Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

Kajifunze kuandika kwanza.
 
I am sure mimi ni mkristo mzuri kuliko wewe mtoa mada ila nashauri uzi kama hizi hazifai.

Hizi hazijengi zinabomoa kabisa!
Nyuzi zanmna hii hazifai kabisa kuugwa mkono kwakua zinajenga chuki na husda mioyoni mwawatu.
Maisha niupendo tuishi kwaupendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…