujenga makanisa, waislam wana uhuru wa kubadili dini kuwa wakristo, kwenye Ramadhan wakristo wanaweza kula hadharani, ni kawaida wakristo wanapewa vyeo, n.k. Nchi inaongozwa kwa sheria zinazojali imani tofauti.

Ukienda nchi kama Algeria, Misri, Nigeria, Somalia, Sudan, Eritrea, Libya, n.k. unakuta kuna waislam wengi tayari uislam unakuwa umeiingizwa kwenye mfumo wa siasa, kunakuwa hakuna uvumilvu wa imani zingine, nchi hizi wakristo hubaguliwa, hunyanyaswa, kuuliwa, n.k.

Hata hapo kwa majirani zetu Zanzibar japo tupo kwenye muungano wakristo hawana uhuru sababu serikali imeingiza siasa za kiislam, ikifika Ramadhan utalazimishwa kufuata sheria za kidini kwa kivuli cha utamaduni, kupewa kibali cha kujenga kanisa utapigwa chenga nyingi, makanisa yanabomolewa, n.k.
Sasa nchi za kiislam ukristo unaenda kufanya nn? Mbona israil inawatesa waislam na hujawah kupayuka
 
Mtu mwenye udini naona ana akili ndogo.

Ni bora kumlazimisha mtoto awe na elimu ya jamii yetu lakini sio udini? Kwa malengo ya kuondoa ujinga kama huu unaotokea sasa.
 
Back
Top Bottom